Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Yesu alikuwa anafanya meditation pia. Nini maoni yako kuhusu Hilo?

Hakuna mstari wa biblia unaothibitisha moja kwa moja yesu alifanya meditation ndio mana wakristu hawana huo utamaduni. Meditation ni zao la eastern religion kutoka india na mchanganyiko wa Yoga. Kama yesu alifanya meditation kanisa katoliki lazima wafiasi wake wangejua na kufanya pia kwani ndio kanisa lenye nguvu ma ndio waliomdika bible.

Nilianza kupata wasiwasi juu ya meditation baada ya kuambiwa ni kitu kizuri ila nilipo jaribu ilikiwa ngumu sana na baada ya kujaribu sana siku moja sijui ndio ilifanikiwa lakini nilipata sleep paralysis kama nimeganda nisijue kusogeza hata mkono nikahisi kuna kiumbe kinataka kuniteka. Ndipo nikagundua siri za meditation.

Nilianza kupata mashaka sana juu ya meditation ndipo nikaanza utafiti wangu. Nigagundua meditation ni agenda za new age religion ambapo ni mafundisho ya secret Cults iliupate kujua usiyo yafahamu kama remote viewing and chameling of spiritis.
 
Mkuu napingana na wewe kuhusu meditation, labda kama utakuwa na agenda binafsi kuhusu meditation.


Meditation haikufanyi uwe empty head!

Meditation kazi yake kubwa ni kuituliza hii akili ambayo marazote huwa inarandaranda. Hakuna faida yoyote mtu ataipata kwa kuwa na akili isiyotulia / yenye kurandaranda. Akili iliyotulia inakuwa na focus ya kutosha. Akili iliyotulia inauwezo wa kufanikisha mambo ambayo yanaonekana hayawezekani kwa akili ya akawaida.

Kuna mfano umeutoa kuhusu watoto, kwamba watoto wenye nafsi maranyingi akili zao zimetulia tofauti na wasio na nafsi. Hii dunia imekuwa programmed kiasi kwamba unaweza ukazaliwa na nafsi lakini ukaishi kama mtu asiye na nafsi / akili isiyotulia, na ndio hapo umuhimu wa meditation unapokuja (Kuituliza akili yako ili uweze kujitambua wewe ni nani na kwanini upo katika hii dunia). Utakapo fanikiwa kuituliza hii akili ambayo imeathiriwa na kelele za dunia zilizowekwa kwa makusudi ndipo utaweza kuisikiliza nafsi yako iliyoishi zaidi ya maramoja kwenye hii dunia ikizungumza.

Sasa hapo ndipo utofauti wa asiye na nafsi na aliye na nafsi utaonekana. Kwa maana ya kwamba kama umezaliwa na nafsi basi utaji_connect na nafsi yako. Ila kama huna nafsi basi ndio ile concept ya empty vessel/head itakuja, kwamba kama huna nafsi utakuwa umeruhusu roho dhaifu nyingine ziweze kuchukua nafasi.

Meditation sio kwa watu wote ni kwabaadhi ya watu. Meditation ni utamaduni wa dini za kihindi ukihusisha mambo ya Yoga. Utaratibubwa dini ya new age ni pamoja na mafundisho ya meditatition. Kwa mtu mwenye nafsi moja au mwenye mungu ndani yake meditation sio kitu sahihi kwake kwani hawezi kuchukuliwa.

Meditation ilianza kuvuma na kuenea kuanzia miaka ya 80 ambapo madawa ya kulevya kama bangi, lsd, na mashroom vilitumika kama ishara ya kutuliza nafsi ya mtu ili kuweza kummunganisha na viumbe wa dimensions nyingine.

