Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 15.




Ally Mpemba "Kaka ...kaka....umefanya nini! Kaka!?"

Mimi "Kuna nini kaka Ally?"

Ally Mpemba "Kaka unataka kuniua?"

Mimi "Kaka Ally uko poa kweli?"

Basi jamaa alianza kulia kwa kwikwi kitu ambacho kilikuwa kikinichanganya zaidi,sikuelewa kama yale maneno aliyokuwa akiniambia yalikuwa ya kwangu au labda kuna mtu alikuwa akimpigia simu bahati mbaya ikaja kwangu!.
Nilipofika lile eneo ambalo nilimuacha Ally Mpemba akiwa na rafiki zake sikumkuta hivyo ikabidi nimpigie simu.

Mimi "Kaka nimerudi na sikuoni hapa!"

Ally Mpemba "Nisubiri hapo hapo narudi muda huu"

Haikupita hata dakika 20 jamaa akawa amefika pale akamlipa yule dereva taxi kisha akaniambia niingie kwenye gari yake tuondoke.Wakati tukiwa kwenye gari jamaa alionekana kana kwamba amechukia sana na sikuelewa kilichokuwa kimemchukiza ni kitu gani.

Ally Mpemba "Daah ndugu yangu nilikwambia ufike ufungue tu chumba uondoke sasa wewe umefanya nini?"

Mimi "Kaka nilipofungua chumba ile natoka nielekee nje ndipo yule kiumbe akanipita akikimbilia sebuleni"

Ally Mpemba "Kaka ushaharibu"

Kwa namna ambavyo jamaa alikuwa amechukia niliamua kukaa kimya ili nione atafanya kitu gani,sikutaka kabisa kumuongelesha kwa wakati ule maana niliona ningeendelea kumuudhi,sasa kumbe kile kitendo cha mimi kumuona yule kiumbe wa ajabu kilimshitua Ally Mpemba kule alikokuwa na sikuelewa alijuaje,kiukweli nilibaki na maswali mengi sana ambayo hayakuwa na majibu;kwakuwa nishakuwa mtu mzima tayari,niliamini hata fedha alizokuwa nazo Ally Mpemba zilikuwa na msukumo wa ushirikina ndani yake,kiukweli niliamua kukaa kimya ili nione ataniambia nini!.

Tulivyofika nyumbani mida ya 4 usiku,nilishuka kwenye gari nikafungua geti kisha jamaa akaingiza gari ndani na kuipaki,alishuka haraka haraka akaniambia hebu njoo ndani,alivyofungua mlango na kuzama ndani tukakuta yule kiumbe amekula kila kitu kilichokuwa pale kwenye meza kama kawaida,sasa Ally Mpemba akaniambia nitoe kile kitambaa nikipeleke jikoni kisha nimsaidie kusafisha pale sebuleni,yeye aliingia chumbani ambako alikaa kwa muda kama wa dakika 5 kisha akawa amerudi pale sebuleni akiwa amevaa kanzu nyeupe akiwa amejifunga na kitambaa,mkononi akiwa ameshika kanzu nyingine nyeupe akanitaka niivae.

Ally Mpemba "Vaa hii tafadhali!"

Mimi "Nivae juu ya nguo zangu hizi?"

Ally Mpemba "wewe vaa hivyo hivyo tu!"

Baada ya kuvaa ike kanzu ambayo ilikuwa ikinukia manukato mazuri,alichukua kitambaa cheupe kama alichokuwa amejifunga kichwani akanifunga na mimi!.Kimuonekano tulifanana kama wale jamaa wa dubai au saudia wanao vaa kanzu na vilemba.
Aliisogeza ile meza ya kioo pembeni kisha akatandika nguo ngumu kama kikoi kisha akanitaka nimsogelee.

Ally Mpemba "Wewe ni rafiki yangu na ninakuamini sana,tafadhali nisaidie!"

Mimi "Nikusaidie nini kaka?"

Ally Mpemba "Nifuate nitakavyokuelekeza"

Mimi "Sawa kaka"

Ally Mpemba alikuwa akitamka maneno ya kiarabu ambayo alinitaka na mimi nimfuatishe,alikuwa akitamka huku tukiwa tumekaa chini ya kile kikoi,baada ya kufanya lile zoezi kwa kurudia rudia kwa muda wa nusu saa tukawa tumemaliza na kisha akatoa kile kikoi akawa amekirudisha chumbani kwake.Aliporudi tena pale sebuleni aliniambia nikae kwenye sofa nami nikaa!.

