Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Huu muda uliotumia kuandika hapa ungetosha episode moja[emoji3][emoji3]
Hii habari uliyoleta ni njema sana, mashabiki wako sasa watakaa kwa amani wakisubiri hiyo keshokutwa ukirudi mjini. Natumaini matusi yatapungua na uzi utapumzika sasa.
Umeanza vibaya alaf ukamaliza vyema
 
Nimesoma comments humu aisee ndo maana tuna ID fake...kuna watu wanafanana na majina ya ID zao na kupitiliza...wamevurugwa wana msongo mkubwaa..wako so harsh na so negative kwa wenzaoo...haiingii akilini mtu kushupaza shingo kwa comments zaidi ya 100 kupinga jambo ambalo hakuwepo au hata msimuliaji hamjui hata ukucha...watu tunatofautiana pakubwa mnoo..
 
Hili likurya lijinga sana halina akili hata kidogo litakuja kufa kifo cha kijinga sana,baba yake aliona mbali sana kulitimua nyumbani lingemuharibia watoto wake na hizo akili zake za kuuza pesa feki & kupiga debe sirari.Bangi zimeliharibu sana ubongo na humo kwenye uboda boda litakachotoamo ni ulemavu wa mwili maana akili tayari halina
Wewe utakuwa mpumbavu zaidi, ujue watu wajinga ndio wanakuwa wa kwanza kuhukumu wenzao wanapofanya mistake sababu inawafariji kuwa kumbe wajinga tuko wengi
 
Back
Top Bottom