Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kama ni fiction sawa tusimuliane tu hamna shida, Ila yale ya kweli hapana kusimuliaKifupi tusiwe tunazungumzia mambo ya watu humu kwenye mitandao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni fiction sawa tusimuliane tu hamna shida, Ila yale ya kweli hapana kusimuliaKifupi tusiwe tunazungumzia mambo ya watu humu kwenye mitandao.
Usijareee kabisa mkuu!akiweka nyingine kumbuka kunitagi
Mods wa JF hata IP zetu wanaziona kwahiyo humu usalama ni mdogo sana. Wazee wakiamua kufanya yao mbona anadakwa fasta. IP yake inaonekana kwa Mods. Ifikie wakati tuwe tunajidhibiti sio kuongea ongea bila mipaka.Ooh kama ametaja location na hizo description zingine ni rahisi watu kumfahamu
Sawa ndugu, ngoja tusubiri episode ijayo tuone hasira za Maya zitakavyomgaragaza umughakaMods wa JF hata IP zetu wanaziona kwahiyo humu usalama ni mdogo sana. Wazee wakiamua kufanya yao mbona anadakwa fasta. IP yake inaonekana kwa Mods. Ifikie wakati tuwe tunajidhibiti sio kuongea ongea bila mipaka.
Kweli Kabisa mkuu Ndiomana Nimesema najaribu kukonect dots tu mimi !!
Fanya basi majaribio ya kudate ili tuthibitishe kuwa huwezi kuvunja kiapo chako.Weeee thubutruuuuuuuu!!! Yaniii kumuacha huyu nitakua na ugonjwa wa akiliiii labda au nimerogwa!! Kajua kunichanganya walai Ana vitu ameiizzinngggg sio kidogooooo!! Kwake sisikiii wala sitaki cha msukuma wala cha mtangaaaa! 😎!
Labda niwe nimerogwaaaa ila sio kwa akili zangu timamuu!!!!Fanya basi majaribio ya kudate ili tuthibitishe kuwa huwezi kuvunja kiapo chako.
Naunga mkonostory tusiharibu uzi wawatu ngosha!!
Haya nimekuelewa mkuu Usinifokeee sasa👽👽👽!!Connect halafu kausha sio unaandika public. Nikukumbushe najua wewe humu Haupo muda mrefu.
Isearch hapo juu andika jina la story na namba ya epsod itakujaNaomba Mtu anitag episode ya 17/18 Mimi natumia laptop Sina huwezo wa Kupata hizo episode
Haya nimekuelewa mkuu Usinifokeee sasa 👽!Connect halafu kausha sio unaandika public. Nikukumbushe najua wewe humu Haupo muda mrefu.
Karibu SimiyuHahaaaa...mi Mtz mmoja wakuja tu [emoji16]!
Ila Mwanza napapenda sana nikikaa nanenepa balaaa!
Nitag Mimi mgeni hapa JFIsearch hapo juu andika jina la story na namba ya epsod itakuja
Haya landUtajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 17.
Msisitizo tuWeeeee seweeeziiiii naanzaje kumwacha aende kirahisi kwanzaa uwiiiii . Nampendaaa sanaaaa yani mnooooooo palee siwezi fanya makosaaaaa!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya nimekuelewa mkuu Usinifokeee sasa [emoji89]!
Humu nipo juzi jana leo Keshokutwa mtondogooo nahata milele jf sitokiiiiii!!
Nimekuelewa[emoji119][emoji119]
Hawezi kumalizana nawe hapa, mkubalie tu ombi lakeTumalizane hapa hapa