Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

No mimi siwezi mind kuitwa sina akili. Mimi si ni CHIZI umeona ID yangu? So nafurahi kuitwa hivyo. Nimesikitika tu kuwa yeye nawa tumempokea leo anajioona mjanja....🤣
Mkuu hata harmonize alipokelewa na boss wa wcb na boss akizubaa anapelekewa moto na mnyama pori wa tandahimba kukubali kushindwa napo ni ushindi unless otherwise utapigwa home and away unapigwa kwenye nyuzi na unashindwa kwenye kukubali kwamba mwamba kakuachia vumbi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
BOMA YEE BOMA YEE, BE HUMBLE U KNOW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…