Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Tumchangieni huyu mwamba hata mia mia tu kwenye mpesa/tigopesa yake. Apate hata kalaki ka maji. Mtu mmoja mwenye ushawishi aongoze changizo. Kuna watakao wiwa kutoa jero, buku na hata na zaidi.
Watu wa humu walivyo na masimango si atakoma na hizo mia.... Ye afanye kwa uhuru wake kuliko kuchangiwa na kuishia kuzodolewa.....ila kama mtu anataka kufanya afanye kwa mapenzi yake na asije tangaza humu
 
Ahahahaha, ukimbie na gari ya watu tena ya hela ya majini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…