Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Mkuu napingana na wewe kuhusu meditation, labda kama utakuwa na agenda binafsi kuhusu meditation.


Meditation haikufanyi uwe empty head!

Meditation kazi yake kubwa ni kuituliza hii akili ambayo marazote huwa inarandaranda. Hakuna faida yoyote mtu ataipata kwa kuwa na akili isiyotulia / yenye kurandaranda. Akili iliyotulia inakuwa na focus ya kutosha. Akili iliyotulia inauwezo wa kufanikisha mambo ambayo yanaonekana hayawezekani kwa akili ya akawaida.

Kuna mfano umeutoa kuhusu watoto, kwamba watoto wenye nafsi maranyingi akili zao zimetulia tofauti na wasio na nafsi. Hii dunia imekuwa programmed kiasi kwamba unaweza ukazaliwa na nafsi lakini ukaishi kama mtu asiye na nafsi / akili isiyotulia, na ndio hapo umuhimu wa meditation unapokuja (Kuituliza akili yako ili uweze kujitambua wewe ni nani na kwanini upo katika hii dunia). Utakapo fanikiwa kuituliza hii akili ambayo imeathiriwa na kelele za dunia zilizowekwa kwa makusudi ndipo utaweza kuisikiliza nafsi yako iliyoishi zaidi ya maramoja kwenye hii dunia ikizungumza.

Sasa hapo ndipo utofauti wa asiye na nafsi na aliye na nafsi utaonekana. Kwa maana ya kwamba kama umezaliwa na nafsi basi utaji_connect na nafsi yako. Ila kama huna nafsi basi ndio ile concept ya empty vessel/head itakuja, kwamba kama huna nafsi utakuwa umeruhusu roho dhaifu nyingine ziweze kuchukua nafasi.
Bwana wee!! usituchoshe saabu hulekweki kubali tu huna nafsi!! una dalili zooote!! mara nyingi msiokuwa na nafsi hamuelewi kirahisi!
 
Roho inaishi!? Tena kwenye damu!? Kwenye red blood cells au white blood cells!?
Unapokuwa unaandika vitu jaribu kidogo kuwa na elimu ya biology.

Life imeanzia kwenye level ya cell. Na cells zipo mwili mzima wa mtu na sio blood peke.

In short you don't know what you wrote.
Usitubabaishe na Biology yako hiyo ya level zaa chini kabisa!! kwani cell activities zina kuwa -carried out kivipi?? bila Damu hakuna kitu zitakufa faster?? ni oncotic pressure, na osmotic pressure, vina exert kwenye damu!!.

damu ndo inachukua/beba, proteins, vitamins,fat all nutritious foods to de human cells. hence unapata tissue, tissue unapta organ, jumla ya organs zote ndo unakuwa wewe!! nao zote hizo ili ziishi zinahitaji mlo ulioko kwa damu!!

Mechanisms ya kubeba vyakula (siyo chakula), kwenye mirija ya damu, hakuna aliye wahi kulijua hili wataalamu wanabaki kusema tu ni nature! baaasi!! tena na hicho chakula kimechujwa vyema kutoka kwenye tonge ulilomeza!

Biladamu au mnyama yeyote hata mimea hizo cells zitakufa faster km zikikosa chakula km sukari maji nk! kwa nini?? ukisema RBC, ina carry nutritious materials, na WBC kazi yake ni phagocytosis, pamoja na Macrophages

sasa jiulize kwa nini wawe km askari mwilini?? nini kina waongoza? kinawatuma kufanya kazi km watu?-----Purkinje fibres. SA (sinu atrial nodes) nani anavituma kufanya kazi vile?? vikisimama tu huna uhai!

kwa nini ifanye kazi vile km mtu anaituma?? mpka kesho hutakuwa na majibu! hata ukifa si utabaki na damu lako hilo! jiulize uhai unakwenda wapi?? sayansi yako hiyo ni nusu sana rudi drsani na hutapata jibu....

bado wanasayansi wako hao uchwara wanafika sehemu wanakwama!! wanabaki na jibi rahisi tu ni nature..... hata hao human croning wa siku hizi hawana roho pia !!

na Kweli ukiwa na infection kama ukimwi au gonjwa lolote sugu, au la mara moja km mzio!! utakuta kuna aina moja au mbili kulingana na ugonjwa wenyewe!! WBC =T& D ndo inatoa majibu haya!
 
