Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mama D na wewe umeingia kwenye huu msululu wa kusubili episode

Nimejikuta tuu nimekua interested na mambo ya kiimani

Nilichokiona UMUGHAKA anawakilisha watoto na vijana wengi waliojikuta mikononi mwa falme za giza sababu ya kukosa mafundisho na tahadhari katika umri wa awali.
Wengi hawamjui shetani wa uharibifu wake hadi waanze kupata madhara
 
umughaka huyu huyu asuse?unamjua au unamsikia?hao wengine wanatumia umaarufu wake,ili wajulikane mjini na wajiongezee point JF za mesage replication..
 
Kanda ya ziwa hatunaga hzo mambo , tukidhamiria kitu lazima kukikomalia mpak kiishe , UMUGHAKA mpak amalize episode zote
 
Uvumilivu utatushinda sasa mwenye nao uzi kautelekeza..
Jamaa kapata challenge nyingi sio tu kwa huu uzi na bado yupo imara.

Hebu UMUGHAKA j2 chukua audio ya gaby iwe uploaded kwa ile thread yako ila mwambie hakuna dhambi isiyosamehewa chini ya mbingu. Akitoka nitakuwa mmoja wa kuchangia bodaboda kwa namna inavyowezekana asirudi tena kwa mtutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…