Ally Mpemba "Kaka naomba ulichokiona ibaki siri yako!"

Aliendelea "Hakuna mtu yeyote anayejua ili jambo isipokuwa wewe"

Mimi "Usijali kaka haya ni maisha tu!"

Ally Mpemba "Mimi nilikuchukua wewe unisaidie mambo yangu kwakuwa wewe unamkondo wa hela"

Aliendelea "Na umekuwa muaminifu nahitaji kukufikisha mbali zaidi!"

Aliendelea "Huyo uliyemuona siyo kiumbe wa ajabu bali huyo ndiye anayenipatia hela na mali hizi unazoziona"

Aliendelea "Siyo mkorofi na akikupenda utamfurahia,huwezi kujiuliza kwanini wewe ndiye nilitaka uwe karibu na mimi?"

Wakati ananiambia mambo yote hayo mimi nilikuwa nimetulia tu nikimuangalia huku nikitikisa kichwa cha kuonyesha ukubali kwenye maswali aliyotaka ukubali wangu.

Ally Mpemba "wewe unanyota ya utajiri master labda uichezee mwenyewe!"

Mimi "Kweli kaka!?"

Ally Mpemba "Una nyota ya pesa ambayo pesa ikija kwako haitoki labda uitoe mwenyewe au mtu akuchukue uwe unmzalishia pesa!"

Aliendelea "Kaka mjini hapa,ukifa masikini shauri yako,mimi nakushauri kama rafiki yako"

Mimi "Kaka kuna mtu anapenda umasikini?,nahangaika juani ili nipate pesa kaka"

Ally Mpemba "Pesa unatembea nayo nyuma yako harafu unasema unahangaika juani!,watu wa bara hamjuagi kuchangamka!"

Mimi "Kaka nielekeze namna ya kufanya"

Ally Mpemba "Wewe unakifua?,siyo unapenda kupanda tu kwenye Range ukadhani mambo ni mepesi"

Mimi "Kaka kama nimewahi kushika bunduki hakuna jambo litakalo nishinda"

Ally Mpemba "Bunduki mwatumia huko bara,hapa mjini twatumia kisomo tu mambo yajipa!"

Aliendelea "Hebu simama unifuate"

Nilisimama nikamfuata Ally Mpemba kisha tukaingia kwenye kile chumba kilichokuwa na yule kiumbe wa ajabu,baada ya kuingia ndani aliwasha taa akasogea mpaka kwenye kabati la ukutani kisha akalifungua,alipolifungua akaanza kuita kwa sauti.

Ally Mpemba "Mayaaa"

Aliendelea "wewe Maya toka nje nakuita"

Alipokuwa akiita yule kiumbe akawa anaunguruma kwa mtetemo,kiukweli nilisogea nyuma kwa hofu maana haikuwa hali ya kawaida na sikuelewa siku zote jamaa alikuwa akiishi vipi mle ndani peke yake na yule kiumbe bila ndugu zake kujua jambo lolote!.

Baada ya kuita hilo jina la Maya kwa muda kadhaa,yule kiumbe wa ajabu alitoka na alipotoka alipomuona jamaa alimuinamia kama kumsujudu,kiukweli kilikuwa ni kitendo kilichonishangaza sana kwasababu Ally Mpemba kila alichokuwa akimwambia yule kiumbe alionekana kuelewa na kuogopa.Ally Mpemba kuna lugha aliongea nae kisha yule kiumbe aliyekuwa akitoa harufu ya ajabu aliondoka akarudi kwenye lile kabati kisha Ally Mpemba akarudishia lile kabati.

Kumbe kwenye lile kabati kulikuwa kumechimbwa shimo kama la futi sita na ndipo yule kiume alikuwa akikaa,sasa kama ulikuwa ukifungua ile kabati ilikuwa ngumu kumuona kwasababu alikuwa akiingia kwenye lile shimo kulikuwa na ubao ambao ulikuwa ukifunika na hivyo siyo rahisi mtu wa kawaida hata kama ingetokea kuingia mle chumbani kujua kama kulikuwa na mtu mle ndani labda kama ikitokea umeingia yule kiumbe aanze kuunguruma!.

Mimi "Kaka huyu ni nani kwani?"

