Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Tumchangieni huyu mwamba hata mia mia tu kwenye mpesa/tigopesa yake. Apate hata kalaki ka maji. Mtu mmoja mwenye ushawishi aongoze changizo. Kuna watakao wiwa kutoa jero, buku na hata na zaidi.
Watu wa humu walivyo na masimango si atakoma na hizo mia.... Ye afanye kwa uhuru wake kuliko kuchangiwa na kuishia kuzodolewa.....ila kama mtu anataka kufanya afanye kwa mapenzi yake na asije tangaza humu
 
,"...aisee nilisikia nimesukumwa na nguvu isiyokuwa ya kawaida,ile nataka kuanguka chini nilimuona kiumbe wa ajabu ananipita kwa kasi ya ajabu akiwa uchi kama alivyozaliwa akikimbilia sebuleni na kuanza kuyafakamia yale makabeji kwa spidi kali mno,nilipokuwa bado naendelea kushangaa na kuhamaki yeye hakuwa kabisa na muda na mimi..

Binafsi ningepiga ukunga mmoja tu ".Uuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii majiraniiii..." alafu nduki mpaka kwenye audi 4, nawasha nakusepa
Ahahahaha, ukimbie na gari ya watu tena ya hela ya majini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom