Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Spirits of animals in a natural world are drown from souls of men.
 
Ni kweli ila historia inatuambia Rome Empire ilipoadopt dini ya kikristo ilifuta baadhi ya Injili ambazo zilikuwa zinaeleza undani wa mambo ya kiroho kwa uwazi na kuziacha zile tu ambazo zilikuwa zinafavor interest zao ili kucontrol mind of their followers.

Injili ya Thomas ni miongoni mwa Injili maarufu zilizofutwa na kupigwa marufuku (banned books)pia kuna The Book of Enoch ina mambo mengi sana ambayo huwezi kuyapata kwenye version ya bible inayotumiwa na majority wa sasa.
Ina maanda biblia ilikuwepo muda mrefu sana
 
Ina maanda biblia ilikuwepo muda mrefu sana
zamani haikuwako biblia kama kitabu kimoja hivi,yalikuweko maandiko mbalimbali ya waandishi walioandika kila mmoja kwa namna yake,baadaye ndio wahariri wakajiteua kuleta hicho kitu kinaitwa biblia,ambayo imeandika tu historia ya wayahudi kisha waisraeli,historia nyingi na maandiko mengi yamefichwa ili kuhalalisha ukuu wa taifa la Israel,ndio maana ukisoma biblia mwanzo hadi mwisho(mimi nimesoma) utagundua hakuna cha zaidi ya mtiririko wa hadithi moja ya kuanzia adamu hadi daudi,kisha yesu...vyote vinahusu hao waisraeli.

swali ni je?...hakukua na waandishi walioandika historia za watu wengine?..mfano

kaini na kizazi chake
Ishmael aliishia wapi
Watoto wa Nuhu

mambo mengi biblia imetuachia mafumbo,tunabishana tu bila uhakika lakini haijajibu kuhusu chanzo cha race mbalimbali kama sisi weusi,wahindi,waasia,waamerika n.k...

sasa hayo yote historia zake zipo ila zimefichwa au kupotezwa makusudi ili kuficha ukweli wa mambo ambao ukifahamika pengine dunia isingekua mahali salama pa kukaa.

Mfano wa knowledge ambazo zimefichwa na kuhodhiwa na wachache ni USHIRIKINA,huu tulionao waafrika wa kunasishana mtu akiiba mkeo na kuuza radi ni wa kitoto,na ni ishara kwamba tungejua siri zote za kufanya ushirikina sisi waafrika tusingeishi,tungeuana na kila mmoja angekua mbabe... ushirikina umehodhiwa na watu wachache sana ambao waliwahi kujua madhara yake kama kila mmoja ataweza kuwa na access nao,ndio maana kuna kozi maalumu watu wanasomea za ushirikina.

Kwahiyo biblia ni kitu geresha tulipewa na wajanja kutuziba akili ili tusiwe wabunifu zaidi...anyway pangine ilitakiwa iwe hivi ili angalau kizazi cha binadamu kiweze survive,unless isingekua mahala salama kama knowledge yote kuhusu ulimwengu ingekua accessible na kila mmoja.
 
Mpaka sasa ninashindwa kuelewa hiyi Khali hutokana na ni nn kuna muda ninakuwa na uwezo wa kugundua hata mtu anae taka kufa mwezi ujao na hatua ya kwanza huwa napiga nae sana stori na kumuhaid kesho yake ningeweza kuja lakini huwa haiw hvy kila nikijaribu kutaka kukutana nae hujikuta sipat muda baada ya mwezi utasikia jamaa kafa imetokea zaid ya watu 9 had kufikia 2020 mwishon hawa wa mwisho nilikuwa nawachana kimafumbo inawezekana huu ndio ukawa mwanzo na mwisho wa kukutana

Suala lingine huwa nikiwa na hisia za kukutana na viongozi wakubwa usiku nikilala hupiga nao stori na mfano magu Kikwete nk na juz samia ila niligombana nae sana sikuelewa kwann huyu nikiota hujikuta nagombana nae

Mambo ni mengi ila haya ni kwa uchache
Mkuu hili lina uhusiano gani kwenye haya mambo
Uwe unawambia waache unafiki basi hawaongozi mang’ombe
 
zamani haikuwako biblia kama kitabu kimoja hivi,yalikuweko maandiko mbalimbali ya waandishi walioandika kila mmoja kwa namna yake,baadaye ndio wahariri wakajiteua kuleta hicho kitu kinaitwa biblia,ambayo imeandika tu historia ya wayahudi kisha waisraeli,historia nyingi na maandiko mengi yamefichwa ili kuhalalisha ukuu wa taifa la Israel,ndio maana ukisoma biblia mwanzo hadi mwisho(mimi nimesoma) utagundua hakuna cha zaidi ya mtiririko wa hadithi moja ya kuanzia adamu hadi daudi,kisha yesu...vyote vinahusu hao waisraeli.

swali ni je?...hakukua na waandishi walioandika historia za watu wengine?..mfano

kaini na kizazi chake
Ishmael aliishia wapi
Watoto wa Nuhu

mambo mengi biblia imetuachia mafumbo,tunabishana tu bila uhakika lakini haijajibu kuhusu chanzo cha race mbalimbali kama sisi weusi,wahindi,waasia,waamerika n.k...

sasa hayo yote historia zake zipo ila zimefichwa au kupotezwa makusudi ili kuficha ukweli wa mambo ambao ukifahamika pengine dunia isingekua mahali salama pa kukaa.

Mfano wa knowledge ambazo zimefichwa na kuhodhiwa na wachache ni USHIRIKINA,huu tulionao waafrika wa kunasishana mtu akiiba mkeo na kuuza radi ni wa kitoto,na ni ishara kwamba tungejua siri zote za kufanya ushirikina sisi waafrika tusingeishi,tungeuana na kila mmoja angekua mbabe... ushirikina umehodhiwa na watu wachache sana ambao waliwahi kujua madhara yake kama kila mmoja ataweza kuwa na access nao,ndio maana kuna kozi maalumu watu wanasomea za ushirikina.

Kwahiyo biblia ni kitu geresha tulipewa na wajanja kutuziba akili ili tusiwe wabunifu zaidi...anyway pangine ilitakiwa iwe hivi ili angalau kizazi cha binadamu kiweze survive,unless isingekua mahala salama kama knowledge yote kuhusu ulimwengu ingekua accessible na kila mmoja.
Daaah! Nina hofu ya Mungu ila moyo wangu umeingia baridi kwenda kanisani!
 
zamani haikuwako biblia kama kitabu kimoja hivi,yalikuweko maandiko mbalimbali ya waandishi walioandika kila mmoja kwa namna yake,baadaye ndio wahariri wakajiteua kuleta hicho kitu kinaitwa biblia,ambayo imeandika tu historia ya wayahudi kisha waisraeli,historia nyingi na maandiko mengi yamefichwa ili kuhalalisha ukuu wa taifa la Israel,ndio maana ukisoma biblia mwanzo hadi mwisho(mimi nimesoma) utagundua hakuna cha zaidi ya mtiririko wa hadithi moja ya kuanzia adamu hadi daudi,kisha yesu...vyote vinahusu hao waisraeli.

swali ni je?...hakukua na waandishi walioandika historia za watu wengine?..mfano

kaini na kizazi chake
Ishmael aliishia wapi
Watoto wa Nuhu

mambo mengi biblia imetuachia mafumbo,tunabishana tu bila uhakika lakini haijajibu kuhusu chanzo cha race mbalimbali kama sisi weusi,wahindi,waasia,waamerika n.k...

sasa hayo yote historia zake zipo ila zimefichwa au kupotezwa makusudi ili kuficha ukweli wa mambo ambao ukifahamika pengine dunia isingekua mahali salama pa kukaa.

Mfano wa knowledge ambazo zimefichwa na kuhodhiwa na wachache ni USHIRIKINA,huu tulionao waafrika wa kunasishana mtu akiiba mkeo na kuuza radi ni wa kitoto,na ni ishara kwamba tungejua siri zote za kufanya ushirikina sisi waafrika tusingeishi,tungeuana na kila mmoja angekua mbabe... ushirikina umehodhiwa na watu wachache sana ambao waliwahi kujua madhara yake kama kila mmoja ataweza kuwa na access nao,ndio maana kuna kozi maalumu watu wanasomea za ushirikina.

Kwahiyo biblia ni kitu geresha tulipewa na wajanja kutuziba akili ili tusiwe wabunifu zaidi...anyway pangine ilitakiwa iwe hivi ili angalau kizazi cha binadamu kiweze survive,unless isingekua mahala salama kama knowledge yote kuhusu ulimwengu ingekua accessible na kila mmoja.

Maswali ni mengi hapa ya kujiuliza kuna mengi tumefichwa
 
#JAMES WEB TELESCOPE NA DINI

wanasubiri chombo ifanye yake utukufu wapeleke kwenye dini zao, utawasikia "Quran ilishagaandika" au "bibilia ilishagaandika" are you serious?

Binafsi naamini Mungu Ila siamini dini, dini ni mfumo tu ulioanzishwa na wadamu usikae kwenye dini yako kisha ukaanza kusema dini zingine za uongo

Hii ndo imefanya kuwe na mtafaruku na uvunjifu Wa amani duniani

Nilikutana na mtu mmoja mm nilikuwa nakula ice cream asubuhi akaniambia "imani yangu ni kutokula ice cream wakati Wa asubuhi" nikamjibu it is fine usile, akaniambia "hujanielewa, namaanisha kutokana na imani yangu ya kutokula ice cream wakati Wa asubuhi wewe pia huruhusiwi kula ice cream wakati Wa asubuhi, nikamuangalia usoniiii nikaangalia na viatu alivyovyaa nikaamua kuachana naye"

Hivyo ndivyo dini zinavyofundishwa
Tunalazimishana kuamini kitu Fulani

Mnakaririsha hadi watoto wadogo wawaite wasioamini makafiri, au wanaokula nguruwe waitwe makafiri wakati huo huo hujui ukiupungukiwa damu unaenda hospitalini kujazwa damu ya nani? Ni ya hao hao makafiri wala nguruwe ambao damu yao Ina chembe chembe za kitimoto

Leo mkristo anaamini yesu ni Mungu wakati akisilimu anaamini yesu sio Mungu vise versa kwa msilamu anaamini yesu sio Mungu lakini akibadili dini na kuwa mkristo anaamini yesu ni Mungu

Dini ni Kama kuandika namba 6 chini

Tukikaa pande mbili tofauti mm nitaiona 6 wewe utaiona 9 kwahiyo wewe kuwa sahihi haimaanishi Mimi Niko wrong, you have not seen the life by my side, ukija upande wangu utaiona ni 6 na utakubaliana na Mimi

Kibaya zaidi tunatishana eti usipoamini dini Fulani unaenda motoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wrong huo ni uvivu Wa kufikiri

Ebu fikiria kuhusu Eskimo walioko Greenland ambao hawajui uislam wala ukristo je akifa anaenda motoni sababu hakuwa muislam au mkristo? Kama jibu ni ndiyo hamuoni Kama anaonewa kwa kuhukumiwa kwa kitu ambacho hakijui?

Kama ataenda mbinguni kwanini nyinyi mnajitia kihelehele kuwasambazia watu dini zenu worldwide badala muwaache wafe wakiwa hawajui lolote ili waende mbinguni? Maana nyinyi hamuwapendi wasioamini mnataka muwaingize mkenge kisa nyinyi mshaingia mkenge

Lakini je babu Wa babu Wa babu Wa babu Wa babu Wa babu Wa babu Wa babu yako yuko mbinguni au motoni anababuka tu[emoji23][emoji23] maana alikufa ilihali sio msilamu au mkristo

Tusikaririshane kwamba uislam au ukristo ndo dini sahihi na kupeleka utukufu kwenye dini zenu

India tu pekee kuna dini zaidi ya 1000, je umefatilia hizo dini zote ukaona Kama ni za kweli au uongo?
Na je ukweli ni upi na uongo ni upi?
Unatumia vigezo gani kusema huu ndo ukweli na huu ndo uongo?

Alafu Kama kweli dini zenu ndo kila kitu je Mungu Wa wakristo ndo huyo huyo Wa waislam? Kama jibu ni ndiyo je mbona ahadi zake zinatofautiana?

Ninavyojua Mimi kila mtu ananamna yake ya kutafsiri mungu/Mungu whatever utakavyoita mwingine anaamini ni Energy mwingine anaamini ni laws of nature(kanuni za asili) na mwingine anaamini ni "personal being" kila mmoja yuko sahihi kwa tafsiri yake sababu hakuna common standard ya measurement ya tafsiri

Dini ibaki Kama dini na kila mtu abaki na imani yake na sayansi ibaki mam sayansi na mambo yake

James web telescope itatuambia vingi kuhusu universe tunatumaini itatusaidia kukomboa maswali mengi zaidi ambayo zamani yalikuwa chini ya mwamvuli Wa dini Ila sayansi imekuwa ikiyakomboa na imeendelea kuyakomboa na itafanya hivyo sikuzote

Usichanganye sayansi na dini hutakawia kusema "jamaa wanakufuru wanataka wamchunguze mungu/Mungu" kitu ambacho si kweli
 
Utulivu wa nafsi ni mafanikio. Nitoe angalizo tuu kuwa Hii mada sio kwa ajili ya kila mtu ni kwaajili ya watu wachache sana ndio wataelewa.

Kwa mujibu wa tafiti za kiroho inathibitishwa kuwa asilimia 75 ya wakazi wa hapa duniani hawana nafsi. Ikumbukwe binadamu anakamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni mwili, nafsi na roho. Nikisema tafiti za kiroho namanisha wenye uwezo wa kuona vitu wanaona jinsi demons au mapepo wanavyoruka kutoka ndani ya mtu mmoja na kwenda kwa mtu mwingine.

Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikuwa nashambuliwa sana na demons au mapepo kupitia empty souls au watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaingiliwa na mapepo bila wao kujua na kujikuta wakifanya vitu vya ajabu mbele yangu ili kunipa hofu kuwa kuna kituhakipo sawa.

Mapepo walinishambulia sana kwa kupitia watu hawa ambao hawana nafsi mfano nilikuwa nafatiliwa na watu kila niendapo, kila kazi nikifanya naharibiwa au nasambaziwa taarifa za uongo za kunichafua bila mimi kujua. Miongoni mwa vitimbi ni kukohoa ovyo kucheka ovyo na chuki za waziwazi kwa watu ninao wajua na hata nisio wajua au kufatiliwa na watu wanaovaa aina fulani za nguo lakini mwisho wa siku nilishinda mbinu za adui.

Badae nilikuja kupata Maarifa ambayo yalinifungua nikajua baadhi ya siri za ulimwengu ikiwamo baadhi ya siri za mfalme suleiman ndipo nilipojua ukweli kuhusu “Tzvarnoharno” nguvu ya Tzvarnoharno ni kubwa sana. Pale mtu anavyo pata kujifahamu yeye ni nani na asili yake ni nani huanza kushambuliwa katika ulimwengu wa roho kama wewe una roho ndogo unaweza kudhani unalogwa lakini kama ni mtu wa imani utajua ni devil yule mwovu anakujaribu.

Fanya utafiti au reseach juu ya neno “Tzvarnoharno” utajua baadhi siri za mfalme suleimani kwanini aliweza kuwamiliki majini 72 na kuyatumikisha atakavyo.

Chanzo cha binadamu/ watu kukosa nafsi ni moja ni kuzaliwa ukiwa hivyo ukiwa huna nafsi hii inaitwa glitch in the matrix na mbili ni kuuza nafsi ili uweze kutumika kama chombo (vessel/portal) na viumbe wa daraja la chini kama vijini. Mtu mwenye vijini au anayepandisha kijini huyo hana nafsi wala nguvu yoyote ya kiroho na muda wote huwa na hisia kama upepo unaingia mwilini mwake.

Kukosa nafsi kwa lugha rahisi naweza kutoa mfano wa kifaa kama Computer. Bila kuwekwa Operating system computer haiwezi kufanya kazi kwamfano huo ni kwamba ili uweze kutumia vizuri computer ni lazima uwe na Windows bila hiyo windows inakuwa computer ambaye haija kamilika.

Watoto wengi waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 (millennials) wengi wao hawana nafsi ni kama Bots tuu. Maisha yao ni vanity and greedy hawana uwezo wa kuchambua hoja au uwelewa wa kuwa na malengo katika maisha yao. Hawana malengo isipokuwa wachache sana ambao wamebahatikq kuzaliwa wakiwa kamili.

Katika mada zangu nimekuwa nikizungunzia kuhusu negative and positive energies. Negative energy mfano wake ni fears, worrying, hate, green, overindulge in sex, addictions drugs and cigarettes to mention the few.

Kwa upande wa positive energy mfano wake ni definite purpose in life, thinks of love, success, abundance,prosperity,courage and faithfulness to mention the few.

Katika mada zangu nimeweza kuelezea wasomaji wangu wachache kuhusiana na watu ambao ni narcissist au sociopaths ambao ni watu wenye negative energy na vilevile katika mada zangu nimweza kuzungumzia watu wema au wenye positive energy ambao ni empathetic au empaths.

Watoto wengi wanaozaliwa kipindi hichi hawana nafsi kama ukifanya uchunguzi kwa watoto tena ni rahisi sana kwa mtu anayekaa nyumba ya kupanga au uswahilini unaweza ukaona kuna watoto wa aina mbili wachoyo wenye wivu na watundu na vile vile ukaona watoto watoaji na watulivu. “ ondoa mtazamo kuwa hao ni watoto tuu” hakuna kitu kama hicho. Tabia ya mtu ni ile ya utotoni usidanganye hata kama mtoto wako anatabia hizo jua ndio hivo tena. Ndio mana wazee wwa zamani walikuwa wanauwa watoto wachanga kwani waliweza kujua kuwa huyu mtoto hana nafsi nilioewa maarifa kuhusu utamaduni wa kabila la wapare wa milimani kuna utamaduni wao unaitwa Nkumba Vana. Kwa mpare anajua hii ni nini.

Binadamu wanaozaliwa kipindi hiki hawana nafsi kwa sababu dunia kuanzia mwaka 2000 kulianza reincarnation of Souls za wafu wa miaka ya 1800-1900- mpaka mwanzoni mwa 1950 kumbuka kuwa nafsi ambazo zipo katika reincarnation cycle ni zile ambazo zilifeli mtihani wa maisha wakashindwa kufaulu mitihani yao ya maisha hivo inawabidi warudie mitihani yao ili waweze kuendelea mbele 5d au mbinguni.

Ninapo sema kila nafsi ina mtihani wa maisha mfano wake ni kama hivi unaweza kuta matatizo yako ni familia, kusalitiwa, roho mbaya, chuki, kukosa mke mume, kukosa true love au mahusiano, addiction ya madawa ya kulevya au ngono au urahibu wowote ule kwa kifupi mtihani wako wa maisha ili uwende mbinguni ni kile kitu kinachokutesa na kile kitu unachotamani kukiacha kakini huwezi. Kama Ukifabila kukamilisha hicho jua umefeli lazima urudi tena hapa duniani tena mpaka ufaulu.

