Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Active Diversity Moderator Maxence Melo Member wanawaomba mfanye jambo ktk Thread hii ,haiwezekani mtu kama huyu kudharau member wa JF kwa kivuli cha uboda boda ,ikiwapendeza apigwe Ban ya maisha na uzi wake ufutwe maana Una kichwa tuu hauna kiwili wili wala miguu ni harmful kwa wasomaji..
Huyu UMUGHAKA achaneni nae akomae na biashara yake ya mayai na uboda boda kama vipi someni episode ya 20 kutoka kwa VIKITIM. Post #4088


Post in thread 'Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani' https://www.jamiiforums.com/threads...nya-nikamuamini-shetani.2048232/post-45071244
 
Huu ndo upuuzi wa ngozi nyeusi vistory vitatu kashajiona super star kwasababu ushaona umateka fikra za watu hapa unapita kila siku unasoma comments unacheka tuu unaona unatukomoa fala wewe ungejua humu jamii forum kuna watu wanaweza kukudhamin ukachapisha vitabu ukawa umetoka kimaisha ila kwa dharau hizi huwezi kupata hata mdhamini fala wewe hata kama umetingwa na kazi sema watu wajue, from now am out na huu upuuzi endelea kudengua kama mtoto wa kike mbwa wewe. By the way sipo jobless nina kazi so watu msije sema sina kazi sema time kama hii nipo home nilikua napita kusoma story ya huyu kenge.
◉‿◉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😆😆😆😆😆😆
Yani huyu UMUGHAKA atafanya watu wajinyonge humu。◕‿◕。(✷‿✷)(✷‿✷)(✷‿✷)(✷‿✷)
 
Taarifa Rasmi kwa fans wote wa UMUGHAKA

Storry itaendelea tarehe 15 mwezi wa 2 mwaka 2023 yaani siku moja baada ya Valentine's day.... Tumesimama kuendeleza Story baada ya kuona watu wengi kushinda humu na inawezekana mpaka sasa hivi hawajaandaa zawadi za kuwapa Baby zao...

Sisi kama Familia ya UMUGHAKA hatutaki lawama yoyote ndiyo maana tumewapa wiki tatu za kufanya kazi na kupata hela

ANGALIZO: Kuna watu wanapenda kutukana humu wanadhani na sisi hatujui matusi siku tukichafukwa humu hatuhitaji Lawama[emoji52][emoji52]
By: Msemaji wa Familia
UMUGHAKA Family
Wewe ni mkewe UMUGHAKA
 
Taarifa Rasmi kwa fans wote wa UMUGHAKA

Storry itaendelea tarehe 15 mwezi wa 2 mwaka 2023 yaani siku moja baada ya Valentine's day.... Tumesimama kuendeleza Story baada ya kuona watu wengi kushinda humu na inawezekana mpaka sasa hivi hawajaandaa zawadi za kuwapa Baby zao...

Sisi kama Familia ya UMUGHAKA hatutaki lawama yoyote ndiyo maana tumewapa wiki tatu za kufanya kazi na kupata hela

ANGALIZO: Kuna watu wanapenda kutukana humu wanadhani na sisi hatujui matusi siku tukichafukwa humu hatuhitaji Lawama[emoji52][emoji52]
By: Msemaji wa Familia
UMUGHAKA Family
Sawa MAYA.
 
Pitieni hii hapa mpunguze arosto😁😁 kwangu Mimi hii ndo story Bora kabisa toka Kwa legendary UMUGHAKA

 
Mwenye alosto aje uku tupate burudani,uku ni bandika bandua..

JamiiForums661136343.jpg
 
Mwenye alosto aje uku tupate burudani,uku ni bandika bandua..

View attachment 2495354
Tuki baki hai
 
Back
Top Bottom