Ndio mana meditation inaendana na madawa ya kukevya kama bangi nk ili kumoa mtu uwezo wa kufikia hiyo state of altered reality. Meditation ni nzuri kwa watu ambao hawana nafsi. Ila kama wewe una ile sauti ya chini ndani yako sikushauri juu ya meditation kwani sio kwa ajili ya watubwote ni kwa baadhi ya watu tu hasa souless being Au NPC ndio utamaduni wao.
 
kinagoma kufunguka mkuu

 
Atheism Katika Ubora Wako Ningependa Unijibu Mawsali Haya

1 Umesema Kuanzia Miaka Ya 2000 Ndipo Reincarnation Of Soul Ilianza Kutoka Miaka Ya 1800 Unaweza Kuthibitisha Kama Kuna Reincarnation?

na mimi niongezee hapo, kwanini ni baada ya miaka ya 2000 na sio 1900 au 3000 maana utumwa ulitukia miaka mingi nyuma na hizo vita za dunia?
 
Kwa muda mrefu sana nimepitia sana hali uliyoieleza,
Pmj na kusoma lkn niliishi kwa hofu kubw sana,
Wasiwasi, hasira, kutojiamin, mambo kuharibik sna,
Ulevi, uzinzi nk.
Ni maisha ambayo yalinitesa sn huku nikiwa kama mtu aliyetekw mateka lkn anajitahid sn kujinusuru,
Mungu si athumAn,
Lkn baad ya kuanza Tiba ya chumvi na kuanza tiba mbadala/asili.
Kw sasa nimepona, na nikikumbuk namna nilivyotumikishw, nahic Kulia.
mambo ni mengi kuweza kuyaandik yote.

SWALI

Sijaelew lbd nilichezew tang utoton au ndio hii ya kuzaliw bila nafsi hlf ??

naamini katika nguvu ya mtu ya ndani, ukiweza kuControl mawazo yako na nafsi….hizo tiba za chumvi na mbadala ni fictions tu.
 
Nakuunga mkono kwenye mtizamo wako binafsi juu ya mafundisho ya meditation kuwa na connection na mambo ya upotoshaji wa kiroho maana binafsi pia nimefanya utafiti katika hilo na nikaambulia kujua kitu similar na matokeo yako.

Ila nina maswali machache yakukuuliza kulingana na nyuzi zako upi ni mlengo hasa wa dhamirio lako/maudhui yako kwa jamii maana kuna sehemu kadhaa unajichanganya.
Je, wewe ni mfuasi wa mafundisho ya namna gan au unaamini katika itikadi ipi?

1. Katika uzi wako huu kigezo kikuu cha kutokuwa na nafsi ni kukosa internal dialog,
Je una uhakika gan kuwa kuna mtu huwa hana hiyo internal dialog hapa duniani? Hasa anapofanya maamuzi katika kuselect mf kununua kitu,kujaribu jambo jipya,kufanya jema au baya, kufikiria na kuwazua mf tunaona wengine mpk midomo inachezacheza wakizungumza wenyewe barabarani,n.k
Je, huoni kama ukikosa kigezo iko upaswi kuwa mwanadamu maana utakuwa ni roboti maana hicho unachokiita internal dialog(akili inapofikiria au kujiuliza,kujipinga na kujijibu pasipo kinywa kutamka) ndiyo utufanya binadamu tuwe timamu na kwa hili hakuna binadamu asiyelifanya kila nukta inayotiki.

Mf. eti ukiwa na roho mbaya,moyo mgumu, usiyejali hisia za wengine(mbinafsi au katili),asiye na hisia dadisi mf unapocheki muvi basi huna internal dialog na hivyo huna nafsi. Je kuna logic juu ya unachokisema?

2. Katika uzi wako wa New Age: Dini mpya.. nimekuquote ukidai kuwa wakirsto na waislamu ndo pekee umwamini Mungu wa kweli na aliye hai. Vipi una ushahidi gani madhubuti wa kuthibitisha hili?

Katika uzi wako huu unasimama na kigezo cha reincarnation kuwa na usababishi.
Katika uzi wako wa New Age umetumia mstari kutoka (Ebr 9:27) kuwa reincarnation si kweli nakuamini mambo hayo kuwa yapo ni upofu. Swali sasa tushike lipi kutoka kwako?

3. Katika uzi wako wa Royal bloodline: Damu takatifu, unatuaminisha juu ya uwepo wa koo 13 na familia zilizobarikiwa au hao wateule, nakuendelea kwako kutupa mafunzo ya siri yakina draco,annunak, nebiru,nyota orion, Mwafrika ni bora kuliko race ya mzungu,utofauti kati ya devil na lucifer, kuumbwa kwa binadamu na aliens wa dimensions n.k ambayo ni mafunzo ya New Age ya hawa akina illuminati na katika temple za kimasonia mf. ni kule FB tunazo page za kina Lord krishina lucifa n.k na mahubiri yao ni haya haya.
Swali ni je, wewe pia nimuamini katika mafunzo haya ya siri? Au pengine una lengo tofauti unapotuletea bandiko lako hapa jamii intelligence?
 
Nakuunga mkono kwenye mtizamo wako binafsi juu ya mafundisho ya meditation kuwa na connection na mambo ya upotoshaji wa kiroho maana binafsi pia nimefanya utafiti katika hilo na nikaambulia kujua kitu similar na matokeo yako.

Ila nina maswali machache yakukuuliza kulingana na nyuzi zako upi ni mlengo hasa wa dhamirio lako/maudhui yako kwa jamii maana kuna sehemu kadhaa unajichanganya.
Je, wewe ni mfuasi wa mafundisho ya namna gan au unaamini katika itikadi ipi?

1. Katika uzi wako huu kigezo kikuu cha kutokuwa na nafsi ni kukosa internal dialog,
Je una uhakika gan kuwa kuna mtu huwa hana hiyo internal dialog hapa duniani? Hasa anapofanya maamuzi katika kuselect mf kununua kitu,kujaribu jambo jipya,kufanya jema au baya, kufikiria na kuwazua mf tunaona wengine mpk midomo inachezacheza wakizungumza wenyewe barabarani,n.k
Je, huoni kama ukikosa kigezo iko upaswi kuwa mwanadamu maana utakuwa ni roboti maana hicho unachokiita internal dialog(akili inapofikiria au kujiuliza,kujipinga na kujijibu pasipo kinywa kutamka) ndiyo utufanya binadamu tuwe timamu na kwa hili hakuna binadamu asiyelifanya kila nukta inayotiki.

Mf. eti ukiwa na roho mbaya,moyo mgumu, usiyejali hisia za wengine(mbinafsi au katili),asiye na hisia dadisi mf unapocheki muvi basi huna internal dialog na hivyo huna nafsi. Je kuna logic juu ya unachokisema?

2. Katika uzi wako wa New Age: Dini mpya.. nimekuquote ukidai kuwa wakirsto na waislamu ndo pekee umwamini Mungu wa kweli na aliye hai. Vipi una ushahidi gani madhubuti wa kuthibitisha hili?

Katika uzi wako huu unasimama na kigezo cha reincarnation kuwa na usababishi.
Katika uzi wako wa New Age umetumia mstari kutoka (Ebr 9:27) kuwa reincarnation si kweli nakuamini mambo hayo kuwa yapo ni upofu. Swali sasa tushike lipi kutoka kwako?

3. Katika uzi wako wa Royal bloodline: Damu takatifu, unatuaminisha juu ya uwepo wa koo 13 na familia zilizobarikiwa au hao wateule, nakuendelea kwako kutupa mafunzo ya siri yakina draco,annunak, nebiru,nyota orion, Mwafrika ni bora kuliko race ya mzungu,utofauti kati ya devil na lucifer, kuumbwa kwa binadamu na aliens wa dimensions n.k ambayo ni mafunzo ya New Age ya hawa akina illuminati na katika temple za kimasonia mf. ni kule FB tunazo page za kina Lord krishina lucifa n.k na mahubiri yao ni haya haya.
Swali ni je, wewe pia nimuamini katika mafunzo haya ya siri? Au pengine una lengo tofauti unapotuletea bandiko lako hapa jamii intelligence?

Swali zuri mkuu na asante kwa kufatilia mada zangu. For long period of time i was asleep and now baada ya kupata baadhi ya maarifa nimekuja kugunduq mengi sana.

Dhamira au mlengo wangu ni ukamilifu/ perfection. Mfano wq ukamilifu/ perdection ni God the Most High. Biblia na Qurani watu wanavichukuliq ni vitabu takatifu. But ni vitabu vinavyotumiwa na shadow goverment kutawalq watu. Vitabu hivyo vya dini vimechanganya mungu wawili sehemu moja.

Mfano wqmechanganya dark lord (shetani) na The Most High (light). Love and fear ni mungu wawili ambao wanawafuasi wengi hapa duniani. Mungu hao wawili wanaabudiwa na watu kwa wakati mmoja bila wao kujua. Vitabu vya Dini hizo zimetegeneza fear au hofu na kuvhanganya upendo au love ndani yake. Hilo ndio kosa.

Kama unapenda ukamilifu chagua upande mmoja kati ya love and fear. Usifanye jambo zuri kwa kitegemea kulipwa mbingu au usifanye jqmbo baya kwa hofu ya kwenda motoni. Ukifanyq hayo unakuwa kondoo unayepewq mqlisho na mwindaji alafu siku moja aje kukuchinja.

Kujichanganya ni kitu sahihi sana kwatika njia ya kupata maarifa kwani confussion leads to clarity. Lakini point ya maingi kuhusu mlengo wangu ni kujaribu kualimisha baadhinya watu wangu vita iliyopo kila mahali kati ya mungu wawili ambao ni shetani upande wa negative energy na the mist high upande wa positive energy. Kuhusiana na kukosa interna dialog ni kweli kabisa G. Gurdjieff ni mmoja kati ya philosophers wachache walioweza kutoa siri za ocxult world kwa watu wa kawaida fatlia kazi zake mfano hapa namnukuu

“A considerable percentage of the people we meet on the street are people who are empty inside, that is, they are actually already dead. It is fortunate for us that we do not see and do not know it. If we knew what a number of people are actually dead and what a number of these dead people govern our lives, we should go mad with horror.” G.I Gurdjieff

Vile vile kuhusiana na watu ambao hawana internal dialog walisha gunduliwa toka mwanzo na
– Rudolf Steiner. Hawa ni wale philosophers ambao hufundishi darasani ila wapo ngoja nimnukuu katika moja ya essay zake kuhusiana na watoto wanaozaliwa bila nafsi katika circke ya reincarnation

“Dr. Rudolf Steiner: That little girl L.K. in the first grade must have something really very wrong inside. There is not much we can do. Such cases are increasing in which children are born with a human form, but are not really human beings in relation to their highest I; instead, they are filled with beings that do not belong to the human class. Quite a number of people have been born since the nineties without an I, that is, they are not reincarnated, but are human forms filled with a sort of natural demon. There are quite a large number of older people going around who are actually not human beings, but are only natural; they are human beings only in regard to their form. We cannot, however, create a school for demons.

Kwamba watoto wengi wanazaliwa bila an “I” hiyo ndiyo soul au nafsi.

A teacher: How is that possible?

Dr. Rudolf Steiner: Cosmic error is certainly not impossible. The relationships of individuals coming into earthly existence have long been determined. There are also generations in which individuals have no desire to come into earthly existence and be connected with physicality, or immediately leave at the very beginning. In such cases, other beings that are not quite suited step in. This is something that is now quite common, that human beings go around without an I; they are actually not human beings, but have only a human form. They are beings like nature spirits, which we do not recognize as such because they go around in a human form. They are also quite different from human beings in regard to everything spiritual.

Kama hujaelewa niulize tena tu discuss pamoja ili twende sawa.
 
Vitu kama meditation ni hatari sana kwa mtu mwenye nafsi inaweza kusababusha ukawa kichaa kwakuruhusu ufahamu wako kuvamiwa na kiumbe usichokijua baada ya wewe ku shut down mawazo yako kichwani ukawa empty head. Ni sawa na kuingiza Virus katika mfumo wako.
Baada ya kusoma ishu za meditation huku JamiiForums nikataka na mimi niijaribu.
Sitosahau ile siku, nilihisi kuchanganyikiwa kabisa na Ilinichukua karibu wiki moja kurudi kwenye hali yangu ya kawaida.
 
Hebu tutajie mfano wa tabia za vijana wengi wa Siku hizi ambao hawana nafsi

-pili kama MTU anaumwa shida Fulani mwilini lakini haina tiba kuna njia ya kuireverse?
 