Take notice kwamba hakuna dini wala maombi yatakayo kufanya uende mbinguni huo ni upigaji wa wanao mwabudu sun god au Black cube ( Saturn worship) huyu Saturn ndio Zohal mungu wa dunia hii au God of time yeye ndio mungu wa dini zote kubwa hapa duniani yeye ndio mkuu wa Matrix. God of many names. Yeye ndiye A kwa waislam na J kwa wakristo.

Kutokana na madhara makubwa ya biashara ya utumwa pamoja na vita vikuu vta dunia na machafuko roho nyingi za wanadamu ziliweza kuona ukatili mkubwa sana katika kipindi hicho na roho nyingi ilizo fia vitani au utumwani hazitaki kurudi tena duniani, ikapelekea hao watu waliofeli mitihani yao kuogopa kurudi duniani ili kurekebisha makosa yao hivyo wameamua kubaki 4d kama mizuka au nafsi za wafu na kutelekeza miili yao ambayo inazaliwa hapa duniani bila nafsi.

Baada ya kutelekeza miili yao watu wanazaliwa bila kujua wema au roho nzuri au kujali wengine.

Mtu ambaye hana nafsi atajijuaje mwenyewe au atajigundiaje? Hii ndio msingi wa mada yangu maelezo ya hapo juu ni kwa ajili ya kujenga hoja ili watu wangu waelewe nini chanzo.

Binadamu yoyote anakuwa na mwili na roho kwa kuwa na vitu hivo viwili anaweza kuonekana mkamilifu kwa kuwa anakula anakunywa na kuzungumza na anaweza hata kuzaa watoto lakini bado ndani ndani yake hajakamilika. Kwani kuna kitu kakosa ambacho ndio nakiweka bayana hapa.

Binadamu ambaye hana nafsi inamana kwenye akili au ufahamu wake hana ile internal dialog. Nikisema internal dialogue namaniaha kuwa kuna kile kisauti kipo kichwani kwako mfano ukiwa unatembea unafikiria uende wapi au ufanye nini au ukitaka kufanya kitu kibaya sauti hiyo inakupa onyo kwamba usifanye kitu hicho. Mfano ukiwa umelala au unataka kulala unaweza kuwa unawaza mawazo yako hata kama umewasha feni au redio unawaza japo kuwa kuna kelele mawazo yapo.

Mtu ambaye hana nafsi hawazi chochote isipokiwa kilichopo mbele yake wala hana utashi wa kutofautisha kati zuri na baya kwakuwa akili yake na mawazo yake yametulia muda wote huwa anakuwa na utashi wa kuwaza kitu kimoja tuu. Mfano kama anasoma hii mada atasoma tuu maandishi lakini hata waza kuwa ndani ya maandishi kuna nini au ujumbe gani. Mfano akiangalia sinema huwaza starehe ya kutazama bila kujua funzo la sinema hiyo ni nini.

Nafsi ndio operating system ya mwanadamu mtu ambaye hana nafsi anakuwa kama binadamu wa kawaida tofauti ni moja tuu hana hisia au sauti ya kumwonyesha kitu kizuri na kibaya. Anachoangalia ni jambo la kumfurahisha mwili wake na mahitaji ya kimwili tuu au kumridhisha yeye mwenyewe hawazi kuhusu wengine. Hana mahitaji ya kiroho kabisa.

Binadamu mwenye nafsi ni ngumu sana kufanya vitu kama meditation kwani mawazo yake hayapo tayari kusimamishwa ili kichwani kwake kubaki empty ili ufahamu wake uvamiwe na kiumbe kingine asicho kifahamu. Nilisha zungumzia mambo ya meditation kwenye mada ya New Age Religion.

Kwa wale wanaofanya meditation wanajua kuwa inabidi uweze kusimamisha mawazo yako yote usiweze kuwaza kitu chochote kitu ambacho ni kigumu sana kwa mtu mwenye nafsi hawezi kabisa kufanya meditation hata akijaribu ataishia kuwaza mambo yake au kupitiwa na usingizi. Mtu ambaye hana nafsi ni rahisi kufanya mesitation.

Vitu kama meditation ni hatari sana kwa mtu mwenye nafsi inaweza kusababusha ukawa kichaa kwakuruhusu ufahamu wako kuvamiwa na kiumbe usichokijua baada ya wewe ku shut down mawazo yako kichwani ukawa empty head. Ni sawa na kuingiza Virus katika mfumo wako.

Anyway kwa mtu ambaye amezaliwa hana nafsi ataishia kuwa mfuasi wa dark lord na mtu mwenye nafsi ataishia kuwa mfuasi wa Light. Mtu ambaye alikuwa na nafsi kisha akauza nafsi anaweza kuirudisha nafsi yake ila sio kwa maombi bali kwa nia yake ya dhati. Kiumbe aliyeuza nafsi anatawaliwa na asili ya hofu inabidi apambane nae as he walked in the valley of shadow of death and darkness he shall fear no evil.

