Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ally Mpemba unamfahamu unawafahamu wapemba? Haya nisiseme sana.
Wewe ndugu Chizi Maarifa utakuwa na matatizo, mbona kwenye thread zako hakunaga mtu anaekuja kukuzonga kama jinsi wewe unavyofanya kwa Master UMUGHAKA, kujuana nje ya Jf isiwe sababu ya kuja kumsakama hivi mwenzio, mbona wengi tu tunafahamiana nao nje ya hapa lakini tunaweka heshima kwenye thread zao.

Imeshasemwa sana mambo ya humu usiyachukulie u serious sana, ukiona jambo limeletwa na mwenzio lakini hujalipenda si unapita kimya kimya tu kwani kuna haja gani ya kuja kutuonesha jinsi usivyompenda
 
Wewe ndugu Chizi Maarifa utakuwa na matatizo, mbona kwenye thread zako hakunaga mtu anaekuja kukuzonga kama jinsi wewe unavyofanya kwa Master UMUGHAKA, kujuana nje ya Jf isiwe sababu ya kuja kumsakama hivi mwenzio, mbona wengi tu tunafahamiana nao nje ya hapa lakini tunaweka heshima kwenye thread zao.

Imeshasemwa sana mambo ya humu usiyachukulie u serious sana, ukiona jambo limeletwa na mwenzio lakini hujalipenda si unapita kimya kimya tu kwani kuna haja gani ya kuja kutuonesha jinsi usivyompenda
Nadhani hili la kuzonga waandishi sio jambo zuri.mwandishi halazimishwi popote pale kumalizia hadithi yake.nyingi ya hadithi au story zenye mwendelezo humu JF ni vizuri msomaji ukawa unajiandaa kisaikolojia kwa lolote lile.pia nyingi ya hadithi za humu JF ni hadithi kama hadithi zingine

Siyo vizuri kumzonga mwandishi aandike ukweli wakati ni story tu.
 
Nadhani hili la kuzonga waandishi sio jambo zuri.mwandishi halazimishwi popote pale kumalizia hadithi yake.nyingi ya hadithi au story zenye mwendelezo humu JF ni vizuri msomaji ukawa unajiandaa kisaikolojia kwa lolote lile.pia nyingi ya hadithi za humu JF ni hadithi kama hadithi zingine .sio vizuri kumzonga mwandishi aandike ukweli wakati ni story tu.
Ni kweli kabisa
 
Ungenifundisha bila shaka ningekuwa na utindio wa Ubongo zaidi yako.

Ulianzisha uzi wako kule kwa kunitaja ila shukuru kwa bahati nzuri huwa sijibu watu wasio kuwa na akili timamu,nakujibu hapa kwasababu umekuwa ukijipendekeza kwangu sijui unachotaka ni kitu gani,kwanini usipambane na nyuzi zako?
Mkuu acheni malumbano wewe shush uzi.!
 
Back
Top Bottom