Ally Mpemba "Nishakwambia huyo ndiye kila kitu kwangu sheikh"

Aliendelea "Watu wa Bara hapa mjini mmekuja kuwashangaa watu"

Aliendelea "Au nawe unataka kuwa msindikizaji?"

Mimi "Hapana kaka"

Ally Mpemba "Kwanza kabla ya kukusaidia inapaswa uslim"

Mimi "Kuslim tu kaka,mbona haina shida hiyo"

Ally Mpemba "Usiseme haina tatizo,usijedhani ni kuslim kama unavyodhani weye!"

Ally Mpemba " mtu wa kukusilimisha apatikana hapo chumbe"

Aliendelea "Uko tayari mi nimuandae?"

Mimi "Mimi nipo tayari kaka"

Aliendelea "Sawa lakini haya yote uliyoyaona humu ndani yabaki humu humu ndani,utanichukiza sana nikiyasikia sehemu na walahi sitokuacha salama"

Baada ya maneno hayo nilianza kuingiwa uoga na hofu ya ajabu,kiukweli sikujua ni kitu gani kilichokuwa kinanitia hofu muda huo lakini nachokumbuka ni kwamba niliingiwa na hofu.Sasa baada ya majadiliano yale,Ally Mpemba alinipatia funguo za gari ile Aud akanitaka nikalale,sikufahamu ni kwanini vile vyumba vingine ambavyo vilikuwa vimefungwa hakutaka nilale huko hadi aniambie nikalale kwenye gari nje,kiukweli kwa maisha jamaa aliyokuwa akiyaishi ilifika sehemu na mimi nikazamani kuwa kama yeye.

Marafiki muda mwingine utushawishi hadi kujikuta tunaangukia kwenye maisha mabaya kuliko hapo mwanzo,mimi baada ya kufahamiana na Ally Mpemba nilidhani uenda maisha yangu yangekuwa mazuri kumbe haikuwa kama nilivyodhani,ilifika sehemu nikaacha kazi yangu ya usajili wa line iliyokuwa ikinipatia fedha halali na kudandia maisha ambayo baadae niliyaona ni kero na yenye majuto.Kiukweli ilifikia hata kazi niliyokuwa nikiifanya niliiona ya kipumbavu baada ya Ally Mpemba kuwa ananipatia fedha nyingi za bure bure ambazo nilizifurahia bila kujua kuna siku zingenigharimu.Tangu nimemfahamu Ally Mpemba na pamoja na yeye kuwa rafiki yangu,sikuwahi hata siku moja kulala kwenye ile nyumba yake na yeye mwenyewe hakuruhusu mimi kulala mle ndani.

Baada ya wiki kama mbili tulijiandaa na jamaa akawa mwenyeji wangu kuelekea kisiwa cha Chumbe Unguja.


Itaendelea...........
Mkuu leo tupe offer ya mwaka mpya shusha ep 2
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 15.




Ally Mpemba "Kaka ...kaka....umefanya nini! Kaka!?"

Mimi "Kuna nini kaka Ally?"

Ally Mpemba "Kaka unataka kuniua?"

Mimi "Kaka Ally uko poa kweli?"

Basi jamaa alianza kulia kwa kwikwi kitu ambacho kilikuwa kikinichanganya zaidi,sikuelewa kama yale maneno aliyokuwa akiniambia yalikuwa ya kwangu au labda kuna mtu alikuwa akimpigia simu bahati mbaya ikaja kwangu!.
Nilipofika lile eneo ambalo nilimuacha Ally Mpemba akiwa na rafiki zake sikumkuta hivyo ikabidi nimpigie simu.

Mimi "Kaka nimerudi na sikuoni hapa!"

Ally Mpemba "Nisubiri hapo hapo narudi muda huu"

Haikupita hata dakika 20 jamaa akawa amefika pale akamlipa yule dereva taxi kisha akaniambia niingie kwenye gari yake tuondoke.Wakati tukiwa kwenye gari jamaa alionekana kana kwamba amechukia sana na sikuelewa kilichokuwa kimemchukiza ni kitu gani.

Ally Mpemba "Daah ndugu yangu nilikwambia ufike ufungue tu chumba uondoke sasa wewe umefanya nini?"

