badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,761
Utulivu wa nafsi ni mafanikio. Nitoe angalizo tuu kuwa Hii mada sio kwa ajili ya kila mtu ni kwaajili ya watu wachache sana ndio wataelewa.
Kwa mujibu wa tafiti za kiroho inathibitishwa kuwa asilimia 75 ya wakazi wa hapa duniani hawana nafsi. Ikumbukwe binadamu anakamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni mwili, nafsi na roho. Nikisema tafiti za kiroho namanisha wenye uwezo wa kuona vitu wanaona jinsi demons au mapepo wanavyoruka kutoka ndani ya mtu mmoja na kwenda kwa mtu mwingine.
Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikuwa nashambuliwa sana na demons au mapepo kupitia empty souls au watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaingiliwa na mapepo bila wao kujua na kujikuta wakifanya vitu vya ajabu mbele yangu ili kunipa hofu kuwa kuna kituhakipo sawa.
Mapepo walinishambulia sana kwa kupitia watu hawa ambao hawana nafsi mfano nilikuwa nafatiliwa na watu kila niendapo, kila kazi nikifanya naharibiwa au nasambaziwa taarifa za uongo za kunichafua bila mimi kujua. Miongoni mwa vitimbi ni kukohoa ovyo kucheka ovyo na chuki za waziwazi kwa watu ninao wajua na hata nisio wajua au kufatiliwa na watu wanaovaa aina fulani za nguo lakini mwisho wa siku nilishinda mbinu za adui.
Badae nilikuja kupata Maarifa ambayo yalinifungua nikajua baadhi ya siri za ulimwengu ikiwamo baadhi ya siri za mfalme suleiman ndipo nilipojua ukweli kuhusu “Tzvarnoharno” nguvu ya Tzvarnoharno ni kubwa sana. Pale mtu anavyo pata kujifahamu yeye ni nani na asili yake ni nani huanza kushambuliwa katika ulimwengu wa roho kama wewe una roho ndogo unaweza kudhani unalogwa lakini kama ni mtu wa imani utajua ni devil yule mwovu anakujaribu.
Fanya utafiti au reseach juu ya neno “Tzvarnoharno” utajua baadhi siri za mfalme suleimani kwanini aliweza kuwamiliki majini 72 na kuyatumikisha atakavyo.
Chanzo cha binadamu/ watu kukosa nafsi ni moja ni kuzaliwa ukiwa hivyo ukiwa huna nafsi hii inaitwa glitch in the matrix na mbili ni kuuza nafsi ili uweze kutumika kama chombo (vessel/portal) na viumbe wa daraja la chini kama vijini. Mtu mwenye vijini au anayepandisha kijini huyo hana nafsi wala nguvu yoyote ya kiroho na muda wote huwa na hisia kama upepo unaingia mwilini mwake.
Kukosa nafsi kwa lugha rahisi naweza kutoa mfano wa kifaa kama Computer. Bila kuwekwa Operating system computer haiwezi kufanya kazi kwamfano huo ni kwamba ili uweze kutumia vizuri computer ni lazima uwe na Windows bila hiyo windows inakuwa computer ambaye haija kamilika.
Watoto wengi waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 (millennials) wengi wao hawana nafsi ni kama Bots tuu. Maisha yao ni vanity and greedy hawana uwezo wa kuchambua hoja au uwelewa wa kuwa na malengo katika maisha yao. Hawana malengo isipokuwa wachache sana ambao wamebahatikq kuzaliwa wakiwa kamili.
Katika mada zangu nimekuwa nikizungunzia kuhusu negative and positive energies. Negative energy mfano wake ni fears, worrying, hate, green, overindulge in sex, addictions drugs and cigarettes to mention the few.
Kwa upande wa positive energy mfano wake ni definite purpose in life, thinks of love, success, abundance,prosperity,courage and faithfulness to mention the few.
Katika mada zangu nimeweza kuelezea wasomaji wangu wachache kuhusiana na watu ambao ni narcissist au sociopaths ambao ni watu wenye negative energy na vilevile katika mada zangu nimweza kuzungumzia watu wema au wenye positive energy ambao ni empathetic au empaths.
Watoto wengi wanaozaliwa kipindi hichi hawana nafsi kama ukifanya uchunguzi kwa watoto tena ni rahisi sana kwa mtu anayekaa nyumba ya kupanga au uswahilini unaweza ukaona kuna watoto wa aina mbili wachoyo wenye wivu na watundu na vile vile ukaona watoto watoaji na watulivu. “ ondoa mtazamo kuwa hao ni watoto tuu” hakuna kitu kama hicho. Tabia ya mtu ni ile ya utotoni usidanganye hata kama mtoto wako anatabia hizo jua ndio hivo tena. Ndio mana wazee wwa zamani walikuwa wanauwa watoto wachanga kwani waliweza kujua kuwa huyu mtoto hana nafsi nilioewa maarifa kuhusu utamaduni wa kabila la wapare wa milimani kuna utamaduni wao unaitwa Nkumba Vana. Kwa mpare anajua hii ni nini.
Binadamu wanaozaliwa kipindi hiki hawana nafsi kwa sababu dunia kuanzia mwaka 2000 kulianza reincarnation of Souls za wafu wa miaka ya 1800-1900- mpaka mwanzoni mwa 1950 kumbuka kuwa nafsi ambazo zipo katika reincarnation cycle ni zile ambazo zilifeli mtihani wa maisha wakashindwa kufaulu mitihani yao ya maisha hivo inawabidi warudie mitihani yao ili waweze kuendelea mbele 5d au mbinguni.
Ninapo sema kila nafsi ina mtihani wa maisha mfano wake ni kama hivi unaweza kuta matatizo yako ni familia, kusalitiwa, roho mbaya, chuki, kukosa mke mume, kukosa true love au mahusiano, addiction ya madawa ya kulevya au ngono au urahibu wowote ule kwa kifupi mtihani wako wa maisha ili uwende mbinguni ni kile kitu kinachokutesa na kile kitu unachotamani kukiacha kakini huwezi. Kama Ukifabila kukamilisha hicho jua umefeli lazima urudi tena hapa duniani tena mpaka ufaulu.
Take notice kwamba hakuna dini wala maombi yatakayo kufanya uende mbinguni huo ni upigaji wa wanao mwabudu sun god au Black cube ( Saturn worship) huyu Saturn ndio Zohal mungu wa dunia hii au God of time yeye ndio mungu wa dini zote kubwa hapa duniani yeye ndio mkuu wa Matrix. God of many names. Yeye ndiye A kwa waislam na J kwa wakristo.
Kutokana na madhara makubwa ya biashara ya utumwa pamoja na vita vikuu vta dunia na machafuko roho nyingi za wanadamu ziliweza kuona ukatili mkubwa sana katika kipindi hicho na roho nyingi ilizo fia vitani au utumwani hazitaki kurudi tena duniani, ikapelekea hao watu waliofeli mitihani yao kuogopa kurudi duniani ili kurekebisha makosa yao hivyo wameamua kubaki 4d kama mizuka au nafsi za wafu na kutelekeza miili yao ambayo inazaliwa hapa duniani bila nafsi.
Baada ya kutelekeza miili yao watu wanazaliwa bila kujua wema au roho nzuri au kujali wengine.
Mtu ambaye hana nafsi atajijuaje mwenyewe au atajigundiaje? Hii ndio msingi wa mada yangu maelezo ya hapo juu ni kwa ajili ya kujenga hoja ili watu wangu waelewe nini chanzo.
Binadamu yoyote anakuwa na mwili na roho kwa kuwa na vitu hivo viwili anaweza kuonekana mkamilifu kwa kuwa anakula anakunywa na kuzungumza na anaweza hata kuzaa watoto lakini bado ndani ndani yake hajakamilika. Kwani kuna kitu kakosa ambacho ndio nakiweka bayana hapa.
Binadamu ambaye hana nafsi inamana kwenye akili au ufahamu wake hana ile internal dialog. Nikisema internal dialogue namaniaha kuwa kuna kile kisauti kipo kichwani kwako mfano ukiwa unatembea unafikiria uende wapi au ufanye nini au ukitaka kufanya kitu kibaya sauti hiyo inakupa onyo kwamba usifanye kitu hicho. Mfano ukiwa umelala au unataka kulala unaweza kuwa unawaza mawazo yako hata kama umewasha feni au redio unawaza japo kuwa kuna kelele mawazo yapo.
Mtu ambaye hana nafsi hawazi chochote isipokiwa kilichopo mbele yake wala hana utashi wa kutofautisha kati zuri na baya kwakuwa akili yake na mawazo yake yametulia muda wote huwa anakuwa na utashi wa kuwaza kitu kimoja tuu. Mfano kama anasoma hii mada atasoma tuu maandishi lakini hata waza kuwa ndani ya maandishi kuna nini au ujumbe gani. Mfano akiangalia sinema huwaza starehe ya kutazama bila kujua funzo la sinema hiyo ni nini.
