Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Lucha njoo uone kama ungeweza hata kusafisha humo ndani
 
Kama hupendezwi na mtu au kitu ni vema ukaachana nacho kuliko kuanza kutoa matusi au lugha chafu kufurahisha umati
Nimesha Seema jmn umugahka akili Hana na hata Kuja kuwa nayo mbinguni na duniani

Kamwe hatapata akili timamu Ni msimuliaji mjinga San kuwai kutokea jf [emoji41]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
U
 
Duu Ila bana na wewe kweli Ni mkurya jasiri ulitahiriwa bila ya ganzi Naona. Hizo sauti mwingine anazimia ujue
 
Kama hupendezwi na mtu au kitu ni vema ukaachana nacho kuliko kuanza kutoa matusi au lugha chafu kufurahisha umati

U
Acha unafiki na kujitia kimbelembele
Mtu niliye mtukana halalamiki wew VIP mpk ulalamike Soma story pita kule umughaka anajuwa alichonifanyia ndio maana hajibu coment yangu so relax Soma Kisha pita kule

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni hatari fire
 
Kibwengo hakionekani kwenye mwanga au kinaogopa mwanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…