Utajiri wa ushirikina una masharti magumu sana

Utajiri wa ushirikina una masharti magumu sana

Hakuna utajiri wa kishirikina wenye masharti mepesi wengine maagano yao awatakiwi kuoa
 
Utajiri wa kishirikina ungekuwa na Maana kama mwanadamu unaishi milele.
 
Bwa Uyoga alikua mfanyabiashara wa kawaida lakini huku Kwamtogole tulimuona wa mboga saba, alikua na usafiri wa IST na mke wake hakupanda basi kwenda sokoni. Watoto walisoma English Medium.

Katika kupambana na maisha alikutana na fundi aliyemuahidi utajiri wake utaongezeka akifuata masharti yake. Sharti la kwanza ni kuwa mwanaune wa kwanza kulala na binti yake mkubwa na la pili ni kutokulala na mke wake usiku. Uyoga alianza kufanya mapenzi na binti yake, utajiri ulianza kumiminika na mke alinunuliwa Mercedes Benz Sport Car. Sifahamu kama mama alifahamu au la.

Kule ofisini oder ziliongezeka mpaka ilibidi atatute sehemu kubwa ya kuweka ofisi na kuanza kuajiri vijana wasomi wa kusaidia kuendesha biashara. Katika wasomi wakiajiriwa kulikua na kijana mhasibu, alijipenda sana, alikua nadhifu muda wote.

Mhasibu alikaa sana bench tangu amalize chuo kwahiyo ile kazi kwake ilikua life line, alifanya kazi mpaka saa mbili usiku siku nyingine mradi alikwenda nyumbani aliacha hesabu zime balance. Uyoga. alimpenda sana mhasibu, hata mikutano yake mingine ya kibiashara alimuomba amuakilishe kama mikutano inaingiliana.

Kule nyumbani binti wa Uyoga alikamata ujauzito. Uyoga hajui afanye nini, akiwa Mzee wa heshima katika jamii. Alimuita Mhasibu na kumuweka kikao ofisini kwake. Alimuambia unaoa mwezi ujao, unamuoa binti yangu na harusi yote nitaigharamia mimi. Mhasibu alipewa ghorofa la kuanzia maisha gari na mtaji wa biashara kwa masharti pia awe mhasibu wa Uyoga kwa siku hata mbili kwa wiki.

Harusi ilikua kubwa sana, ndugu wa mhasibu walisafiri kutoka kijijini kwa usafiri wa ndege na walifikia hotelini.. Baada ya harusi mhasibu anagundua yaliyomo yamo mkewe ni mjamzito tena mimba karibu miezi mitatu. Ndipo alipofahamu kuwa hakuna free lunch mjini. Alilea mimba mpaka inakua na mtoto anazaliwa.

Mtoto alizaliwa na matatizo ya kiafya kutokana na muingiliano wa genes. Uyoga aliwasaidia wanandoa wapya kutafuta matibabu nje ya nchi ikiwemo Afrika ya Kusini na India. Watoto waliofuata walikua ni wa mhasibu.
Hii hadith inatufundisha nini?
 
Mtumishi naona bado unapambana..keep it up. Ila angalia usije ishia mirembe, mana wa aina yako hua wanaongea wenyewe ovyo, huku mmebeba makabrasha na cd za firimasoni mtaani.
Ushavuta nini hela kula taratibu ila ukifika wakati wa kulipa usianze kurusha ngumi
 
Pambana mtumishi yakobo pambana ...
Nilishapambana nakula matunda kwa raha amani tele bila deni na Mtu.
Maisha ya Dunia si zaidi ya kula na kunywa mengine ni ziada
 
Wengine wanalala na binti zao bila hata huo utajiri, wengine mpaka na mama zao yote kwa yote vurugu tu katika hii dunia na kila mtu anabeba dhambi zake kulingana na mfuko wake.
Ya kulala na mama zao ni kweli kabisa nimeshuhudia kabisa na siyo kusaka utajiri tamaa za kijinga.

So sad
 
Shetani anachotoka mtu ukose mbingu tu. Usipoelewa unaweza kufikiri umepatia maisha kumbe umejiangamiza nafsi yako mwenyewe.
Mbingu ipi? Ile ya kuimba tu halafu mkiwa roho tu bila miili, mkizuiliwa kuoa na kuolewa au ile ya kupewa mabikra 100 wote unawashughulikia. Unazungumzia mbingu ipi?
 
Back
Top Bottom