Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini ni matatizo mkuu ukimbieUmasikini wangu mkubwa unanitosha.
Ni kweli kabisa, na wanaume wavivu kwa kazi hao wanachoweza kuokota korosho tu.kwa uno ni balaaa ila kichwan n box tupu
Wewe ndio yule Zu anayemliza Steve?Lucha kuna sehemu inabidi upite kwa speed ukianza kusoma, zuu amezingua
Duu jamani!!!!Kuna mwanamke wa kikurya aliwah kumuuma kijana mmoja mkono mpaka akamtoa damu baada ya kumkuta kijana yule kakaa kwenye siti yake na alipomuomba kumpisha kijana alikataa na kusema kuwa kakatiwa hyo siti na konda hvyo ni yake na hawez kutoka
Baada ya lile tukio ilibidi yule mama atafutiwe siti na akaanza kujitapa kwa kusema kuwa haogopi mtu ameshazoea kupigwa na mume wake mpaka anazimia na akizinduka wanaendelea na ugomvi
Huyu Lwadwa alinigonga na hii Nissan Patrol pale IFM miaka ya 2002 mie nikiwa na Carina Road Runner, alishuka kwenye gari akaniuliza kijana unatakaje? nikamwbia kutengenezewa gari yangu, kwenye alikua na mwanake akamwacha ili afanye mpango gari yangu ivutweHii umenikumbusha kwa Mara ya kwanza kupanda Nissan Patrol moja ya bosi wetu Ladwa ile badae ikaibiwa na kupelekea matukio kule Moshi.
Nilipanda kibahati tu kuna issue ilikua tutoke ofisini kwake Nyerere road mpaka hotelini kwao O bay.
Aloo nadhani kale kasafari ilikua kama tunaenda peponi.
Ndo nilijua kwamba kuna watu wanaishi sie wasindikizaji tu.
Baada ya kuibiwa ile gari ilipatikana?Hii umenikumbusha kwa Mara ya kwanza kupanda Nissan Patrol moja ya bosi wetu Ladwa ile badae ikaibiwa na kupelekea matukio kule Moshi.
Nilipanda kibahati tu kuna issue ilikua tutoke ofisini kwake Nyerere road mpaka hotelini kwao O bay.
Aloo nadhani kale kasafari ilikua kama tunaenda peponi.
Ndo nilijua kwamba kuna watu wanaishi sie wasindikizaji tu.
2002 hiyo gari haikuwepo,labda km walirudishiwa au kununua ingine.Huyu Lwadwa alinigonga na hii Nissan Patrol pale IFM miaka ya 2002 mie nikiwa na Carina Road Runner,alishuka kwenye gari akaniuliza kijana unatakaje?,nikamwbia kutengenezewa gari yangu,kwenye alikua na mwanake akamwacha ili afanye mpango gari yangu ivutwe
Ndo tunataka atusimulie na madem zake. Kasema atatulea mkasa mwingine kusimulia hayoAtakua anatafuta mabeki3 anakula kimya kimya bila kuhadithia,mabeki 3 hawanaga gharama kubwa sana,ni buku 2 tu ya vocha
Ndio mkuu.Kwaiyo unapenda kupakuliwa ee 😅😅😅
Una umri gani?Ndio mkuu.
42Una umri gani?
Aha huu umri munakuwaga wamoto sana
Hot as 🔥Aha huu umri munakuwaga wamoto sana
Apa navuta picha jinsi ulivyo hot😍😍Hot as 🔥
Nadhani ndio hao waliojenga barabara pale mlima Sekenke Singida.Wahindi Ladwa construction enzi hizo