Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
Weeh hivyo tena, hahahaaa imetosha imetoshaYani watu wa namna hii si tunakutana nao mara nyingi tu kweny biashara wanataka kitu cha elfu 20 auziwe kwa elfu 5.
Sie hua tunawapa bure tu alf tunawaita kaka zetu wawili tu, Kazi kwisha.
Mama D na wewe umeingia kwenye huu msululu wa kusubili episode
Au bas leo inatosha kesho ntakuhadisia vzuriWeeh hivyo tena, hahahaaa imetosha imetosha
kesho ntakuhadisia vzuri
Unanitafutia balaa nmetoka kupigwa ban juziAhadi ni deni nitakudai ujue 😀
umughaka huyu huyu asuse?unamjua au unamsikia?hao wengine wanatumia umaarufu wake,ili wajulikane mjini na wajiongezee point JF za mesage replication..Kuna kila dalili kwamba hii story itaishia njian. Pamoja na kwamba UMUGHAKA ni mwamba lakin naye Kama ilivyo binadam wengine ana moyo wa nyama na damu hivyo wanaomuandama wamevuka mipaka . Sijui ni wivu au ni nini lakini member Kama Chizi Maarifa wanaonesha ujuaji wa kijinga
Ilikuwaje ukapigwa ban?Unanitafutia balaa nmetoka kupigwa ban juzi
Kuna msela alinichongolea koromeo nkamjibu Mungu akubariki. Akazidisha matusi nakasema isiwe kesiIlikuwaje ukapigwa ban?
Mie sikuombei upigwe ban bali naombea chizi apigwe ban au master amset chizi kwenye ignorance tu tusonge mbele na simulizi yetu
Basi yalishapita hayo hakuna ban tenaKuna msela alinichongolea koromeo nkamjibu Mungu akubariki. Akazidisha matusi nakasema isiwe kesi
Amina kubwaBasi yalishapita hayo hakuna ban tena
Kanda ya ziwa hatunaga hzo mambo , tukidhamiria kitu lazima kukikomalia mpak kiishe , UMUGHAKA mpak amalize episode zoteKuna kila dalili kwamba hii story itaishia njian. Pamoja na kwamba UMUGHAKA ni mwamba lakin naye Kama ilivyo binadam wengine ana moyo wa nyama na damu hivyo wanaomuandama wamevuka mipaka . Sijui ni wivu au ni nini lakini member Kama Chizi Maarifa wanaonesha ujuaji wa kijinga
Sikujui hunijui ila wewe chizi maarifa ni Slut mzoeafu ..unakatwa .Kabisa.... Ila nimemwambia atume episode nyingine haraka nataka nione ambapo ataandika kuwa alikuwa analala na Ally Mpemba. Asikwepe hapo.
True wordNimejikuta tuu nimekua interested na mambo ya kiimani
Nilichokiona UMUGHAKA anawakilisha watoto na vijana wengi waliojikuta mikononi mwa falme za giza sababu ya kukosa mafundisho na tahadhari katika umri wa awali.
Wengi hawamjui shetani wa uharibifu wake hadi waanze kupata madhara
Jamaa kapata challenge nyingi sio tu kwa huu uzi na bado yupo imara.Uvumilivu utatushinda sasa mwenye nao uzi kautelekeza..
Whatever you ask in prayer, you will receive, if you have faith.Page ya 100 ni masimango tu hakuna stori yyt inapostiwa
Mhhh!! Umeongea kitu kigumu sana kwa wasioaminiWhatever you ask in prayer, you will receive, if you have faith.