Nafsi ndio operating system ya mwanadamu mtu ambaye hana nafsi anakuwa kama binadamu wa kawaida tofauti ni moja tuu hana hisia au sauti ya kumwonyesha kitu kizuri na kibaya. Anachoangalia ni jambo la kumfurahisha mwili wake na mahitaji ya kimwili tuu au kumridhisha yeye mwenyewe hawazi kuhusu wengine. Hana mahitaji ya kiroho kabisa.
Binadamu mwenye nafsi ni ngumu sana kufanya vitu kama meditation kwani mawazo yake hayapo tayari kusimamishwa ili kichwani kwake kubaki empty ili ufahamu wake uvamiwe na kiumbe kingine asicho kifahamu. Nilisha zungumzia mambo ya meditation kwenye mada ya New Age Religion.
Kwa wale wanaofanya meditation wanajua kuwa inabidi uweze kusimamisha mawazo yako yote usiweze kuwaza kitu chochote kitu ambacho ni kigumu sana kwa mtu mwenye nafsi hawezi kabisa kufanya meditation hata akijaribu ataishia kuwaza mambo yake au kupitiwa na usingizi. Mtu ambaye hana nafsi ni rahisi kufanya mesitation.
Vitu kama meditation ni hatari sana kwa mtu mwenye nafsi inaweza kusababusha ukawa kichaa kwakuruhusu ufahamu wako kuvamiwa na kiumbe usichokijua baada ya wewe ku shut down mawazo yako kichwani ukawa empty head. Ni sawa na kuingiza Virus katika mfumo wako.
Anyway kwa mtu ambaye amezaliwa hana nafsi ataishia kuwa mfuasi wa dark lord na mtu mwenye nafsi ataishia kuwa mfuasi wa Light. Mtu ambaye alikuwa na nafsi kisha akauza nafsi anaweza kuirudisha nafsi yake ila sio kwa maombi bali kwa nia yake ya dhati. Kiumbe aliyeuza nafsi anatawaliwa na asili ya hofu inabidi apambane nae as he walked in the valley of shadow of death and darkness he shall fear no evil.
Ni vigumu kuandika kila kitu hapa.
Reincrnation and past life read the book [emoji1313]View attachment 1_File-PDF-MLMM.pdf
Kwa mujibu wa tafiti za kiroho inathibitishwa kuwa asilimia 75 ya wakazi wa hapa duniani hawana nafsi. Ikumbukwe binadamu anakamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni mwili, nafsi na roho. Nikisema tafiti za kiroho namanisha wenye uwezo wa kuona vitu wanaona jinsi demons au mapepo wanavyoruka kutoka ndani ya mtu mmoja na kwenda kwa mtu mwingine.
Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikuwa nashambuliwa sana na demons au mapepo kupitia empty souls au watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaingiliwa na mapepo bila wao kujua na kujikuta wakifanya vitu vya ajabu mbele yangu ili kunipa hofu kuwa kuna kituhakipo sawa.
Mapepo walinishambulia sana kwa kupitia watu hawa ambao hawana nafsi mfano nilikuwa nafatiliwa na watu kila niendapo, kila kazi nikifanya naharibiwa au nasambaziwa taarifa za uongo za kunichafua bila mimi kujua. Miongoni mwa vitimbi ni kukohoa ovyo kucheka ovyo na chuki za waziwazi kwa watu ninao wajua na hata nisio wajua au kufatiliwa na watu wanaovaa aina fulani za nguo lakini mwisho wa siku nilishinda mbinu za adui.
Badae nilikuja kupata Maarifa ambayo yalinifungua nikajua baadhi ya siri za ulimwengu ikiwamo baadhi ya siri za mfalme suleiman ndipo nilipojua ukweli kuhusu “Tzvarnoharno” nguvu ya Tzvarnoharno ni kubwa sana. Pale mtu anavyo pata kujifahamu yeye ni nani na asili yake ni nani huanza kushambuliwa katika ulimwengu wa roho kama wewe una roho ndogo unaweza kudhani unalogwa lakini kama ni mtu wa imani utajua ni devil yule mwovu anakujaribu.
Fanya utafiti au reseach juu ya neno “Tzvarnoharno” utajua baadhi siri za mfalme suleimani kwanini aliweza kuwamiliki majini 72 na kuyatumikisha atakavyo.
