Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa anatupia jioni. Leo Sijui kala maharage ya wapiDaah yaani kila muda narudi nareflesh lkn wapi....
Yan sitaki kuona hata mtu akikatwa , mi movie na nataka ziwe softHahaha kama hiyo stori tu imekufanya usilale basi hutakiwi kabsa kuangalia zile horror movies, ukiona zombie anakula mtu hutalala wiki
Hata dalili sioni! Naona hii ndiyo mpaka MWAKA KESHOOOOOOI!Still waiting......... [emoji102]Loading.....[emoji15][emoji15]??
Nimsaidie..ile siku alivunja vyombo alikuwa amefunguliwa kwa muda akakikosa chakula..sasa this time amefunguliwa muda usio wake na akawahi chakula maana kilikuwepo.Mkubwa UMUGHAKA mbona kipindi kile huyo kiumbe ameshinda njaa na kapasua pasua glass kesho yake ulipomfungulia mlango hakutoka kwa fujo kama hizi au alijua kuwa ilikuwa ni bahati mbaya
[emoji4]Mmh bado kimya tu or kashaliwa na yeye kachanganywa na makabichi..
UjuajiNaomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe
Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya
Sio ujuaji.Ni muhimu utunzi wa fiction story ukazingatia common senseUjuaji
Hawa wapemba Wana kawaida ya kuchungulia nyota za watu akishaona nyota yako Ina mvuto basi anaanza kuwa karibu na wewe na kuanza kukusogeza Kwa mtego wa pesa na kazi za kupata riziki hapa na pale lakini Lengo ni kuiba nyota yako au kuitumikisha nyota yako Kwa manufaa yake.Naomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe
Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya
🤣🤣🤣🤣Hiyo hela shemeji andika maumivu,hiyo atakuwa amepelekewa hawara yake"