Utulivu wa nafsi ni mafanikio. Nitoe angalizo tuu kuwa Hii mada sio kwa ajili ya kila mtu ni kwaajili ya watu wachache sana ndio wataelewa.

Kwa mujibu wa tafiti za kiroho inathibitishwa kuwa asilimia 75 ya wakazi wa hapa duniani hawana nafsi. Ikumbukwe binadamu anakamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni mwili, nafsi na roho. Nikisema tafiti za kiroho namanisha wenye uwezo wa kuona vitu wanaona jinsi demons au mapepo wanavyoruka kutoka ndani ya mtu mmoja na kwenda kwa mtu mwingine.

Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikuwa nashambuliwa sana na demons au mapepo kupitia empty souls au watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaingiliwa na mapepo bila wao kujua na kujikuta wakifanya vitu vya ajabu mbele yangu ili kunipa hofu kuwa kuna kituhakipo sawa.

Mapepo walinishambulia sana kwa kupitia watu hawa ambao hawana nafsi mfano nilikuwa nafatiliwa na watu kila niendapo, kila kazi nikifanya naharibiwa au nasambaziwa taarifa za uongo za kunichafua bila mimi kujua. Miongoni mwa vitimbi ni kukohoa ovyo kucheka ovyo na chuki za waziwazi kwa watu ninao wajua na hata nisio wajua au kufatiliwa na watu wanaovaa aina fulani za nguo lakini mwisho wa siku nilishinda mbinu za adui.

Badae nilikuja kupata Maarifa ambayo yalinifungua nikajua baadhi ya siri za ulimwengu ikiwamo baadhi ya siri za mfalme suleiman ndipo nilipojua ukweli kuhusu “Tzvarnoharno” nguvu ya Tzvarnoharno ni kubwa sana. Pale mtu anavyo pata kujifahamu yeye ni nani na asili yake ni nani huanza kushambuliwa katika ulimwengu wa roho kama wewe una roho ndogo unaweza kudhani unalogwa lakini kama ni mtu wa imani utajua ni devil yule mwovu anakujaribu.

Fanya utafiti au reseach juu ya neno “Tzvarnoharno” utajua baadhi siri za mfalme suleimani kwanini aliweza kuwamiliki majini 72 na kuyatumikisha atakavyo.

Chanzo cha binadamu/ watu kukosa nafsi ni moja ni kuzaliwa ukiwa hivyo ukiwa huna nafsi hii inaitwa glitch in the matrix na mbili ni kuuza nafsi ili uweze kutumika kama chombo (vessel/portal) na viumbe wa daraja la chini kama vijini. Mtu mwenye vijini au anayepandisha kijini huyo hana nafsi wala nguvu yoyote ya kiroho na muda wote huwa na hisia kama upepo unaingia mwilini mwake.

Kukosa nafsi kwa lugha rahisi naweza kutoa mfano wa kifaa kama Computer. Bila kuwekwa Operating system computer haiwezi kufanya kazi kwamfano huo ni kwamba ili uweze kutumia vizuri computer ni lazima uwe na Windows bila hiyo windows inakuwa computer ambaye haija kamilika.

Watoto wengi waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 (millennials) wengi wao hawana nafsi ni kama Bots tuu. Maisha yao ni vanity and greedy hawana uwezo wa kuchambua hoja au uwelewa wa kuwa na malengo katika maisha yao. Hawana malengo isipokuwa wachache sana ambao wamebahatikq kuzaliwa wakiwa kamili.

Katika mada zangu nimekuwa nikizungunzia kuhusu negative and positive energies. Negative energy mfano wake ni fears, worrying, hate, green, overindulge in sex, addictions drugs and cigarettes to mention the few.

Kwa upande wa positive energy mfano wake ni definite purpose in life, thinks of love, success, abundance,prosperity,courage and faithfulness to mention the few.

Katika mada zangu nimeweza kuelezea wasomaji wangu wachache kuhusiana na watu ambao ni narcissist au sociopaths ambao ni watu wenye negative energy na vilevile katika mada zangu nimweza kuzungumzia watu wema au wenye positive energy ambao ni empathetic au empaths.