Mimi "Kaka nilipofungua chumba ile natoka nielekee nje ndipo yule kiumbe akanipita akikimbilia sebuleni"

Ally Mpemba "Kaka ushaharibu"

Kwa namna ambavyo jamaa alikuwa amechukia niliamua kukaa kimya ili nione atafanya kitu gani,sikutaka kabisa kumuongelesha kwa wakati ule maana niliona ningeendelea kumuudhi,sasa kumbe kile kitendo cha mimi kumuona yule kiumbe wa ajabu kilimshitua Ally Mpemba kule alikokuwa na sikuelewa alijuaje,kiukweli nilibaki na maswali mengi sana ambayo hayakuwa na majibu;kwakuwa nishakuwa mtu mzima tayari,niliamini hata fedha alizokuwa nazo Ally Mpemba zilikuwa na msukumo wa ushirikina ndani yake,kiukweli niliamua kukaa kimya ili nione ataniambia nini!.

Tulivyofika nyumbani mida ya 4 usiku,nilishuka kwenye gari nikafungua geti kisha jamaa akaingiza gari ndani na kuipaki,alishuka haraka haraka akaniambia hebu njoo ndani,alivyofungua mlango na kuzama ndani tukakuta yule kiumbe amekula kila kitu kilichokuwa pale kwenye meza kama kawaida,sasa Ally Mpemba akaniambia nitoe kile kitambaa nikipeleke jikoni kisha nimsaidie kusafisha pale sebuleni,yeye aliingia chumbani ambako alikaa kwa muda kama wa dakika 5 kisha akawa amerudi pale sebuleni akiwa amevaa kanzu nyeupe akiwa amejifunga na kitambaa,mkononi akiwa ameshika kanzu nyingine nyeupe akanitaka niivae.

Ally Mpemba "Vaa hii tafadhali!"

Mimi "Nivae juu ya nguo zangu hizi?"

Ally Mpemba "wewe vaa hivyo hivyo tu!"

Baada ya kuvaa ike kanzu ambayo ilikuwa ikinukia manukato mazuri,alichukua kitambaa cheupe kama alichokuwa amejifunga kichwani akanifunga na mimi!.Kimuonekano tulifanana kama wale jamaa wa dubai au saudia wanao vaa kanzu na vilemba.
Aliisogeza ile meza ya kioo pembeni kisha akatandika nguo ngumu kama kikoi kisha akanitaka nimsogelee.

Ally Mpemba "Wewe ni rafiki yangu na ninakuamini sana,tafadhali nisaidie!"

Mimi "Nikusaidie nini kaka?"

Ally Mpemba "Nifuate nitakavyokuelekeza"

Mimi "Sawa kaka"

Ally Mpemba alikuwa akitamka maneno ya kiarabu ambayo alinitaka na mimi nimfuatishe,alikuwa akitamka huku tukiwa tumekaa chini ya kile kikoi,baada ya kufanya lile zoezi kwa kurudia rudia kwa muda wa nusu saa tukawa tumemaliza na kisha akatoa kile kikoi akawa amekirudisha chumbani kwake.Aliporudi tena pale sebuleni aliniambia nikae kwenye sofa nami nikaa!.

Ally Mpemba "Kaka naomba ulichokiona ibaki siri yako!"

Aliendelea "Hakuna mtu yeyote anayejua ili jambo isipokuwa wewe"

Mimi "Usijali kaka haya ni maisha tu!"

Ally Mpemba "Mimi nilikuchukua wewe unisaidie mambo yangu kwakuwa wewe unamkondo wa hela"

Aliendelea "Na umekuwa muaminifu nahitaji kukufikisha mbali zaidi!"

Aliendelea "Huyo uliyemuona siyo kiumbe wa ajabu bali huyo ndiye anayenipatia hela na mali hizi unazoziona"

Aliendelea "Siyo mkorofi na akikupenda utamfurahia,huwezi kujiuliza kwanini wewe ndiye nilitaka uwe karibu na mimi?"

Wakati ananiambia mambo yote hayo mimi nilikuwa nimetulia tu nikimuangalia huku nikitikisa kichwa cha kuonyesha ukubali kwenye maswali aliyotaka ukubali wangu.

Ally Mpemba "wewe unanyota ya utajiri master labda uichezee mwenyewe!"

Mimi "Kweli kaka!?"

Ally Mpemba "Una nyota ya pesa ambayo pesa ikija kwako haitoki labda uitoe mwenyewe au mtu akuchukue uwe unmzalishia pesa!"

