Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
Mkuu Leo Jumamosi tupo majumbani. Shusha mbili za dharula mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muraaaaaaaaaaahhhh!Cc Antonnia
Kwakweli!Utajiri ni fumbo kubwa nduguzangu.🪂🪂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]lakini watu humu mna manenoUmughaka next pls ili nipate nguvu yakupiga baruti saa sita usiku[emoji23]
Kila mara tunachungulia humu, tuone kama UMUGHAKA ameongeza chochote, kama vile Waislamu wanavyo kuwa wanauchungulia ule mwezi wa kufungua Ramadhani!Mkuu Leo jmos tupo majumbani. Shusha mbili za dharula mkuu
Watu wa humu walivyo na masimango si atakoma na hizo mia.... Ye afanye kwa uhuru wake kuliko kuchangiwa na kuishia kuzodolewa.....ila kama mtu anataka kufanya afanye kwa mapenzi yake na asije tangaza humuTumchangieni huyu mwamba hata mia mia tu kwenye mpesa/tigopesa yake. Apate hata kalaki ka maji. Mtu mmoja mwenye ushawishi aongoze changizo. Kuna watakao wiwa kutoa jero, buku na hata na zaidi.
Haijalishi.Kuna misukule mingine humu inadhani ni true story kumbe ni stori ya kutunga
Ahahahaha, ukimbie na gari ya watu tena ya hela ya majini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],"...aisee nilisikia nimesukumwa na nguvu isiyokuwa ya kawaida,ile nataka kuanguka chini nilimuona kiumbe wa ajabu ananipita kwa kasi ya ajabu akiwa uchi kama alivyozaliwa akikimbilia sebuleni na kuanza kuyafakamia yale makabeji kwa spidi kali mno,nilipokuwa bado naendelea kushangaa na kuhamaki yeye hakuwa kabisa na muda na mimi..
Binafsi ningepiga ukunga mmoja tu ".Uuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii majiraniiii..." alafu nduki mpaka kwenye audi 4, nawasha nakusepa
Kwa stori ilipofikia Mpemba ameona umughaka ana sifa za kuingizwa chamani😃Mpaka kufkia hatua hiyo, ukimuuliza jamaa siri ya utajiri wake lazima akuambie ukweli.