Hahahaha nae unafkiri boya ndo maana siku ya kwanza kumtime alijikuta kalala mpk asubhiMimi kwa akili zangu navyo jijua huyo kiumbe hadi muda huu ningekua tayari nimeshamjua ningejificha hata nje na tochi nikiskia anakula tu nafungua mlango na kumulika
Au dk 40 mtu analia tuMovie za bongo nusu saa nzima watu wanakula🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu lingeweza kumpigia simu Ally Mpemba kudadadekiKwa hiyo ndiyo mpk kesho tena saa mbili usiku ndiyo story iendelee!!?
Hilo dubwasha litakuwa lina ufahamu kwanini uache uwazi wa kulichungulia lisile mpk usepe, litakuwa lilikuwa linakusikilizia kwanza kama hulioni
Acha cheap thinking 💭 bhana , linakunya mijipesa. Analishwa veggies ili anye green. Kwa hiyo jini linakunya dolali tuDude linakula ila haliendi Kunya...
Why not! Mboga pendwa sana hiyo kwa baadhi ya watu.mboga za majani nilinunua za kutosha na nilinunua na aina karibia zote kasoro matembele!.
ImagineUtashangaa baadae mbeleni atasema amefukuzwa kazi na Ally mpemba kwa kokosea mashart mepesi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Aisee, nimecheka sana!.Jamaa simuamini kama atafanya hii kazi ya ally mpemba vizuri bila kuharibu.. yaani nmepoteza hadi amani hapa nilipo..
Nahisi ataharibu then Sisi wote humu jf tuonekane hatuna maana.
wanadamu wanaeleweka basi,moyo wa mtu ni kichaka,umeficha siri nzito.Wengine mnajifanya kushangaa humu wakati mnayafuga makwenu na wengine hadi mnawatoa watoto wenu kafara. Tamaa zitawaua. Tupe vitu umughaka tuendelee kuwaelewa wanadamu
Yaani utasema hawatokuja kufawanadamu wanaeleweka basi,moyo wa mtu ni kichaka,umeficha siri nzito.
pesa haijawai kuwa rahisi kupatkana ata siku mojaEee kumbe sio rahisi rahisi..