Chanzo cha binadamu/ watu kukosa nafsi ni moja ni kuzaliwa ukiwa hivyo ukiwa huna nafsi hii inaitwa glitch in the matrix na mbili ni kuuza nafsi ili uweze kutumika kama chombo (vessel/portal) na viumbe wa daraja la chini kama vijini. Mtu mwenye vijini au anayepandisha kijini huyo hana nafsi wala nguvu yoyote ya kiroho na muda wote huwa na hisia kama upepo unaingia mwilini mwake.
Kukosa nafsi kwa lugha rahisi naweza kutoa mfano wa kifaa kama Computer. Bila kuwekwa Operating system computer haiwezi kufanya kazi kwamfano huo ni kwamba ili uweze kutumia vizuri computer ni lazima uwe na Windows bila hiyo windows inakuwa computer ambaye haija kamilika.
Watoto wengi waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 (millennials) wengi wao hawana nafsi ni kama Bots tuu. Maisha yao ni vanity and greedy hawana uwezo wa kuchambua hoja au uwelewa wa kuwa na malengo katika maisha yao. Hawana malengo isipokuwa wachache sana ambao wamebahatikq kuzaliwa wakiwa kamili.
Katika mada zangu nimekuwa nikizungunzia kuhusu negative and positive energies. Negative energy mfano wake ni fears, worrying, hate, green, overindulge in sex, addictions drugs and cigarettes to mention the few.
Kwa upande wa positive energy mfano wake ni definite purpose in life, thinks of love, success, abundance,prosperity,courage and faithfulness to mention the few.
Katika mada zangu nimeweza kuelezea wasomaji wangu wachache kuhusiana na watu ambao ni narcissist au sociopaths ambao ni watu wenye negative energy na vilevile katika mada zangu nimweza kuzungumzia watu wema au wenye positive energy ambao ni empathetic au empaths.
Watoto wengi wanaozaliwa kipindi hichi hawana nafsi kama ukifanya uchunguzi kwa watoto tena ni rahisi sana kwa mtu anayekaa nyumba ya kupanga au uswahilini unaweza ukaona kuna watoto wa aina mbili wachoyo wenye wivu na watundu na vile vile ukaona watoto watoaji na watulivu. “ ondoa mtazamo kuwa hao ni watoto tuu” hakuna kitu kama hicho. Tabia ya mtu ni ile ya utotoni usidanganye hata kama mtoto wako anatabia hizo jua ndio hivo tena. Ndio mana wazee wwa zamani walikuwa wanauwa watoto wachanga kwani waliweza kujua kuwa huyu mtoto hana nafsi nilioewa maarifa kuhusu utamaduni wa kabila la wapare wa milimani kuna utamaduni wao unaitwa Nkumba Vana. Kwa mpare anajua hii ni nini.
Binadamu wanaozaliwa kipindi hiki hawana nafsi kwa sababu dunia kuanzia mwaka 2000 kulianza reincarnation of Souls za wafu wa miaka ya 1800-1900- mpaka mwanzoni mwa 1950 kumbuka kuwa nafsi ambazo zipo katika reincarnation cycle ni zile ambazo zilifeli mtihani wa maisha wakashindwa kufaulu mitihani yao ya maisha hivo inawabidi warudie mitihani yao ili waweze kuendelea mbele 5d au mbinguni.
Ninapo sema kila nafsi ina mtihani wa maisha mfano wake ni kama hivi unaweza kuta matatizo yako ni familia, kusalitiwa, roho mbaya, chuki, kukosa mke mume, kukosa true love au mahusiano, addiction ya madawa ya kulevya au ngono au urahibu wowote ule kwa kifupi mtihani wako wa maisha ili uwende mbinguni ni kile kitu kinachokutesa na kile kitu unachotamani kukiacha kakini huwezi. Kama Ukifabila kukamilisha hicho jua umefeli lazima urudi tena hapa duniani tena mpaka ufaulu.
Take notice kwamba hakuna dini wala maombi yatakayo kufanya uende mbinguni huo ni upigaji wa wanao mwabudu sun god au Black cube ( Saturn worship) huyu Saturn ndio Zohal mungu wa dunia hii au God of time yeye ndio mungu wa dini zote kubwa hapa duniani yeye ndio mkuu wa Matrix. God of many names. Yeye ndiye A kwa waislam na J kwa wakristo.
