Utajiri wa ushirikina una masharti magumu sana

Mbona story yenyewe umeikata ghafla au mwenyewe kaja....😜😂

Malizia bac mpendwa...🤔🤔
 
Ila kuna sehemu kama tumepigwa na dude zima kichwani "wazazi wa muhasibu walisafiri kwa ndege kutoka kijijini" kwa Nchi hii iliyorogwa ni kijiji gani kina uwanja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa ulitaka niandike walioga na kuvaa kandambili wakasubiri bodaboda mpaka airport!
 
Ni utajiri wa mateso kwa maana ya masharti kibao
 
Shetani hana shukrani wala fadhila hata umpe ukoo wako wote ukishawamaliza ni lazima akumalize na utajiri wake anajua kisha anampa boya mwingine kwa mtiririko huo huo
 
Sasa story zako mbona zinaisha kama filamu za kinaigeria
 
Huyo mganga wa Sky Eclat Cha mtoto.
Yuko mganga Tanzania hii unakwenda kwake huna hata Mia, ukikubali masharti yake unapewa mtaji wa 30 mpaka 40 m uanzie biashara. Huyu hakuambii utembee na bi mkubwa Wala binti Ila masharti yake yamewashinda wengi.
Kwanza hataki utembee na mwanamke zaidi ya mke wako, sharti jingine Ni kurudisha ule mkopo on time ile wengine wakopeshwe. Ila masharti mengine........wengi wanarudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…