Ukileta naomba unitag mkuu tafadhaliSiku na mimi nikiwa na mda nitakuja kueleza juu ya " Umuhimu wa damu kiroho" kwa nini damu ina nguvu kubwa sana katika ulimwengu wa kiroho? Hasa damu ya Binadamu. Lakini pia nitaeleza kwanini sadaka ya damu ndio sadaka kubwa ipitayo zote? Iwe kwenye ulimwengu wa nuru au wa giza.
Kadhalika kwa nini unaambiwa usiharibu bure manii zako? Damu hapo inamchango gani? Iko siku nitaleta...
Ndio ndioMkuu achaneni na huyo jamaa ana utindio wa Ubongo!.
Kweli ume advance sana safari hii. Hadi unaweza tuita sisi wakongwe hivi? Heeehh.... Umeanza nawe kupazoea Mjini? Haya hongera sana umughaka ila wanaokufundisha umjini usiwaamini sana.... Utawaambia pia alichokufanya mpemba? Au kipande hicho utaruka?Mkuu achaneni na huyo jamaa ana utindio wa Ubongo!.
Wewe sidhani kama una akili timamu,na hilo jina lina akisi kabisa akili yako ilivyo!.Kweli ume advance sana safari hii. Hadi unaweza tuita sisi wakongwe hivi? Heeehh.... Umeanza nawe kupazoea Mjini? Haya hongera sana umughaka ila wanaokufundisha umjini usiwaamini sana.... Utawaambia pia alichokufanya mpemba? Au kipande hicho utaruka? Maana naona napokueleza kistaarabu unaona nina mtindio wa Ubongo. Nadhani hii kauli si mara ya kusema hata kuwaambia jamaa zako.kumbuka ndo nlikufundisha matumizi ya JF na kukushauri uwe unaandika andika stories unaweza ukaja pata vijicent. Leo nina mtindio wa Ubongo? Inshallah umughaka. Inshallah.[emoji120]
And you think that you are already educated? Kiswahili tumekufundisha na bado hata unaandika unakosea. Acha kiingereza its not your mother tongue i cant blame you for that. Hii dunia tenda wema wende. Unajiona tayari nawe ni super star? Umetukuta lakini.Wewe sidhani kama una akili timamu,na hilo jina lina akisi kabisa akili yako ilivyo!.
Shule...shule....shule...shule....shule!
Ungenifundisha bila shaka ningekuwa na utindio wa Ubongo zaidi yako.And you think that you are already educated? Kiswahili tumekufundisha na bado hata unaandika unakosea. Acha kiingereza its not your mother tongue i cant blame you for that. Hii dunia tenda wema wende. Unajiona tayari nawe ni super star? Umetukuta lakini.
Master hebu achana na hao mabwege wenye viherehere kama wajawazito bana hebu angusha vituWewe sidhani kama una akili timamu,na hilo jina lina akisi kabisa akili yako ilivyo!.
Shule...shule....shule...shule....shule!
Lakini hii si ni hadithi kama hadithi nyingine.mbona tunaona uongo mwingi tu kwenye music na hatuachi kuangalia.mi nakuona wewe jamaa ni gentleman sana humu jamii forum.sasa kuanza kumzodoa huyo kijana unaanza kunitia wasiwasi.kuwa na kiasi.Muulize aliyeandika pia kama anakifahamu kiarabu au alijuaje kuwa yule mganga alizungumza kiarabu
Sasa unamjibu wa nini kupoteza muda na mtu ambae hana akili timamu?? Watu kama hawa unawaacha aandike akichoka ataacha mkuu.Wewe sidhani kama una akili timamu,na hilo jina lina akisi kabisa akili yako ilivyo!.
Shule...shule....shule...shule....shule!
Sawa. Nadhani Mpemba alikuharibu sana. Sawa mi nashukuru tu. Ila waambie yote. Usibakize kitu.Ungenifundisha bila shaka ningekuwa na utindio wa Ubongo zaidi yako.
Ulianzisha uzi wako kule kwa kunitaja ila shukuru kwa bahati nzuri huwa sijibu watu wasio kuwa na akili timamu,nakujibu hapa kwasababu umekuwa ukijipendekeza kwangu sijui unachotaka ni kitu gani,kwanini usipambane na nyuzi zako?