Kutokana na madhara makubwa ya biashara ya utumwa pamoja na vita vikuu vta dunia na machafuko roho nyingi za wanadamu ziliweza kuona ukatili mkubwa sana katika kipindi hicho na roho nyingi ilizo fia vitani au utumwani hazitaki kurudi tena duniani, ikapelekea hao watu waliofeli mitihani yao kuogopa kurudi duniani ili kurekebisha makosa yao hivyo wameamua kubaki 4d kama mizuka au nafsi za wafu na kutelekeza miili yao ambayo inazaliwa hapa duniani bila nafsi.
Baada ya kutelekeza miili yao watu wanazaliwa bila kujua wema au roho nzuri au kujali wengine.
Mtu ambaye hana nafsi atajijuaje mwenyewe au atajigundiaje? Hii ndio msingi wa mada yangu maelezo ya hapo juu ni kwa ajili ya kujenga hoja ili watu wangu waelewe nini chanzo.
Binadamu yoyote anakuwa na mwili na roho kwa kuwa na vitu hivo viwili anaweza kuonekana mkamilifu kwa kuwa anakula anakunywa na kuzungumza na anaweza hata kuzaa watoto lakini bado ndani ndani yake hajakamilika. Kwani kuna kitu kakosa ambacho ndio nakiweka bayana hapa.
Binadamu ambaye hana nafsi inamana kwenye akili au ufahamu wake hana ile internal dialog. Nikisema internal dialogue namaniaha kuwa kuna kile kisauti kipo kichwani kwako mfano ukiwa unatembea unafikiria uende wapi au ufanye nini au ukitaka kufanya kitu kibaya sauti hiyo inakupa onyo kwamba usifanye kitu hicho. Mfano ukiwa umelala au unataka kulala unaweza kuwa unawaza mawazo yako hata kama umewasha feni au redio unawaza japo kuwa kuna kelele mawazo yapo.
Mtu ambaye hana nafsi hawazi chochote isipokiwa kilichopo mbele yake wala hana utashi wa kutofautisha kati zuri na baya kwakuwa akili yake na mawazo yake yametulia muda wote huwa anakuwa na utashi wa kuwaza kitu kimoja tuu. Mfano kama anasoma hii mada atasoma tuu maandishi lakini hata waza kuwa ndani ya maandishi kuna nini au ujumbe gani. Mfano akiangalia sinema huwaza starehe ya kutazama bila kujua funzo la sinema hiyo ni nini.
Nafsi ndio operating system ya mwanadamu mtu ambaye hana nafsi anakuwa kama binadamu wa kawaida tofauti ni moja tuu hana hisia au sauti ya kumwonyesha kitu kizuri na kibaya. Anachoangalia ni jambo la kumfurahisha mwili wake na mahitaji ya kimwili tuu au kumridhisha yeye mwenyewe hawazi kuhusu wengine. Hana mahitaji ya kiroho kabisa.
Binadamu mwenye nafsi ni ngumu sana kufanya vitu kama meditation kwani mawazo yake hayapo tayari kusimamishwa ili kichwani kwake kubaki empty ili ufahamu wake uvamiwe na kiumbe kingine asicho kifahamu. Nilisha zungumzia mambo ya meditation kwenye mada ya New Age Religion.
Kwa wale wanaofanya meditation wanajua kuwa inabidi uweze kusimamisha mawazo yako yote usiweze kuwaza kitu chochote kitu ambacho ni kigumu sana kwa mtu mwenye nafsi hawezi kabisa kufanya meditation hata akijaribu ataishia kuwaza mambo yake au kupitiwa na usingizi. Mtu ambaye hana nafsi ni rahisi kufanya mesitation.
Vitu kama meditation ni hatari sana kwa mtu mwenye nafsi inaweza kusababusha ukawa kichaa kwakuruhusu ufahamu wako kuvamiwa na kiumbe usichokijua baada ya wewe ku shut down mawazo yako kichwani ukawa empty head. Ni sawa na kuingiza Virus katika mfumo wako.
Anyway kwa mtu ambaye amezaliwa hana nafsi ataishia kuwa mfuasi wa dark lord na mtu mwenye nafsi ataishia kuwa mfuasi wa Light. Mtu ambaye alikuwa na nafsi kisha akauza nafsi anaweza kuirudisha nafsi yake ila sio kwa maombi bali kwa nia yake ya dhati. Kiumbe aliyeuza nafsi anatawaliwa na asili ya hofu inabidi apambane nae as he walked in the valley of shadow of death and darkness he shall fear no evil.
Ni vigumu kuandika kila kitu hapa.
Reincrnation and past life read the book [emoji1313]View attachment 1_File-PDF-MLMM.pdf