Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata wewe ni jobless ndo mana upo hapaUMUGHAKA ana majukumu jamani halafu sio lazima na halazimishwi atafanya anavyotaka mtu ataachaje kazi zake ili akuridhishe wewe tu?
Nimegundua watu wengi humu ni majobless hawana kazi za kuwa keep busy. Hebu badilikeni na muwe Wavumilivu kama mkiwa mnataka mtu afanye kile mnachokitaka mtapata tabu sana hasa kwenye maisha ya kawaida. Jifunzeni kuwa na Subira halafu hata mkiwa mnashushiwa episodes daily zitabadilisha nini kwenye maisha yenu?
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Mkuu siku hizi duniani kuna biashara ya data sasa uzi ufutwe hizo data zitauzwaje?Umeipata pata sasa..sisi tulilalamika siku nyingi huyu jamaa ana katabia flani hili "kahovyo". Mpaka tukashauri kama ulivyoshauri Mods wafute huu uzi maana umejaa malumbano tu na yeye anapita anaangalia tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ata wewe ni jobless ndo mana upo hapa
Wewe jamaa una kiherehere sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jobless nisiye lazimisha fulani afanye kitu ili niridhike nafsi yangu. Hivi hata kama episodes zote zikiwekwa hapa zitakusaidia nini? Zaidi ya kufurahi na furaha yenyewe haidumu hata masaa mawili. Watu wa jifunze kuwa content na kile kinachowekwa.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Watu wanalilia kama watoto mpaka aibu sasa si watulie?Wewe jamaa una kiherehere sana.
Sasa unashangaa mbona Kuna matajiri wengi maagano Yao ni mapenzi jinsia mojaHizi tibia za...View attachment 2479606
Ukirudi ya 18 mnishtue ndugu na marafiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jobless nisiye lazimisha fulani afanye kitu ili niridhike nafsi yangu. Hivi hata kama episodes zote zikiwekwa hapa zitakusaidia nini? Zaidi ya kufurahi na furaha yenyewe haidumu hata masaa mawili. Watu wa jifunze kuwa content na kile kinachowekwa.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Vijana tunatakiwa tubadirike aisee halafu kinachowafanya wakilalamikie hakina faida yoyote kwenye maisha ya kawaida. Vijana tuwe na utulivu hii ni burudani tu hata kama utashushiwa episodes buku haIkusaidii kitu. Relax and enjoy. Kwa hiki unachowekewa hapa tena bureYaani mtu aache kutafuta hela huko ashinde akiwaandikia story ambayo pia hamumlipi. Watafute kazi za kufanya waache kulalamika hovyo
Is this maya ?Umughaka wee ni nyosoView attachment 2479982