Ni vigumu kuandika kila kitu hapa.

Reincrnation and past life read the book [emoji1313]View attachment 2040553
Duh,
Ngoja nikisome...
 
Utulivu wa nafsi ni mafanikio. Nitoe angalizo tuu kuwa Hii mada sio kwa ajili ya kila mtu ni kwaajili ya watu wachache sana ndio wataelewa.

Kwa mujibu wa tafiti za kiroho inathibitishwa kuwa asilimia 75 ya wakazi wa hapa duniani hawana nafsi. Ikumbukwe binadamu anakamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni mwili, nafsi na roho. Nikisema tafiti za kiroho namanisha wenye uwezo wa kuona vitu wanaona jinsi demons au mapepo wanavyoruka kutoka ndani ya mtu mmoja na kwenda kwa mtu mwingine.

Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikuwa nashambuliwa sana na demons au mapepo kupitia empty souls au watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaingiliwa na mapepo bila wao kujua na kujikuta wakifanya vitu vya ajabu mbele yangu ili kunipa hofu kuwa kuna kituhakipo sawa.

Mapepo walinishambulia sana kwa kupitia watu hawa ambao hawana nafsi mfano nilikuwa nafatiliwa na watu kila niendapo, kila kazi nikifanya naharibiwa au nasambaziwa taarifa za uongo za kunichafua bila mimi kujua. Miongoni mwa vitimbi ni kukohoa ovyo kucheka ovyo na chuki za waziwazi kwa watu ninao wajua na hata nisio wajua au kufatiliwa na watu wanaovaa aina fulani za nguo lakini mwisho wa siku nilishinda mbinu za adui.

Badae nilikuja kupata Maarifa ambayo yalinifungua nikajua baadhi ya siri za ulimwengu ikiwamo baadhi ya siri za mfalme suleiman ndipo nilipojua ukweli kuhusu “Tzvarnoharno” nguvu ya Tzvarnoharno ni kubwa sana. Pale mtu anavyo pata kujifahamu yeye ni nani na asili yake ni nani huanza kushambuliwa katika ulimwengu wa roho kama wewe una roho ndogo unaweza kudhani unalogwa lakini kama ni mtu wa imani utajua ni devil yule mwovu anakujaribu.

Fanya utafiti au reseach juu ya neno “Tzvarnoharno” utajua baadhi siri za mfalme suleimani kwanini aliweza kuwamiliki majini 72 na kuyatumikisha atakavyo.

Chanzo cha binadamu/ watu kukosa nafsi ni moja ni kuzaliwa ukiwa hivyo ukiwa huna nafsi hii inaitwa glitch in the matrix na mbili ni kuuza nafsi ili uweze kutumika kama chombo (vessel/portal) na viumbe wa daraja la chini kama vijini. Mtu mwenye vijini au anayepandisha kijini huyo hana nafsi wala nguvu yoyote ya kiroho na muda wote huwa na hisia kama upepo unaingia mwilini mwake.

Kukosa nafsi kwa lugha rahisi naweza kutoa mfano wa kifaa kama Computer. Bila kuwekwa Operating system computer haiwezi kufanya kazi kwamfano huo ni kwamba ili uweze kutumia vizuri computer ni lazima uwe na Windows bila hiyo windows inakuwa computer ambaye haija kamilika.

Watoto wengi waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 (millennials) wengi wao hawana nafsi ni kama Bots tuu. Maisha yao ni vanity and greedy hawana uwezo wa kuchambua hoja au uwelewa wa kuwa na malengo katika maisha yao. Hawana malengo isipokuwa wachache sana ambao wamebahatikq kuzaliwa wakiwa kamili.

Katika mada zangu nimekuwa nikizungunzia kuhusu negative and positive energies. Negative energy mfano wake ni fears, worrying, hate, green, overindulge in sex, addictions drugs and cigarettes to mention the few.

Kwa upande wa positive energy mfano wake ni definite purpose in life, thinks of love, success, abundance,prosperity,courage and faithfulness to mention the few.

Katika mada zangu nimeweza kuelezea wasomaji wangu wachache kuhusiana na watu ambao ni narcissist au sociopaths ambao ni watu wenye negative energy na vilevile katika mada zangu nimweza kuzungumzia watu wema au wenye positive energy ambao ni empathetic au empaths.

Watoto wengi wanaozaliwa kipindi hichi hawana nafsi kama ukifanya uchunguzi kwa watoto tena ni rahisi sana kwa mtu anayekaa nyumba ya kupanga au uswahilini unaweza ukaona kuna watoto wa aina mbili wachoyo wenye wivu na watundu na vile vile ukaona watoto watoaji na watulivu. “ ondoa mtazamo kuwa hao ni watoto tuu” hakuna kitu kama hicho. Tabia ya mtu ni ile ya utotoni usidanganye hata kama mtoto wako anatabia hizo jua ndio hivo tena. Ndio mana wazee wwa zamani walikuwa wanauwa watoto wachanga kwani waliweza kujua kuwa huyu mtoto hana nafsi nilioewa maarifa kuhusu utamaduni wa kabila la wapare wa milimani kuna utamaduni wao unaitwa Nkumba Vana. Kwa mpare anajua hii ni nini.

