Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Labda benki hujawahi kwenda, benki kuna foleni unaweza kukaa hata masaa 3, kisha kuhesabu hizo hela kwa tela ukatumia tena karibu lisaa. Sasa kwa watu walivyo busy Dar masaa 3 ni muda mrefu sana.Naomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe
Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya
Labda hakupenda yule dada ajue namba yake ya ACNaomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe
Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya
Na wewe tunga yako, ukabebe tofali, ukajenge dege eco village, ukasajili laini tigo na udhulumiwe m9, simple tu hivyo.Kuna misukule mingine humu inadhani ni true story kumbe ni stori ya kutunga
Pesa za wahindi na waarabu mpaka azishike mkononi, au zishikwe na mtu wake ndo zipelekwe bank. Nilifanya kazi kwa wahindi muda mrefu, tukalazimisha kuwa tumechoka kupewa hela mkononi tunataka mishahara ipitie bank, matokeo yake, mhasibu anaenda bank kuchukua mshahara, anakuja na hela ofisini, zinasomewa kisomo, halafu zinapelekwa benki ili tulipwe mishahara...Naomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe
Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya
Yawezakana pia mpemba alikua anampima muraaNaomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe
Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya
Hapo wafanyakazi maendeleo mtayasikia Tilondapesa za wahindi na waarabu mpaka azishike mkononi,au zishikwe na mtu wake ndo zipelekwe bank.nilifanya kazi kwa wahindi muda mrefu,tukalazimisha kuwa tumechoka kupewa hela mkononi tunataka mishahara ipitie bank,matokeo yake,mhasibu anaenda bank kuchukua mshahara,anakuja na hela ofisini,zinasomewa kisomo,alafu zinapelekwa benki ili tulipwe mishahara...
Kafara iyoMuraaaaaaaaaaahhhh!
Umughaka ni balaaaa!! Finally leo kaona Jini jike la kiarabu[emoji23]!
Hahaha kama hiyo stori tu imekufanya usilale basi hutakiwi kabsa kuangalia zile horror movies, ukiona zombie anakula mtu hutalala wikiSijalala vizur leo , nahisi nilivuta picha ya lile dude na nywele zake basi usiku kucha nikawa namwona, 🤣🤣🤣
Ukiaminika na boss ni kitu simple tu hicho. Mimi mwenyewe nilikuwa natumwa na pesa zaidi ya hizo kwenda kubadilisha ziwe dollars kabla Magu hajaingilia suala la foreign currency exchangeNaomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe
Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya