Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Usijali mkuu wewe endelea kunifuatilia mzigo mpya nitauweka soon,nina vihoja na visa vya kutosha wewe andaa mbavu tu
Mkuu fanya namna urejee Jf hata kama ni kwa ujio mpya, hivi kama hii ban haina mwisho nani mwingine atakaetusimulia stori hivi ??
 
Daah, uliwakosea nini bwana UMUGHAKA hadi kupewa kifungo kizito hivyo?.

Karibu, ninatambua hata walikuweka korokoroni wanamiss nondo zako.


Mwenzio Mpwayungu Village yeye kaamua kuwa kimya
 
Daah, uliwakosea nini bwana UMUGHAKA hadi kupewa kifungo kizito hivyo?.

Karibu, ninatambua hata walikuweka korokoroni wanamiss nondo zako.


Mwenzio Mpwayungu Village yeye kaamua kuwa kimya
Mkuu Mods wamekuwa na matendo ya Ovyo kupita maelezo,sababu za kufungiwa kwangu hazijulikani!,walinitumia ujumbe usemao "Pumzika mkuu,tumekupumzisha kwa muda usioeleweka"

Huo ndiyo ujumbe hawa Vibaka walionitumia mkuu,Mimi Binafsi hakuna tatizo,kosa au miiko niliyokiuka hadi kufungiwa!,Hapa Jf nadhani mambo ya siasa ndiyo yanawafanya hadi wanakosa UTU!
 
  • Thanks
Reactions: K11
Mungu mkubwa, UMUGHAKA kamaliza ban yake, tutegemee vitu vikali zaidi
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume nina visa Takribani 5 Vilivyo Shiba nyama za kutosha,Tatizo hawa Mods wananifungiaga bila sababu za msingi na naona kama nikisimulia kisa changu cha " Nili lala na maiti nchini Malawi ili niwe mfanyabishara mkubwa wa Mahindi barani Afrika" ni kiwafaidisha wao!
 
Mkuu Mods wamekuwa na matendo ya Ovyo kupita maelezo,sababu za kufungiwa kwangu hazijulikani!,walinitumia ujumbe usemao "Pumzika mkuu,tumekupumzisha kwa muda usioeleweka"

Huo ndiyo ujumbe hawa Vibaka walionitumia mkuu,Mimi Binafsi hakuna tatizo,kosa au miiko niliyokiuka hadi kufungiwa!,Hapa Jf nadhani mambo ya siasa ndiyo yanawafanya hadi wanakosa UTU!
Pole sana kiongozi, ndio maana siku hizi watu wenye chakula cha ubongo wengi wameacha kuandika humu.
 
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume nina visa Takribani 5 Vilivyo Shiba nyama za kutosha,Tatizo hawa Mods wananifungiaga bila sababu za msingi na naona kama nikisimulia kisa changu cha " Nili lala na maiti nchini Malawi ili niwe mfanyabishara mkubwa wa Mahindi barani Afrika" ni kiwafaidisha wao!
Pole bro. Watu wa Mara mnawengwa sana na mods, sio wewe tu, hata GENTAMYCINE
 
Back
Top Bottom