Binadamu wanaozaliwa kipindi hiki hawana nafsi kwa sababu dunia kuanzia mwaka 2000 kulianza reincarnation of Souls za wafu wa miaka ya 1800-1900- mpaka mwanzoni mwa 1950 kumbuka kuwa nafsi ambazo zipo katika reincarnation cycle ni zile ambazo zilifeli mtihani wa maisha wakashindwa kufaulu mitihani yao ya maisha hivo inawabidi warudie mitihani yao ili waweze kuendelea mbele 5d au mbinguni.

Ninapo sema kila nafsi ina mtihani wa maisha mfano wake ni kama hivi unaweza kuta matatizo yako ni familia, kusalitiwa, roho mbaya, chuki, kukosa mke mume, kukosa true love au mahusiano, addiction ya madawa ya kulevya au ngono au urahibu wowote ule kwa kifupi mtihani wako wa maisha ili uwende mbinguni ni kile kitu kinachokutesa na kile kitu unachotamani kukiacha kakini huwezi. Kama Ukifabila kukamilisha hicho jua umefeli lazima urudi tena hapa duniani tena mpaka ufaulu.

Take notice kwamba hakuna dini wala maombi yatakayo kufanya uende mbinguni huo ni upigaji wa wanao mwabudu sun god au Black cube ( Saturn worship) huyu Saturn ndio Zohal mungu wa dunia hii au God of time yeye ndio mungu wa dini zote kubwa hapa duniani yeye ndio mkuu wa Matrix. God of many names. Yeye ndiye A kwa waislam na J kwa wakristo.

Kutokana na madhara makubwa ya biashara ya utumwa pamoja na vita vikuu vta dunia na machafuko roho nyingi za wanadamu ziliweza kuona ukatili mkubwa sana katika kipindi hicho na roho nyingi ilizo fia vitani au utumwani hazitaki kurudi tena duniani, ikapelekea hao watu waliofeli mitihani yao kuogopa kurudi duniani ili kurekebisha makosa yao hivyo wameamua kubaki 4d kama mizuka au nafsi za wafu na kutelekeza miili yao ambayo inazaliwa hapa duniani bila nafsi.

Baada ya kutelekeza miili yao watu wanazaliwa bila kujua wema au roho nzuri au kujali wengine.

Mtu ambaye hana nafsi atajijuaje mwenyewe au atajigundiaje? Hii ndio msingi wa mada yangu maelezo ya hapo juu ni kwa ajili ya kujenga hoja ili watu wangu waelewe nini chanzo.

Binadamu yoyote anakuwa na mwili na roho kwa kuwa na vitu hivo viwili anaweza kuonekana mkamilifu kwa kuwa anakula anakunywa na kuzungumza na anaweza hata kuzaa watoto lakini bado ndani ndani yake hajakamilika. Kwani kuna kitu kakosa ambacho ndio nakiweka bayana hapa.

Binadamu ambaye hana nafsi inamana kwenye akili au ufahamu wake hana ile internal dialog. Nikisema internal dialogue namaniaha kuwa kuna kile kisauti kipo kichwani kwako mfano ukiwa unatembea unafikiria uende wapi au ufanye nini au ukitaka kufanya kitu kibaya sauti hiyo inakupa onyo kwamba usifanye kitu hicho. Mfano ukiwa umelala au unataka kulala unaweza kuwa unawaza mawazo yako hata kama umewasha feni au redio unawaza japo kuwa kuna kelele mawazo yapo.

Mtu ambaye hana nafsi hawazi chochote isipokiwa kilichopo mbele yake wala hana utashi wa kutofautisha kati zuri na baya kwakuwa akili yake na mawazo yake yametulia muda wote huwa anakuwa na utashi wa kuwaza kitu kimoja tuu. Mfano kama anasoma hii mada atasoma tuu maandishi lakini hata waza kuwa ndani ya maandishi kuna nini au ujumbe gani. Mfano akiangalia sinema huwaza starehe ya kutazama bila kujua funzo la sinema hiyo ni nini.

Nafsi ndio operating system ya mwanadamu mtu ambaye hana nafsi anakuwa kama binadamu wa kawaida tofauti ni moja tuu hana hisia au sauti ya kumwonyesha kitu kizuri na kibaya. Anachoangalia ni jambo la kumfurahisha mwili wake na mahitaji ya kimwili tuu au kumridhisha yeye mwenyewe hawazi kuhusu wengine. Hana mahitaji ya kiroho kabisa.