Tatizo lako hasa na huyu kijana ni nini .tujulishe hapa tujaribu kuwapatanishaKweli ume advance sana safari hii. Hadi unaweza tuita sisi wakongwe hivi? Heeehh.... Umeanza nawe kupazoea Mjini? Haya hongera sana umughaka ila wanaokufundisha umjini usiwaamini sana.... Utawaambia pia alichokufanya mpemba? Au kipande hicho utaruka? Maana naona napokueleza kistaarabu unaona nina mtindio wa Ubongo. Nadhani hii kauli si mara ya kusema hata kuwaambia jamaa zako.kumbuka ndo nlikufundisha matumizi ya JF na kukushauri uwe unaandika andika stories unaweza ukaja pata vijicent. Leo nina mtindio wa Ubongo? Inshallah umughaka. Inshallah.[emoji120]
Muulize kama ni kweli au ongo.umsikie. utani tag jibu lake.Lakini hii si ni hadithi kama hadithi nyingine.mbona tunaona uongo mwingi tu kwenye music na hatuachi kuangalia.mi nakuona wewe jamaa ni gentleman sana humu jamii forum.sasa kuanza kumzodoa huyo kijana unaanza kunitia wasiwasi.kuwa na kiasi.
Mbwa ukimjua jina hakusumbui, hawa tunawafahamu na shobo zao tangu enzi za ishu ya Monica, tukaja kwa kina Gabby wakaendeleza shobo lakin ukawa unawapotezea tu.....hebu endelea kuwalia buyu hao ma punga banaMkuu wameendelea sana kunishobokea uenda wanataka niwape mimba wazae watoto wenye akili kama mimi!
Ameshaniita mimi sina akili siwezi bishana naye tena. Huyu kijana nimehusika sana katika ukaaji wake hapa Dar. Ila basi kama leo hii mimi punguani. Namshukuru.Tatizo lako hasa na huyu kijana ni nini .tujulishe hapa tujaribu kuwapatanisha
Ila kumbe we jamaa ni mjinga hiviSawa. Nadhani Mpemba alikuharibu sana. Sawa mi nashukuru tu. Ila waambie yote. Usibakize kitu.
Ally Mpemba unamfahamu unawafahamu wapemba? Haya nisiseme sana.Mbwa ukimjua jina hakusumbui, hawa tunawafahamu na shobo zao tangu enzi za ishu ya Monica, tukaja kwa kina Gabby wakaendeleza shobo lakin ukawa unawapotezea tu.....hebu endelea kuwalia buyu hao ma punga bana
Zaidi ya hivi.Ila kumbe we jamaa ni mjinga hivi
Hii ni hadithi tu mkuu.mbona.hii haina tofouti na movies za kihindi au marvel cinema uongo mwingi sana.jamaa anaburudisha muacheni aendelee kutuburudisha wasomaji wake.Mkuu UMUGHAKA kama kweli hivi visa unavyovisimulia in vya kweli basi naweza kuitimisha kwa kusema hujui kabisa kuzitumia akili ulizopewa na mwenyezi Mungu
Tukianzia kule kwa Monica ulikopakwa pakwa na kuchanjwa chanjwa na wachawi,tuje kule kwa akina Jipe ulikoamua kuwa jambazi eti kwa sababu rafiki yako Mutatiro alikubali.Tuje hapa kwenye hiki kisa chako cha kumuamini shetani ambako ulikabidhiwa kazi ya kufungua na kufunga chumba usichojua kimehifadhi kitu gani nawe ukakubali tu kama likondoo tena ukaambiwa uwe unalala kwenye gari nje bado hukuinusa hatari
Tuje hapa unaposema ulipelekwa kwa mganga huko Unguja bila kujua unakwenda fanya nini na wewe ukaenda kimya kimya bila hata kumuaga msela wako Steve
Kwa kutumia tu hayo matukio yako machache uliyoyaweka hadharani mpaka sasa naweza kusema ulikuwa na haki zote kupata zero advance na baba yako alikuwa na haki zote kukutimua nyumbani kwake uende ukaibiwe million 9 zako za ujambazi na mlevi Kiheri