Aliendelea "Kaka mjini hapa,ukifa masikini shauri yako,mimi nakushauri kama rafiki yako"

Mimi "Kaka kuna mtu anapenda umasikini?,nahangaika juani ili nipate pesa kaka"

Ally Mpemba "Pesa unatembea nayo nyuma yako harafu unasema unahangaika juani!,watu wa bara hamjuagi kuchangamka!"

Mimi "Kaka nielekeze namna ya kufanya"

Ally Mpemba "Wewe unakifua?,siyo unapenda kupanda tu kwenye Range ukadhani mambo ni mepesi"

Mimi "Kaka kama nimewahi kushika bunduki hakuna jambo litakalo nishinda"

Ally Mpemba "Bunduki mwatumia huko bara,hapa mjini twatumia kisomo tu mambo yajipa!"

Aliendelea "Hebu simama unifuate"

Nilisimama nikamfuata Ally Mpemba kisha tukaingia kwenye kile chumba kilichokuwa na yule kiumbe wa ajabu,baada ya kuingia ndani aliwasha taa akasogea mpaka kwenye kabati la ukutani kisha akalifungua,alipolifungua akaanza kuita kwa sauti.

Ally Mpemba "Mayaaa"

Aliendelea "wewe Maya toka nje nakuita"

Alipokuwa akiita yule kiumbe akawa anaunguruma kwa mtetemo,kiukweli nilisogea nyuma kwa hofu maana haikuwa hali ya kawaida na sikuelewa siku zote jamaa alikuwa akiishi vipi mle ndani peke yake na yule kiumbe bila ndugu zake kujua jambo lolote!.

Baada ya kuita hilo jina la Maya kwa muda kadhaa,yule kiumbe wa ajabu alitoka na alipotoka alipomuona jamaa alimuinamia kama kumsujudu,kiukweli kilikuwa ni kitendo kilichonishangaza sana kwasababu Ally Mpemba kila alichokuwa akimwambia yule kiumbe alionekana kuelewa na kuogopa.Ally Mpemba kuna lugha aliongea nae kisha yule kiumbe aliyekuwa akitoa harufu ya ajabu aliondoka akarudi kwenye lile kabati kisha Ally Mpemba akarudishia lile kabati.

Kumbe kwenye lile kabati kulikuwa kumechimbwa shimo kama la futi sita na ndipo yule kiume alikuwa akikaa,sasa kama ulikuwa ukifungua ile kabati ilikuwa ngumu kumuona kwasababu alikuwa akiingia kwenye lile shimo kulikuwa na ubao ambao ulikuwa ukifunika na hivyo siyo rahisi mtu wa kawaida hata kama ingetokea kuingia mle chumbani kujua kama kulikuwa na mtu mle ndani labda kama ikitokea umeingia yule kiumbe aanze kuunguruma!.

Mimi "Kaka huyu ni nani kwani?"

Ally Mpemba "Nishakwambia huyo ndiye kila kitu kwangu sheikh"

Aliendelea "Watu wa Bara hapa mjini mmekuja kuwashangaa watu"

Aliendelea "Au nawe unataka kuwa msindikizaji?"

Mimi "Hapana kaka"

Ally Mpemba "Kwanza kabla ya kukusaidia inapaswa uslim"

Mimi "Kuslim tu kaka,mbona haina shida hiyo"

Ally Mpemba "Usiseme haina tatizo,usijedhani ni kuslim kama unavyodhani weye!"

Ally Mpemba " mtu wa kukusilimisha apatikana hapo chumbe"

Aliendelea "Uko tayari mi nimuandae?"

Mimi "Mimi nipo tayari kaka"

Aliendelea "Sawa lakini haya yote uliyoyaona humu ndani yabaki humu humu ndani,utanichukiza sana nikiyasikia sehemu na walahi sitokuacha salama"

Baada ya maneno hayo nilianza kuingiwa uoga na hofu ya ajabu,kiukweli sikujua ni kitu gani kilichokuwa kinanitia hofu muda huo lakini nachokumbuka ni kwamba niliingiwa na hofu.Sasa baada ya majadiliano yale,Ally Mpemba alinipatia funguo za gari ile Aud akanitaka nikalale,sikufahamu ni kwanini vile vyumba vingine ambavyo vilikuwa vimefungwa hakutaka nilale huko hadi aniambie nikalale kwenye gari nje,kiukweli kwa maisha jamaa aliyokuwa akiyaishi ilifika sehemu na mimi nikazamani kuwa kama yeye.

