Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ukileta naomba unitag mkuu tafadhali
 
Mkuu achaneni na huyo jamaa ana utindio wa Ubongo!.
Kweli ume advance sana safari hii. Hadi unaweza tuita sisi wakongwe hivi? Heeehh.... Umeanza nawe kupazoea Mjini? Haya hongera sana umughaka ila wanaokufundisha umjini usiwaamini sana.... Utawaambia pia alichokufanya mpemba? Au kipande hicho utaruka?

Maana naona napokueleza kistaarabu unaona nina mtindio wa Ubongo. Nadhani hii kauli si mara ya kusema hata kuwaambia jamaa zako.kumbuka ndo nlikufundisha matumizi ya JF na kukushauri uwe unaandika andika stories unaweza ukaja pata vijicent.

Leo nina mtindio wa Ubongo? Inshallah umughaka. Inshallah.🙏
 
Wewe sidhani kama una akili timamu,na hilo jina lina akisi kabisa akili yako ilivyo!.


Shule...shule....shule...shule....shule!
 
Wewe sidhani kama una akili timamu,na hilo jina lina akisi kabisa akili yako ilivyo!.


Shule...shule....shule...shule....shule!
And you think that you are already educated? Kiswahili tumekufundisha na bado hata unaandika unakosea. Acha kiingereza its not your mother tongue i cant blame you for that. Hii dunia tenda wema wende. Unajiona tayari nawe ni super star? Umetukuta lakini.
 
Ungenifundisha bila shaka ningekuwa na utindio wa Ubongo zaidi yako.

Ulianzisha uzi wako kule kwa kunitaja ila shukuru kwa bahati nzuri huwa sijibu watu wasio kuwa na akili timamu,nakujibu hapa kwasababu umekuwa ukijipendekeza kwangu sijui unachotaka ni kitu gani,kwanini usipambane na nyuzi zako?
 
Muulize aliyeandika pia kama anakifahamu kiarabu au alijuaje kuwa yule mganga alizungumza kiarabu
Lakini hii si ni hadithi kama hadithi nyingine.mbona tunaona uongo mwingi tu kwenye music na hatuachi kuangalia.mi nakuona wewe jamaa ni gentleman sana humu jamii forum.sasa kuanza kumzodoa huyo kijana unaanza kunitia wasiwasi.kuwa na kiasi.
 
Sawa. Nadhani Mpemba alikuharibu sana. Sawa mi nashukuru tu. Ila waambie yote. Usibakize kitu.
 
Tatizo lako hasa na huyu kijana ni nini .tujulishe hapa tujaribu kuwapatanisha
 
Lakini hii si ni hadithi kama hadithi nyingine.mbona tunaona uongo mwingi tu kwenye music na hatuachi kuangalia.mi nakuona wewe jamaa ni gentleman sana humu jamii forum.sasa kuanza kumzodoa huyo kijana unaanza kunitia wasiwasi.kuwa na kiasi.
Muulize kama ni kweli au ongo.umsikie. utani tag jibu lake.
 
Mkuu wameendelea sana kunishobokea uenda wanataka niwape mimba wazae watoto wenye akili kama mimi!
Mbwa ukimjua jina hakusumbui, hawa tunawafahamu na shobo zao tangu enzi za ishu ya Monica, tukaja kwa kina Gabby wakaendeleza shobo lakin ukawa unawapotezea tu.....hebu endelea kuwalia buyu hao ma punga bana
 
Mbwa ukimjua jina hakusumbui, hawa tunawafahamu na shobo zao tangu enzi za ishu ya Monica, tukaja kwa kina Gabby wakaendeleza shobo lakin ukawa unawapotezea tu.....hebu endelea kuwalia buyu hao ma punga bana
Ally Mpemba unamfahamu unawafahamu wapemba? Haya nisiseme sana.
 
Hii ni hadithi tu mkuu.mbona.hii haina tofouti na movies za kihindi au marvel cinema uongo mwingi sana.jamaa anaburudisha muacheni aendelee kutuburudisha wasomaji wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…