Nakazia hapohapo Hizo oncotic pressure na osmotic pressure, prkinje fibres, SInu atria Nodes ndo roho mwenyewe huyo!! kwa sababu, why pressure?? who is pressure???!
 
Usitubabaishe na Biology yako hiyo ya level zaa chini kabisa!! kwani cell activities zina kuwa -carried out kivipi?? bila Damu hakuna kitu zitakufa faster?? ni oncotic pressure, na osmotic pressure, vina exert kwenye damu!!.

damu ndo inachukua/beba, proteins, vitamins,fat all nutritious foods to de human cells. hence unapata tissue, tissue unapta organ, jumla ya organs zote ndo unakuwa wewe!! nao zote hizo ili ziishi zinahitaji mlo ulioko kwa damu!!

Mechanisms ya kubeba vyakula (siyo chakula), kwenye mirija ya damu, hakuna aliye wahi kulijua hili wataalamu wanabaki kusema tu ni nature! baaasi!! tena na hicho chakula kimechujwa vyema kutoka kwenye tonge ulilomeza!

Biladamu au mnyama yeyote hata mimea hizo cells zitakufa faster km zikikosa chakula km sukari maji nk! kwa nini?? ukisema RBC, ina carry nutritious materials, na WBC kazi yake ni phagocytosis, pamoja na Macrophages

sasa jiulize kwa nini wawe km askari mwilini?? nini kina waongoza? kinawatuma kufanya kazi km watu?-----Purkinje fibres. SA (sinu atrial nodes) nani anavituma kufanya kazi vile?? vikisimama tu huna uhai!

kwa nini ifanye kazi vile km mtu anaituma?? mpka kesho hutakuwa na majibu! hata ukifa si utabaki na damu lako hilo! jiulize uhai unakwenda wapi?? sayansi yako hiyo ni nusu sana rudi drsani na hutapata jibu....

bado wanasayansi wako hao uchwara wanafika sehemu wanakwama!! wanabaki na jibi rahisi tu ni nature..... hata hao human croning wa siku hizi hawana roho pia !!

na Kweli ukiwa na infection kama ukimwi au gonjwa lolote sugu, au la mara moja km mzio!! utakuta kuna aina moja au mbili kulingana na ugonjwa wenyewe!! WBC =T& D ndo inatoa majibu haya!
Unamwaga biology la kufa mtu!😂😅 hatari sana ulilipata kwenye ile BS au wapi? Look like you go with thread author. You even accuse uyo kuwa hana nafsi! The reason i followed you closely is because maybe you know something. Pote alipo describe xstics za waso na nafsi sifiti hapo ila aliposema wenye M kiganjani hawana nafsi ni kama amejicontradict cause ninayo ila sifit xstics za wasio na nafsi alizoweka hapa author. Hadi meditation sitaki kabisa kuisikia and iam sure is a nut job... so who am I? Year of birth 199*

Two you are beautiful! I crush you!🤩
 
Unamwaga biology la kufa mtu![emoji23][emoji28] hatari sana ulilipata kwenye ile BS au wapi? Look like you go with thread author. You even accuse uyo kuwa hana nafsi! The reason i followed you closely is because maybe you know something. Pote alipo describe xstics za waso na nafsi sifiti hapo ila aliposema wenye M kiganjani hawana nafsi ni kama amejicontradict cause ninayo ila sifit xstics za wasio na nafsi alizoweka hapa author. Hadi meditation sitaki kabisa kuisikia and iam sure is a nut job... so who am I? Year of birth 199*

Two you are beautiful! I crush you![emoji2956]
Noma
 
Usitubabaishe na Biology yako hiyo ya level zaa chini kabisa!! kwani cell activities zina kuwa -carried out kivipi?? bila Damu hakuna kitu zitakufa faster?? ni oncotic pressure, na osmotic pressure, vina exert kwenye damu!!.

damu ndo inachukua/beba, proteins, vitamins,fat all nutritious foods to de human cells. hence unapata tissue, tissue unapta organ, jumla ya organs zote ndo unakuwa wewe!! nao zote hizo ili ziishi zinahitaji mlo ulioko kwa damu!!

Mechanisms ya kubeba vyakula (siyo chakula), kwenye mirija ya damu, hakuna aliye wahi kulijua hili wataalamu wanabaki kusema tu ni nature! baaasi!! tena na hicho chakula kimechujwa vyema kutoka kwenye tonge ulilomeza!

Biladamu au mnyama yeyote hata mimea hizo cells zitakufa faster km zikikosa chakula km sukari maji nk! kwa nini?? ukisema RBC, ina carry nutritious materials, na WBC kazi yake ni phagocytosis, pamoja na Macrophages

sasa jiulize kwa nini wawe km askari mwilini?? nini kina waongoza? kinawatuma kufanya kazi km watu?-----Purkinje fibres. SA (sinu atrial nodes) nani anavituma kufanya kazi vile?? vikisimama tu huna uhai!

kwa nini ifanye kazi vile km mtu anaituma?? mpka kesho hutakuwa na majibu! hata ukifa si utabaki na damu lako hilo! jiulize uhai unakwenda wapi?? sayansi yako hiyo ni nusu sana rudi drsani na hutapata jibu....

bado wanasayansi wako hao uchwara wanafika sehemu wanakwama!! wanabaki na jibi rahisi tu ni nature..... hata hao human croning wa siku hizi hawana roho pia !!

na Kweli ukiwa na infection kama ukimwi au gonjwa lolote sugu, au la mara moja km mzio!! utakuta kuna aina moja au mbili kulingana na ugonjwa wenyewe!! WBC =T& D ndo inatoa majibu haya!
Noma
 
A kirefu chake na J kirefu chake nini?

mimi nishajijua nina nafsi
Hata mimi ninayo nafsi na ninafit kabisa kwenye hizo descriptions za wenye nafsi alizoweka hapa... but then nina "M" kiganjani hapo sasa!!!

Meditation naisikiaga na kuisoma sana ila there is no reason enough to make me even try this nut job(meditation)... kitabu cha The Secret by Rhonda Byrne ninacho na nimekisoma ila i find it to be not my tasteits all cofee and magic
 
Kwa muda mrefu sana nimepitia sana hali uliyoieleza,
Pmj na kusoma lkn niliishi kwa hofu kubw sana,
Wasiwasi, hasira, kutojiamin, mambo kuharibik sna,
Ulevi, uzinzi nk.
Ni maisha ambayo yalinitesa sn huku nikiwa kama mtu aliyetekw mateka lkn anajitahid sn kujinusuru,
Mungu si athumAn,
Lkn baad ya kuanza Tiba ya chumvi na kuanza tiba mbadala/asili.
Kw sasa nimepona, na nikikumbuk namna nilivyotumikishw, nahic Kulia.
mambo ni mengi kuweza kuyaandik yote.

SWALI

Sijaelew lbd nilichezew tang utoton au ndio hii ya kuzaliw bila nafsi hlf ??
Naomba tuwasiliane mkuu nijiw namna gani na mm maweza jinasua..
 
Wachawi hawana nafsi ! Kumbe ndo maana wachawi hawana utu . Huwa nayachukia machawi . Ningekuwa na uwezo ningewateketeza na kuwaangamiza wachawi wote .
Usijaribu jaribu tu yale mambo ni ya kichawi unaweza ukafa ukiwa hai kwa kujigeuza msukule! Wachawi hawana nafsi ndio maana kwao ni simple
 
Hata mimi ninayo nafsi na ninafit kabisa kwenye hizo descriptions za wenye nafsi alizoweka hapa... but then nina "M" kiganjani hapo sasa!!!

Meditation naisikiaga na kuisoma sana ila there is no reason enough to make me even try this nut job(meditation)... kitabu cha The Secret by Rhonda Byrne ninacho na nimekisoma ila i find it to be not my tasteits all cofee and magic
Kama una M kwenye kiganja chako usiogope , tafuta tu kujua destiny yako uliyopangiwa na Mungu toka wakati unazaliwa ni ipi , uifuate na utafanikiwa kweli kweli .
 
Toa mfano ndg.
"The Soul ( Roho ) enters the body of a child at around 13th week when in the womb of a biological mother". Mungu ana m-control binadamu kwa njia ya kufanya kila kitu ndani ya roho yake huyo binadamu. Binadamu anachotakiwa ni kumtii Mungu tu ila matendo yote na kila kitu huwa anafanya Mungu . Mfano halisi ni kutambua kuwa umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu na Mungu ndiye huwa anafanya kila kitu kupitia ndani ya roho yako .


Lakini pia ukijua "north node" yako ni ipi utapata mwanga wa kujua destiny yako au mission ya roho yako ni ipi . Haya mambo kuhusu namna ya kujua "north node" yako ni ipi , utaalamu huu wanao Astrologers. Ulaya astrology inasomwa kabisa kwenye vyuo vikuu tofauti na huku kwetu Afrika .
 
Kwa wale wakristo ,Tusomeni biblia tuielewwe na tumuelewe Mungu wa kwenye biblia. usipoilewa biblia mada kama hizi zitakutoa kwenye reli, na dini utaiacha
 
zamani haikuwako biblia kama kitabu kimoja hivi,yalikuweko maandiko mbalimbali ya waandishi walioandika kila mmoja kwa namna yake,baadaye ndio wahariri wakajiteua kuleta hicho kitu kinaitwa biblia,ambayo imeandika tu historia ya wayahudi kisha waisraeli,historia nyingi na maandiko mengi yamefichwa ili kuhalalisha ukuu wa taifa la Israel,ndio maana ukisoma biblia mwanzo hadi mwisho(mimi nimesoma) utagundua hakuna cha zaidi ya mtiririko wa hadithi moja ya kuanzia adamu hadi daudi,kisha yesu...vyote vinahusu hao waisraeli.

swali ni je?...hakukua na waandishi walioandika historia za watu wengine?..mfano

kaini na kizazi chake
Ishmael aliishia wapi
Watoto wa Nuhu

mambo mengi biblia imetuachia mafumbo,tunabishana tu bila uhakika lakini haijajibu kuhusu chanzo cha race mbalimbali kama sisi weusi,wahindi,waasia,waamerika n.k...

sasa hayo yote historia zake zipo ila zimefichwa au kupotezwa makusudi ili kuficha ukweli wa mambo ambao ukifahamika pengine dunia isingekua mahali salama pa kukaa.

Mfano wa knowledge ambazo zimefichwa na kuhodhiwa na wachache ni USHIRIKINA,huu tulionao waafrika wa kunasishana mtu akiiba mkeo na kuuza radi ni wa kitoto,na ni ishara kwamba tungejua siri zote za kufanya ushirikina sisi waafrika tusingeishi,tungeuana na kila mmoja angekua mbabe... ushirikina umehodhiwa na watu wachache sana ambao waliwahi kujua madhara yake kama kila mmoja ataweza kuwa na access nao,ndio maana kuna kozi maalumu watu wanasomea za ushirikina.

Kwahiyo biblia ni kitu geresha tulipewa na wajanja kutuziba akili ili tusiwe wabunifu zaidi...anyway pangine ilitakiwa iwe hivi ili angalau kizazi cha binadamu kiweze survive,unless isingekua mahala salama kama knowledge yote kuhusu ulimwengu ingekua accessible na kila mmoja.
Mambo ambayo yalikusudiwa tujue yamefunuliwa kwenye biblia, yaani -chanzo cha dhambi,madhara yake na jinsi ya kutoka kwenye dhambi yaani ukombozi. kwa kifupi hatupo gizani

Kum 29:29​

Mambo ya siri ni ya BWANA, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele, ili tuyafanye maneno yote ya sheria hii.
 
Back
Top Bottom