Marafiki muda mwingine utushawishi hadi kujikuta tunaangukia kwenye maisha mabaya kuliko hapo mwanzo,mimi baada ya kufahamiana na Ally Mpemba nilidhani uenda maisha yangu yangekuwa mazuri kumbe haikuwa kama nilivyodhani,ilifika sehemu nikaacha kazi yangu ya usajili wa line iliyokuwa ikinipatia fedha halali na kudandia maisha ambayo baadae niliyaona ni kero na yenye majuto.Kiukweli ilifikia hata kazi niliyokuwa nikiifanya niliiona ya kipumbavu baada ya Ally Mpemba kuwa ananipatia fedha nyingi za bure bure ambazo nilizifurahia bila kujua kuna siku zingenigharimu.Tangu nimemfahamu Ally Mpemba na pamoja na yeye kuwa rafiki yangu,sikuwahi hata siku moja kulala kwenye ile nyumba yake na yeye mwenyewe hakuruhusu mimi kulala mle ndani.

Baada ya wiki kama mbili tulijiandaa na jamaa akawa mwenyeji wangu kuelekea kisiwa cha Chumbe Unguja.


Itaendelea...........
Alafu mwanangu usifanye hadi tukupie kelele ndio ulete mzigo
Hizi tabia alikua nayo mpwayungu village
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 15.




Ally Mpemba "Kaka ...kaka....umefanya nini! Kaka!?"

Mimi "Kuna nini kaka Ally?"

Ally Mpemba "Kaka unataka kuniua?"

Mimi "Kaka Ally uko poa kweli?"

Basi jamaa alianza kulia kwa kwikwi kitu ambacho kilikuwa kikinichanganya zaidi,sikuelewa kama yale maneno aliyokuwa akiniambia yalikuwa ya kwangu au labda kuna mtu alikuwa akimpigia simu bahati mbaya ikaja kwangu!.
Nilipofika lile eneo ambalo nilimuacha Ally Mpemba akiwa na rafiki zake sikumkuta hivyo ikabidi nimpigie simu.

Mimi "Kaka nimerudi na sikuoni hapa!"

Ally Mpemba "Nisubiri hapo hapo narudi muda huu"

Haikupita hata dakika 20 jamaa akawa amefika pale akamlipa yule dereva taxi kisha akaniambia niingie kwenye gari yake tuondoke.Wakati tukiwa kwenye gari jamaa alionekana kana kwamba amechukia sana na sikuelewa kilichokuwa kimemchukiza ni kitu gani.

Ally Mpemba "Daah ndugu yangu nilikwambia ufike ufungue tu chumba uondoke sasa wewe umefanya nini?"

Mimi "Kaka nilipofungua chumba ile natoka nielekee nje ndipo yule kiumbe akanipita akikimbilia sebuleni"

Ally Mpemba "Kaka ushaharibu"

Kwa namna ambavyo jamaa alikuwa amechukia niliamua kukaa kimya ili nione atafanya kitu gani,sikutaka kabisa kumuongelesha kwa wakati ule maana niliona ningeendelea kumuudhi,sasa kumbe kile kitendo cha mimi kumuona yule kiumbe wa ajabu kilimshitua Ally Mpemba kule alikokuwa na sikuelewa alijuaje,kiukweli nilibaki na maswali mengi sana ambayo hayakuwa na majibu;kwakuwa nishakuwa mtu mzima tayari,niliamini hata fedha alizokuwa nazo Ally Mpemba zilikuwa na msukumo wa ushirikina ndani yake,kiukweli niliamua kukaa kimya ili nione ataniambia nini!.

Tulivyofika nyumbani mida ya 4 usiku,nilishuka kwenye gari nikafungua geti kisha jamaa akaingiza gari ndani na kuipaki,alishuka haraka haraka akaniambia hebu njoo ndani,alivyofungua mlango na kuzama ndani tukakuta yule kiumbe amekula kila kitu kilichokuwa pale kwenye meza kama kawaida,sasa Ally Mpemba akaniambia nitoe kile kitambaa nikipeleke jikoni kisha nimsaidie kusafisha pale sebuleni,yeye aliingia chumbani ambako alikaa kwa muda kama wa dakika 5 kisha akawa amerudi pale sebuleni akiwa amevaa kanzu nyeupe akiwa amejifunga na kitambaa,mkononi akiwa ameshika kanzu nyingine nyeupe akanitaka niivae.

