Id nyingine ya umughakayaani we jamaa,imenibidi nicheke tu,yaani pamoja na watu kukutukana wala wewe uko peace tu,na unaendelea kukoment bila wasiwasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umughaka amekuwa naye wa mjini anadungua IDs nyingi za kuji support halafu anachanganya madesa sometimes. Account yake ya kwanza nlimfungulia mimi leo hii ananitukana na kumhusisha jamaa yangu na majiniMkuu akili inaniambia wewe ndiye UMUGHAKA, hii ni id yako nyingine
Umughaka una IDs nyingi sanayaani we jamaa,imenibidi nicheke tu,yaani pamoja na watu kukutukana wala wewe uko peace tu,na unaendelea kukoment bila wasiwasiππππ
inaelekea umughaka anawaumiza sana vichwa,maana kila mtu mnamwita umughaka,badala ya kuumiza kichwa u upgrade life yako,unaweka chuki kwa mtu usiyemjua wala hakujui,wabongo shida sana...Umughaka una IDs nyingi sana
Hapa mbona kama unaonekana wewe ndo umeolewa? Yaani jamaa ni mume wako! Au wadau mmeelewaje hiyo komenti yake hapo?Daah ...unatokwa povu kwa ajili ya mume wa mtu namna hiyo? Pole saaaaana...πππππππππππ
Acha kumuharibia jamaa uzi wake..sijui watu kama nyie huwa mnatokea wapi..? Ulikua una uwezo wa kupita kimya tuUmughaka una IDs nyingi sana
Unatumia IDs nyingiinaelekea umughaka anawaumiza sana vichwa,maana kila mtu mnamwita umughaka,badala ya kuumiza kichwa u upgrade life yako,unaweka chuki kwa mtu usiyemjua wala hakujui,wabongo shida sana...
Ameshaniita mimi sina akili siwezi bishana naye tena. Huyu kijana nimehusika sana katika ukaaji wake hapa Dar. Ila basi kama leo hii mimi punguani. Namshukuru.
Sasa hivi anajua na kuoga anajua na maneno ya kiswahili na anajua mademu wa JF basi anaona ameshafika.....πKumbe ulimsaidia alipoingia mjini
Aah sasa ungetuambia tangu mapema kwamba jamaa aliwahi kuandika story zikabuma. Ulikua wapi tumekaa mda wote tunajiuliza huyu ni ex wa umughaka au?Kuna mawili ww ndio umugaka sijui, au wewe una WIVU na chuki kali sana kwa huyu msimulia stori, mana naona thread zako za nyuma uliwah kusimulia stor fulan na pia kuna thread nyingine za matukio yako,lakin naona hujapata umaarufu kama wa huyu umugaka, stor zako hazikpata attention na zaid hazikuisha ulisusa kama demu sababu wana walijua ni stori za kutunga tu,
kwaio hio inakusumbua na kukuumiza moyo kias kwamba umeanza kurusha maneno kama bi khadija kopa.
Dada...mimi si msimuliaji stories....na mimi ni chizi umaarufu kwa chizi ni kama umaarufu kwa beberu. So kama wewe ni galfriend wake umugaka uwe na amani naye tu au kama ni ID yake nyingine ujue ni upumbavu kutafuta umaarufu wa JF.Kuna mawili ww ndio umugaka sijui, au wewe una WIVU na chuki kali sana kwa huyu msimulia stori, mana naona thread zako za nyuma uliwah kusimulia stor fulan na pia kuna thread nyingine za matukio yako,lakin naona hujapata umaarufu kama wa huyu umugaka, stor zako hazikpata attention na zaid hazikuisha ulisusa kama demu sababu wana walijua ni stori za kutunga tu,
kwaio hio inakusumbua na kukuumiza moyo kias kwamba umeanza kurusha maneno kama bi khadija kopa.
Stori za kutunga hazihitaji maswali mengi kaushaWatu wanahoji walipokuwa unguja nani alikuwa anafungua mlango ili kuhalalisha story kuwa ya hovyo na kuwa hakuna mwingine zaidi ya master anaweza kufanya hiyo kazi lkn hawahoji kabla ya master nani alishika hiyo kazi au baada ya master kuondoka nani atafanya hiyo kazi.
Mpemba hajakufanya kitu mbaya kweli weweMim ndo niliifunga na kufungua.
Na mim nilikua nalala hapo hapo ndani na maya