Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ujanja na ujuaji mwingine ni wa kijinga. Usio na maarifa yoyote yale. Kwani kama uzi unakukera unashindwa nini kuachana nao?

Iwe mnafahamiana au lah sisi hatujataka kujua hayo, tumevutiwa na story tu basi. Bando haumuwekei, kiherehere cha nini kwenye nyuzi za watu? .. much know nyingi sio ujanja wala.
 
Tulia dada.... Uzi dogo analeta uzi. Kaniambia muda si mrefu.
 
ID nyingine ya umugaka. Yaani unaonekana kabisa una mahaba.... Leo nakugonga tu kila sehemu... Lete episode hapa.
We choko mi ID yangu ya mwaka 2010 imekuwa banned permanently Dicember last year ndio nikafungua hii kwaio humu sio mgeni.

We umepauliwa kwa kupakwa mafuta kwenye marinda tunajua nyuzi zako za roho mbaya na ushirikina ndio maana unaumizwa siri zako kutajwa na unajichanganya kusema kuna "mwarabu" ambaye Umughaka anamuita "Ally Mpemba" you seem to have resentment🀣🀣🀣 get over it marinda yashaenda
 
Jamaa anakera sana.. hivi hakuna namna awe banned huyo chizi maarifa alafu nina wasi wasi na jinsia yake mtoto gani wakiume ana mipasho..anakera sana
 
Ni wivu tu unamsumbua, kaona thread ya mwenzake inawafuatiliaji na wachangiaji wengi, roho inamuuma hadi basi
 
Yani huyo ana nyota ya nyangenyange
 
Haya sasa tata muraa mutimbalu kucha sasa na muendelezo wakati sisi tukimtia matambara mdomoni Chizi Maarifa aache kukupigia kilele mura
Mkuu, naona na wewe uzalendo umekushinda. Mleta uzi ndio anasababisha yote mpaka kufikia watu kutukanana na yeye anapita tu anacheka na ku-like. Issilue sio kuleta episode mpya, issue aseme tu leo sipost kitu, basi kelele zitaishia hapo.

Unaanzisha uzi halafu unashindwa kuu-manage nayo hiyo ni ukosefu wa akili. Moderators wanatakiwa thread kama hizi wazifute kuepusha watu kuendelea kutukanana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…