Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Mrs Chibabahalafu mie sio mwaisa
sina mia mkuu ndo mana hasira nataka nimalizie hapaKalipe kodi kwanza ndio uje hapa kukwarulana.
Umeanza vibaya alaf ukamaliza vyemaHuu muda uliotumia kuandika hapa ungetosha episode moja[emoji3][emoji3]
Hii habari uliyoleta ni njema sana, mashabiki wako sasa watakaa kwa amani wakisubiri hiyo keshokutwa ukirudi mjini. Natumaini matusi yatapungua na uzi utapumzika sasa.
Mbeleeeee shambuliaaaaaaaaaaHaya wakuu tuna siku mbili za kusubiri hadi next episode, kwa muda tuhamieni kwenye thread za Chizi Maarifa ili apunguze wivu kwa Master Umughaka [emoji38][emoji38]
Shida ni mia au shida ni wewe ?sina mia mkuu ndo mana hasira nataka nimalizie hapa
ni wewe mkuuShida ni mia au shida ni wewe ?
Mkuu achana na Mimi, usitake nikutukane mwishowe unitupie JiniTafazari ni lugha gani mkuu?
Situnzagi mia zako ndugu, kama umepigwa ni ujinga wako mwenyewe, nenda kalipe kodi.ni wewe mkuu
sawa mkuuSitunzagi mia zako ndugu, kama umepigwa ni ujinga wako mwenyewe, nenda kalipe kodi.
sasa umenipa optio kati ya mia na wewe nimekwambia wewe then unakuja juu hivi nani amewaroga ndg zangu januari itapita msiitake siriaz mpk mnarukwa akiliSitunzagi mia zako ndugu, kama umepigwa ni ujinga wako mwenyewe, nenda kalipe kodi.
Wewe utakuwa mpumbavu zaidi, ujue watu wajinga ndio wanakuwa wa kwanza kuhukumu wenzao wanapofanya mistake sababu inawafariji kuwa kumbe wajinga tuko wengiHili likurya lijinga sana halina akili hata kidogo litakuja kufa kifo cha kijinga sana,baba yake aliona mbali sana kulitimua nyumbani lingemuharibia watoto wake na hizo akili zake za kuuza pesa feki & kupiga debe sirari.Bangi zimeliharibu sana ubongo na humo kwenye uboda boda litakachotoamo ni ulemavu wa mwili maana akili tayari halina
Unahitaji ukombozi ndugusasa umenipa optio kati ya mia na wewe nimekwambia wewe then unakuja juu hivi nani amewaroga ndg zangu januari itapita msiitake siriaz mpk mnarukwa akili
kama unao naomba mkuuUnahitaji ukombozi ndugu
Njoo hemani Kisongo kwa nabii mkuu upewe milioni ulipe kodi.kama unao naomba mkuu
naomba direction mkuu ntumie na nauli natokea kibadaNjoo hemani Kisongo kwa nabii mkuu upewe milioni ulipe kodi.
Huo ndio ukombozi wako