Watoto wengi wanaozaliwa kipindi hichi hawana nafsi kama ukifanya uchunguzi kwa watoto tena ni rahisi sana kwa mtu anayekaa nyumba ya kupanga au uswahilini unaweza ukaona kuna watoto wa aina mbili wachoyo wenye wivu na watundu na vile vile ukaona watoto watoaji na watulivu. “ ondoa mtazamo kuwa hao ni watoto tuu” hakuna kitu kama hicho. Tabia ya mtu ni ile ya utotoni usidanganye hata kama mtoto wako anatabia hizo jua ndio hivo tena. Ndio mana wazee wwa zamani walikuwa wanauwa watoto wachanga kwani waliweza kujua kuwa huyu mtoto hana nafsi nilioewa maarifa kuhusu utamaduni wa kabila la wapare wa milimani kuna utamaduni wao unaitwa Nkumba Vana. Kwa mpare anajua hii ni nini.

Binadamu wanaozaliwa kipindi hiki hawana nafsi kwa sababu dunia kuanzia mwaka 2000 kulianza reincarnation of Souls za wafu wa miaka ya 1800-1900- mpaka mwanzoni mwa 1950 kumbuka kuwa nafsi ambazo zipo katika reincarnation cycle ni zile ambazo zilifeli mtihani wa maisha wakashindwa kufaulu mitihani yao ya maisha hivo inawabidi warudie mitihani yao ili waweze kuendelea mbele 5d au mbinguni.

Ninapo sema kila nafsi ina mtihani wa maisha mfano wake ni kama hivi unaweza kuta matatizo yako ni familia, kusalitiwa, roho mbaya, chuki, kukosa mke mume, kukosa true love au mahusiano, addiction ya madawa ya kulevya au ngono au urahibu wowote ule kwa kifupi mtihani wako wa maisha ili uwende mbinguni ni kile kitu kinachokutesa na kile kitu unachotamani kukiacha kakini huwezi. Kama Ukifabila kukamilisha hicho jua umefeli lazima urudi tena hapa duniani tena mpaka ufaulu.

Take notice kwamba hakuna dini wala maombi yatakayo kufanya uende mbinguni huo ni upigaji wa wanao mwabudu sun god au Black cube ( Saturn worship) huyu Saturn ndio Zohal mungu wa dunia hii au God of time yeye ndio mungu wa dini zote kubwa hapa duniani yeye ndio mkuu wa Matrix. God of many names. Yeye ndiye A kwa waislam na J kwa wakristo.

Kutokana na madhara makubwa ya biashara ya utumwa pamoja na vita vikuu vta dunia na machafuko roho nyingi za wanadamu ziliweza kuona ukatili mkubwa sana katika kipindi hicho na roho nyingi ilizo fia vitani au utumwani hazitaki kurudi tena duniani, ikapelekea hao watu waliofeli mitihani yao kuogopa kurudi duniani ili kurekebisha makosa yao hivyo wameamua kubaki 4d kama mizuka au nafsi za wafu na kutelekeza miili yao ambayo inazaliwa hapa duniani bila nafsi.

Baada ya kutelekeza miili yao watu wanazaliwa bila kujua wema au roho nzuri au kujali wengine.

Mtu ambaye hana nafsi atajijuaje mwenyewe au atajigundiaje? Hii ndio msingi wa mada yangu maelezo ya hapo juu ni kwa ajili ya kujenga hoja ili watu wangu waelewe nini chanzo.

Binadamu yoyote anakuwa na mwili na roho kwa kuwa na vitu hivo viwili anaweza kuonekana mkamilifu kwa kuwa anakula anakunywa na kuzungumza na anaweza hata kuzaa watoto lakini bado ndani ndani yake hajakamilika. Kwani kuna kitu kakosa ambacho ndio nakiweka bayana hapa.

Binadamu ambaye hana nafsi inamana kwenye akili au ufahamu wake hana ile internal dialog. Nikisema internal dialogue namaniaha kuwa kuna kile kisauti kipo kichwani kwako mfano ukiwa unatembea unafikiria uende wapi au ufanye nini au ukitaka kufanya kitu kibaya sauti hiyo inakupa onyo kwamba usifanye kitu hicho. Mfano ukiwa umelala au unataka kulala unaweza kuwa unawaza mawazo yako hata kama umewasha feni au redio unawaza japo kuwa kuna kelele mawazo yapo.

