Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Daah ...unatokwa povu kwa ajili ya mume wa mtu namna hiyo? Pole saaaaana...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapa mbona kama unaonekana wewe ndo umeolewa? Yaani jamaa ni mume wako! Au wadau mmeelewaje hiyo komenti yake hapo?

Mwanaume rijali hawezi sema " Pole saaaana" kama uliyoisema hapo.
 
Aah sasa ungetuambia tangu mapema kwamba jamaa aliwahi kuandika story zikabuma. Ulikua wapi tumekaa mda wote tunajiuliza huyu ni ex wa umughaka au?

Kumbe anaumia nyuzi zake kubuma. Wana jf nendeni mkasome nyuzi za chizi aache kumvaa Umu ili tuipumzishe hii thread.
 
Dada...mimi si msimuliaji stories....na mimi ni chizi umaarufu kwa chizi ni kama umaarufu kwa beberu. So kama wewe ni galfriend wake umugaka uwe na amani naye tu au kama ni ID yake nyingine ujue ni upumbavu kutafuta umaarufu wa JF.

Watu siku hizi wanatafuta pesa. Yaani wewe unakuja kutafuta umaarufu JF? Una akili kweli? Unakusaidia nini? Mimi na enjoy tu maisha haya ya hivi kuwatoa mapovo watu kama nyie....nipo Likizo...πŸ˜‚
 
Stori za kutunga hazihitaji maswali mengi kausha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…