Binadamu mwenye nafsi ni ngumu sana kufanya vitu kama meditation kwani mawazo yake hayapo tayari kusimamishwa ili kichwani kwake kubaki empty ili ufahamu wake uvamiwe na kiumbe kingine asicho kifahamu. Nilisha zungumzia mambo ya meditation kwenye mada ya New Age Religion.

Kwa wale wanaofanya meditation wanajua kuwa inabidi uweze kusimamisha mawazo yako yote usiweze kuwaza kitu chochote kitu ambacho ni kigumu sana kwa mtu mwenye nafsi hawezi kabisa kufanya meditation hata akijaribu ataishia kuwaza mambo yake au kupitiwa na usingizi. Mtu ambaye hana nafsi ni rahisi kufanya mesitation.

Vitu kama meditation ni hatari sana kwa mtu mwenye nafsi inaweza kusababusha ukawa kichaa kwakuruhusu ufahamu wako kuvamiwa na kiumbe usichokijua baada ya wewe ku shut down mawazo yako kichwani ukawa empty head. Ni sawa na kuingiza Virus katika mfumo wako.

Anyway kwa mtu ambaye amezaliwa hana nafsi ataishia kuwa mfuasi wa dark lord na mtu mwenye nafsi ataishia kuwa mfuasi wa Light. Mtu ambaye alikuwa na nafsi kisha akauza nafsi anaweza kuirudisha nafsi yake ila sio kwa maombi bali kwa nia yake ya dhati. Kiumbe aliyeuza nafsi anatawaliwa na asili ya hofu inabidi apambane nae as he walked in the valley of shadow of death and darkness he shall fear no evil.

Ni vigumu kuandika kila kitu hapa.

Reincrnation and past life read the book [emoji1313]View attachment 2040553

Mkuu kuna uhusiano gani kwa mtu asie na nafsi na kufanikiwa kimaisha au kutokufanikiwa kimaisha?
 
Mkuu kuna uhusiano gani kwa mtu asie na nafsi na kufanikiwa kimaisha au kutokufanikiwa kimaisha?

Watu wenye nafsi wengi wao hatuna alama M kwenye viganja vya mkono. Ukiwa na M kwenye alama za viganja vya mikono jua kwamba destiny yako tayari ilisha pangwa kama utafanikiwa unafanikiwa kweli na kama ukiwa maskini unakuwa maskini kweli. Mtu asiyekuwa na M ndio mwemye chaguo la maisha yake kupanga kila kitu anachotaka kumiliki katika maisha.

Ukiwa na nafsi ni rahisi kufanikiwa sana kwani nafsi ndio inakuunganisha na mungu aliye juu zaidi kupitia uwezo wa ubongo wako. Mfano simu bila mnara haiwezi kufanya kazi vizuri kwakuwa hakuna network. Ndio hivo kwenye upande wa nafsi ukiwa nayo unaweza kuwa na mawazo chanya mfano amani na upendo na mafanikio kila saa ambapo mawazo haya chanya yanakuungalisha na Universe au Nature.

Kwa sasa angalia vinganja vyako utapata jibu. Tafuta kitabu cha the secret cha rhonda byrne. Nafsi yako ndio inakuunganisha na Most High God kama huna nafsi unaunganishwa na Dark Lord au Luciferiana Order ambapo unakuwa adui na binadamu wenzako kwakiwa unakuwa umetawaliwa na chuki wivu na roho mbaya watu wakifanikiwa unaumia.
 
Watu wenye nafsi wengi wao hatuna alama M kwenye viganja vya mkono. Ukiwa na M kwenye alama za viganja vya mikono jua kwamba destiny yako tayari ilisha pangwa kama utafanikiwa unafanikiwa kweli na kama ukiwa maskini unakuwa maskini kweli. Mtu asiyekuwa na M ndio mwemye chaguo la maisha yake kupanga kila kitu anachotaka kumiliki katika maisha.

Ukiwa na nafsi ni rahisi kufanikiwa sana kwani nafsi ndio inakuunganisha na mungu aliye juu zaidi kupitia uwezo wa ubongo wako. Mfano simu bila mnara haiwezi kufanya kazi vizuri kwakuwa hakuna network. Ndio hivo kwenye upande wa nafsi ukiwa nayo unaweza kuwa na mawazo chanya mfano amani na upendo na mafanikio kila saa ambapo mawazo haya chanya yanakuungalisha na Universe au Nature.

Kwa sasa angalia vinganja vyako utapata jibu. Tafuta kitabu cha the secret cha rhonda byrne. Nafsi yako ndio inakuunganisha na Most High God kama huna nafsi unaunganishwa na Dark Lord au Luciferiana Order ambapo unakuwa adui na binadamu wenzako kwakiwa unakuwa umetawaliwa na chuki wivu na roho mbaya watu wakifanikiwa unaumia.

Asante sana mkuu nimekuelewa sana juu ya ueleweshaji
 
Sometimes education can be a way to drive us from a sound mind to imbecility
 
Back
Top Bottom