Mtu ambaye hana nafsi hawazi chochote isipokiwa kilichopo mbele yake wala hana utashi wa kutofautisha kati zuri na baya kwakuwa akili yake na mawazo yake yametulia muda wote huwa anakuwa na utashi wa kuwaza kitu kimoja tuu. Mfano kama anasoma hii mada atasoma tuu maandishi lakini hata waza kuwa ndani ya maandishi kuna nini au ujumbe gani. Mfano akiangalia sinema huwaza starehe ya kutazama bila kujua funzo la sinema hiyo ni nini.

Nafsi ndio operating system ya mwanadamu mtu ambaye hana nafsi anakuwa kama binadamu wa kawaida tofauti ni moja tuu hana hisia au sauti ya kumwonyesha kitu kizuri na kibaya. Anachoangalia ni jambo la kumfurahisha mwili wake na mahitaji ya kimwili tuu au kumridhisha yeye mwenyewe hawazi kuhusu wengine. Hana mahitaji ya kiroho kabisa.

Binadamu mwenye nafsi ni ngumu sana kufanya vitu kama meditation kwani mawazo yake hayapo tayari kusimamishwa ili kichwani kwake kubaki empty ili ufahamu wake uvamiwe na kiumbe kingine asicho kifahamu. Nilisha zungumzia mambo ya meditation kwenye mada ya New Age Religion.

Kwa wale wanaofanya meditation wanajua kuwa inabidi uweze kusimamisha mawazo yako yote usiweze kuwaza kitu chochote kitu ambacho ni kigumu sana kwa mtu mwenye nafsi hawezi kabisa kufanya meditation hata akijaribu ataishia kuwaza mambo yake au kupitiwa na usingizi. Mtu ambaye hana nafsi ni rahisi kufanya mesitation.

Vitu kama meditation ni hatari sana kwa mtu mwenye nafsi inaweza kusababusha ukawa kichaa kwakuruhusu ufahamu wako kuvamiwa na kiumbe usichokijua baada ya wewe ku shut down mawazo yako kichwani ukawa empty head. Ni sawa na kuingiza Virus katika mfumo wako.

Anyway kwa mtu ambaye amezaliwa hana nafsi ataishia kuwa mfuasi wa dark lord na mtu mwenye nafsi ataishia kuwa mfuasi wa Light. Mtu ambaye alikuwa na nafsi kisha akauza nafsi anaweza kuirudisha nafsi yake ila sio kwa maombi bali kwa nia yake ya dhati. Kiumbe aliyeuza nafsi anatawaliwa na asili ya hofu inabidi apambane nae as he walked in the valley of shadow of death and darkness he shall fear no evil.

Ni vigumu kuandika kila kitu hapa.

Reincrnation and past life read the book [emoji1313]View attachment 2040553
Nianze kwa kukubalina na wewe kuwa ni kweli binadamu ana sehemu tatu,Body,Mind na Spirit. Lakini hakuna uwezekano wa mwanadamu kuzaliwa bila nafsi. Kimsingi binadamu ni spirit yenye soul na inaishi ndani ya body.Chenye uwezo wa kusimama peke yake ni Spirit na sio soul wala Body. Kwa hiyo ni impossible kwa mwanadamu kuzaliwa bila soul otherwise huyo ni creature wa aina nyingine na sio binadamu.

Soul inadeal na mambo makuu matatu,Emotions,Will and Mind.Binadamu wote wana hisia ambazo zinaweza kuwa Hasira,furaha,amani,wasiwasi,woga nk.Bila nafsi ni impossible kufeel hizi emotions.Lakini pia kila binadamu anamaamuzi au machaguzi yake whether anayaonyesha kwa watu au lah.Hii ndo tunaita will hata kichaa anachagua kuacha jambo moja na kuamua kufanya lingine.Binadamu wote wanahuu uwezo na hawawezi kuupoteza.Lakini pia kila mwanadamu anauwezo wa kuthink logically,kutunza kumbukumbuku za matukio ya awali nk.Hii ni uthibitisho wa uwepo wa Mind.