Ally Mpemba "Vaa hii tafadhali!"

Mimi "Nivae juu ya nguo zangu hizi?"

Ally Mpemba "wewe vaa hivyo hivyo tu!"

Baada ya kuvaa ike kanzu ambayo ilikuwa ikinukia manukato mazuri,alichukua kitambaa cheupe kama alichokuwa amejifunga kichwani akanifunga na mimi!.Kimuonekano tulifanana kama wale jamaa wa dubai au saudia wanao vaa kanzu na vilemba.
Aliisogeza ile meza ya kioo pembeni kisha akatandika nguo ngumu kama kikoi kisha akanitaka nimsogelee.

Ally Mpemba "Wewe ni rafiki yangu na ninakuamini sana,tafadhali nisaidie!"

Mimi "Nikusaidie nini kaka?"

Ally Mpemba "Nifuate nitakavyokuelekeza"

Mimi "Sawa kaka"

Ally Mpemba alikuwa akitamka maneno ya kiarabu ambayo alinitaka na mimi nimfuatishe,alikuwa akitamka huku tukiwa tumekaa chini ya kile kikoi,baada ya kufanya lile zoezi kwa kurudia rudia kwa muda wa nusu saa tukawa tumemaliza na kisha akatoa kile kikoi akawa amekirudisha chumbani kwake.Aliporudi tena pale sebuleni aliniambia nikae kwenye sofa nami nikaa!.

Ally Mpemba "Kaka naomba ulichokiona ibaki siri yako!"

Aliendelea "Hakuna mtu yeyote anayejua ili jambo isipokuwa wewe"

Mimi "Usijali kaka haya ni maisha tu!"

Ally Mpemba "Mimi nilikuchukua wewe unisaidie mambo yangu kwakuwa wewe unamkondo wa hela"

Aliendelea "Na umekuwa muaminifu nahitaji kukufikisha mbali zaidi!"

Aliendelea "Huyo uliyemuona siyo kiumbe wa ajabu bali huyo ndiye anayenipatia hela na mali hizi unazoziona"

Aliendelea "Siyo mkorofi na akikupenda utamfurahia,huwezi kujiuliza kwanini wewe ndiye nilitaka uwe karibu na mimi?"

Wakati ananiambia mambo yote hayo mimi nilikuwa nimetulia tu nikimuangalia huku nikitikisa kichwa cha kuonyesha ukubali kwenye maswali aliyotaka ukubali wangu.

Ally Mpemba "wewe unanyota ya utajiri master labda uichezee mwenyewe!"

Mimi "Kweli kaka!?"

Ally Mpemba "Una nyota ya pesa ambayo pesa ikija kwako haitoki labda uitoe mwenyewe au mtu akuchukue uwe unmzalishia pesa!"

Aliendelea "Kaka mjini hapa,ukifa masikini shauri yako,mimi nakushauri kama rafiki yako"

Mimi "Kaka kuna mtu anapenda umasikini?,nahangaika juani ili nipate pesa kaka"

Ally Mpemba "Pesa unatembea nayo nyuma yako harafu unasema unahangaika juani!,watu wa bara hamjuagi kuchangamka!"

Mimi "Kaka nielekeze namna ya kufanya"

Ally Mpemba "Wewe unakifua?,siyo unapenda kupanda tu kwenye Range ukadhani mambo ni mepesi"

Mimi "Kaka kama nimewahi kushika bunduki hakuna jambo litakalo nishinda"

Ally Mpemba "Bunduki mwatumia huko bara,hapa mjini twatumia kisomo tu mambo yajipa!"

Aliendelea "Hebu simama unifuate"

Nilisimama nikamfuata Ally Mpemba kisha tukaingia kwenye kile chumba kilichokuwa na yule kiumbe wa ajabu,baada ya kuingia ndani aliwasha taa akasogea mpaka kwenye kabati la ukutani kisha akalifungua,alipolifungua akaanza kuita kwa sauti.

Ally Mpemba "Mayaaa"

Aliendelea "wewe Maya toka nje nakuita"

Alipokuwa akiita yule kiumbe akawa anaunguruma kwa mtetemo,kiukweli nilisogea nyuma kwa hofu maana haikuwa hali ya kawaida na sikuelewa siku zote jamaa alikuwa akiishi vipi mle ndani peke yake na yule kiumbe bila ndugu zake kujua jambo lolote!.

