kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Shetani ungemwamini tangu siku Ile alipompandisha Yesu mlimani na kumwahidi atampa utajiri wote wa Dunia kama atamsujudia. Kwa kifupi "utajiri ni wa shetani"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachupa kamoja mwenzio amezoea vitu vya hela vizito kama vyoteTata muraaa njoo hapa QX - Bunju kwa Baharia tumwagilie moyo huku ukiandika the next episode ukimnyandua Maya UMUGHAKA
View attachment 2482550
Last seen mchana (saa 8),,naamini yu salmiinKuna habari kuhusu mleta uzi i hope si za kweli i hope he is alive and safe
Oya tunakuheshimu nimeona unarudia huu ujumbe wako kama sio mara ya pili hii basi ya tatu, humjui hakujui usimzushie uwongo. AlamsikKuna habari kuhusu mleta uzi i hope si za kweli i hope he is alive and safe
Stres mbaya sanaKuna habari kuhusu mleta uzi i hope si za kweli i hope he is alive and safe
HopefulLast seen mchana (saa 8),,naamini yu salmiin
Tumeshapita huko, tunasubiri 19 wiki ijayo18 ipo ama?
Mwezi ujao[emoji23]Tumeshapita huko, tumasubiri 19 wiki ijayo
Ficha upumbavu wako onyesha hekima.Kuna habari kuhusu mleta uzi i hope si za kweli i hope he is alive and safe
Ya pili mkuu, ya tatu badae kidogoOya tunakuheshimu nimeona unarudia huu ujumbe wako kama sio mara ya pili hii basi ya tatu, humjui hakujui usimzushie uwongo. Alamsik
Askwambie mtu mkuuStres mbaya sana
UPumbavu ni kuhope he is safe? Kina mama muwe mnakaa mbali na mada za kiume mtakula makofi mkashtaki dawatiFicha upumbavu wako onyesha hekima.
Hii ilikuwa ni kauli mbiu ya JF enzi hizo. Jaribu kuwa na hekima sio kuandika upumbavu.
Humu kuna wapumbavu wengi sanaFicha upumbavu wako onyesha hekima.
Hii ilikuwa ni kauli mbiu ya JF enzi hizo. Jaribu kuwa na hekima sio kuandika upumbavu.
Humu kuna wapumbavu wengi sanaFicha upumbavu wako onyesha hekima.
Hii ilikuwa ni kauli mbiu ya JF enzi hizo. Jaribu kuwa na hekima sio kuandika upumbavu.
Uhakika gani Mimi ni Mwanamke? Onyesha hekima Kijana unless otherwise usije ukapigwa nyundo.UPumbavu ni kuhope he is safe? Kina mama muwe mnakaa mbali na mada za kiume mtakula makofi mkashtaki dawati
Sawa mama we piga nyundo msumari ukuingie vizuriMbona una hasira sana Kijana halafu una
Uhakika gani Mimi ni Mwanamke? Onyesha hekima Kijana unless otherwise usije ukapigwa nyundo.