Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ooh kama ametaja location na hizo description zingine ni rahisi watu kumfahamu
Mods wa JF hata IP zetu wanaziona kwahiyo humu usalama ni mdogo sana. Wazee wakiamua kufanya yao mbona anadakwa fasta. IP yake inaonekana kwa Mods. Ifikie wakati tuwe tunajidhibiti sio kuongea ongea bila mipaka.
 
Mods wa JF hata IP zetu wanaziona kwahiyo humu usalama ni mdogo sana. Wazee wakiamua kufanya yao mbona anadakwa fasta. IP yake inaonekana kwa Mods. Ifikie wakati tuwe tunajidhibiti sio kuongea ongea bila mipaka.
Sawa ndugu, ngoja tusubiri episode ijayo tuone hasira za Maya zitakavyomgaragaza umughaka
 
Weeeee seweeeziiiii naanzaje kumwacha aende kirahisi kwanzaa uwiiiii . Nampendaaa sanaaaa yani mnooooooo palee siwezi fanya makosaaaaa!!
Msisitizo tu

Ukipendaga unapendaga kweli

Chonde usije tu

Ukamwanzishia siredi humu

Hukawii wewe na akili zako za kemia

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Haya nimekuelewa mkuu Usinifokeee sasa [emoji89]!
Humu nipo juzi jana leo Keshokutwa mtondogooo nahata milele jf sitokiiiiii!!

Nimekuelewa[emoji119][emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina sababu ni sikufokei maana kipindi Cha nyuma wenye hela walitumia Mapolisi ili kumkamata Mwenye JamiiForums ili atoe taarifa za Members humu. Kwahiyo nakuambia tu. Nenda Google kaandike kesi ya Maxence Melo usome vizuri

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom