Roho inaishi!? Tena kwenye damu!? Kwenye red blood cells au white blood cells!?
Unapokuwa unaandika vitu jaribu kidogo kuwa na elimu ya biology.
Life imeanzia kwenye level ya cell. Na cells zipo mwili mzima wa mtu na sio blood peke.
In short you don't know what you wrote.
Usitubabaishe na Biology yako hiyo ya level zaa chini kabisa!! kwani cell activities zina kuwa -carried out kivipi?? bila Damu hakuna kitu zitakufa faster?? ni oncotic pressure, na osmotic pressure, vina exert kwenye damu!!.
damu ndo inachukua/beba, proteins, vitamins,fat all nutritious foods to de human cells. hence unapata tissue, tissue unapta organ, jumla ya organs zote ndo unakuwa wewe!! nao zote hizo ili ziishi zinahitaji mlo ulioko kwa damu!!
Mechanisms ya kubeba vyakula (siyo chakula), kwenye mirija ya damu, hakuna aliye wahi kulijua hili wataalamu wanabaki kusema tu ni nature! baaasi!! tena na hicho chakula kimechujwa vyema kutoka kwenye tonge ulilomeza!
Biladamu au mnyama yeyote hata mimea hizo cells zitakufa faster km zikikosa chakula km sukari maji nk! kwa nini?? ukisema RBC, ina carry nutritious materials, na WBC kazi yake ni phagocytosis, pamoja na Macrophages
sasa jiulize kwa nini wawe km askari mwilini?? nini kina waongoza? kinawatuma kufanya kazi km watu?-----Purkinje fibres. SA (sinu atrial nodes) nani anavituma kufanya kazi vile?? vikisimama tu huna uhai!
kwa nini ifanye kazi vile km mtu anaituma?? mpka kesho hutakuwa na majibu! hata ukifa si utabaki na damu lako hilo! jiulize uhai unakwenda wapi?? sayansi yako hiyo ni nusu sana rudi drsani na hutapata jibu....
bado wanasayansi wako hao uchwara wanafika sehemu wanakwama!! wanabaki na jibi rahisi tu ni nature..... hata hao human croning wa siku hizi hawana roho pia !!
na Kweli ukiwa na infection kama ukimwi au gonjwa lolote sugu, au la mara moja km mzio!! utakuta kuna aina moja au mbili kulingana na ugonjwa wenyewe!! WBC =T& D ndo inatoa majibu haya!