Kwa hiyo its impossible kwa binadamu kuexist without soul.Soul and spirit always exist together. Kuna material mengi sana outthere lakini material mengi hayanaga ukweli especially material yanayodeal na Mambo ambayo ni Immaterial.Choose your materials wisely.
 
Nakuunga mkono kwenye mtizamo wako binafsi juu ya mafundisho ya meditation kuwa na connection na mambo ya upotoshaji wa kiroho maana binafsi pia nimefanya utafiti katika hilo na nikaambulia kujua kitu similar na matokeo yako.

Ila nina maswali machache yakukuuliza kulingana na nyuzi zako upi ni mlengo hasa wa dhamirio lako/maudhui yako kwa jamii maana kuna sehemu kadhaa unajichanganya.
Je, wewe ni mfuasi wa mafundisho ya namna gan au unaamini katika itikadi ipi?

1. Katika uzi wako huu kigezo kikuu cha kutokuwa na nafsi ni kukosa internal dialog,
Je una uhakika gan kuwa kuna mtu huwa hana hiyo internal dialog hapa duniani? Hasa anapofanya maamuzi katika kuselect mf kununua kitu,kujaribu jambo jipya,kufanya jema au baya, kufikiria na kuwazua mf tunaona wengine mpk midomo inachezacheza wakizungumza wenyewe barabarani,n.k
Je, huoni kama ukikosa kigezo iko upaswi kuwa mwanadamu maana utakuwa ni roboti maana hicho unachokiita internal dialog(akili inapofikiria au kujiuliza,kujipinga na kujijibu pasipo kinywa kutamka) ndiyo utufanya binadamu tuwe timamu na kwa hili hakuna binadamu asiyelifanya kila nukta inayotiki.

Mf. eti ukiwa na roho mbaya,moyo mgumu, usiyejali hisia za wengine(mbinafsi au katili),asiye na hisia dadisi mf unapocheki muvi basi huna internal dialog na hivyo huna nafsi. Je kuna logic juu ya unachokisema?

2. Katika uzi wako wa New Age: Dini mpya.. nimekuquote ukidai kuwa wakirsto na waislamu ndo pekee umwamini Mungu wa kweli na aliye hai. Vipi una ushahidi gani madhubuti wa kuthibitisha hili?

Katika uzi wako huu unasimama na kigezo cha reincarnation kuwa na usababishi.
Katika uzi wako wa New Age umetumia mstari kutoka (Ebr 9:27) kuwa reincarnation si kweli nakuamini mambo hayo kuwa yapo ni upofu. Swali sasa tushike lipi kutoka kwako?

3. Katika uzi wako wa Royal bloodline: Damu takatifu, unatuaminisha juu ya uwepo wa koo 13 na familia zilizobarikiwa au hao wateule, nakuendelea kwako kutupa mafunzo ya siri yakina draco,annunak, nebiru,nyota orion, Mwafrika ni bora kuliko race ya mzungu,utofauti kati ya devil na lucifer, kuumbwa kwa binadamu na aliens wa dimensions n.k ambayo ni mafunzo ya New Age ya hawa akina illuminati na katika temple za kimasonia mf. ni kule FB tunazo page za kina Lord krishina lucifa n.k na mahubiri yao ni haya haya.
Swali ni je, wewe pia nimuamini katika mafunzo haya ya siri? Au pengine una lengo tofauti unapotuletea bandiko lako hapa jamii intelligence?
Watu wengi siku hizi wanaokoteza maarifa ambayo watu wameyapotezea kwa sababu ya upotofu wake,wanayaweka kichwani na kujihesabia kuwa wamefumbuliwa macho kitu ambacho sio cha kweli.

Watu wanawekeza muda kusoma conspiracies na fiction kabla ya kuinvest muda na resources kusoma vitu ambavyo vipo accepted na jamii yote kwa ujumla.I advocate watu kuwa watafiti lakini jua kwanza mazingira yanayokuzunguka kwa undani kisha jifunze yale ambayo unahisi ni muhimu kuyajua lakini hayajawekwa bayana.
 
Back
Top Bottom