Baada ya kuita hilo jina la Maya kwa muda kadhaa,yule kiumbe wa ajabu alitoka na alipotoka alipomuona jamaa alimuinamia kama kumsujudu,kiukweli kilikuwa ni kitendo kilichonishangaza sana kwasababu Ally Mpemba kila alichokuwa akimwambia yule kiumbe alionekana kuelewa na kuogopa.Ally Mpemba kuna lugha aliongea nae kisha yule kiumbe aliyekuwa akitoa harufu ya ajabu aliondoka akarudi kwenye lile kabati kisha Ally Mpemba akarudishia lile kabati.

Kumbe kwenye lile kabati kulikuwa kumechimbwa shimo kama la futi sita na ndipo yule kiume alikuwa akikaa,sasa kama ulikuwa ukifungua ile kabati ilikuwa ngumu kumuona kwasababu alikuwa akiingia kwenye lile shimo kulikuwa na ubao ambao ulikuwa ukifunika na hivyo siyo rahisi mtu wa kawaida hata kama ingetokea kuingia mle chumbani kujua kama kulikuwa na mtu mle ndani labda kama ikitokea umeingia yule kiumbe aanze kuunguruma!.

Mimi "Kaka huyu ni nani kwani?"

Ally Mpemba "Nishakwambia huyo ndiye kila kitu kwangu sheikh"

Aliendelea "Watu wa Bara hapa mjini mmekuja kuwashangaa watu"

Aliendelea "Au nawe unataka kuwa msindikizaji?"

Mimi "Hapana kaka"

Ally Mpemba "Kwanza kabla ya kukusaidia inapaswa uslim"

Mimi "Kuslim tu kaka,mbona haina shida hiyo"

Ally Mpemba "Usiseme haina tatizo,usijedhani ni kuslim kama unavyodhani weye!"

Ally Mpemba " mtu wa kukusilimisha apatikana hapo chumbe"

Aliendelea "Uko tayari mi nimuandae?"

Mimi "Mimi nipo tayari kaka"

Aliendelea "Sawa lakini haya yote uliyoyaona humu ndani yabaki humu humu ndani,utanichukiza sana nikiyasikia sehemu na walahi sitokuacha salama"

Baada ya maneno hayo nilianza kuingiwa uoga na hofu ya ajabu,kiukweli sikujua ni kitu gani kilichokuwa kinanitia hofu muda huo lakini nachokumbuka ni kwamba niliingiwa na hofu.Sasa baada ya majadiliano yale,Ally Mpemba alinipatia funguo za gari ile Aud akanitaka nikalale,sikufahamu ni kwanini vile vyumba vingine ambavyo vilikuwa vimefungwa hakutaka nilale huko hadi aniambie nikalale kwenye gari nje,kiukweli kwa maisha jamaa aliyokuwa akiyaishi ilifika sehemu na mimi nikazamani kuwa kama yeye.

Marafiki muda mwingine utushawishi hadi kujikuta tunaangukia kwenye maisha mabaya kuliko hapo mwanzo,mimi baada ya kufahamiana na Ally Mpemba nilidhani uenda maisha yangu yangekuwa mazuri kumbe haikuwa kama nilivyodhani,ilifika sehemu nikaacha kazi yangu ya usajili wa line iliyokuwa ikinipatia fedha halali na kudandia maisha ambayo baadae niliyaona ni kero na yenye majuto.Kiukweli ilifikia hata kazi niliyokuwa nikiifanya niliiona ya kipumbavu baada ya Ally Mpemba kuwa ananipatia fedha nyingi za bure bure ambazo nilizifurahia bila kujua kuna siku zingenigharimu.Tangu nimemfahamu Ally Mpemba na pamoja na yeye kuwa rafiki yangu,sikuwahi hata siku moja kulala kwenye ile nyumba yake na yeye mwenyewe hakuruhusu mimi kulala mle ndani.

Baada ya wiki kama mbili tulijiandaa na jamaa akawa mwenyeji wangu kuelekea kisiwa cha Chumbe Unguja.


Itaendelea...........
Hatari hii, kumbe Ally asingekuww na msukule wake wewe ndio ungekuwa msukule wake wa kumzalishia pesa.

Hakika hakuna utajiri mwepesi, wengi tunapesa za kula tu na kubadilisha mboga
 
Back
Top Bottom