Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Nianze kwa kukubalina na wewe kuwa ni kweli binadamu ana sehemu tatu,Body,Mind na Spirit. Lakini hakuna uwezekano wa mwanadamu kuzaliwa bila nafsi. Kimsingi binadamu ni spirit yenye soul na inaishi ndani ya body.Chenye uwezo wa kusimama peke yake ni Spirit na sio soul wala Body. Kwa hiyo ni impossible kwa mwanadamu kuzaliwa bila soul otherwise huyo ni creature wa aina nyingine na sio binadamu.

Soul inadeal na mambo makuu matatu,Emotions,Will and Mind.Binadamu wote wana hisia ambazo zinaweza kuwa Hasira,furaha,amani,wasiwasi,woga nk.Bila nafsi ni impossible kufeel hizi emotions.Lakini pia kila binadamu anamaamuzi au machaguzi yake whether anayaonyesha kwa watu au lah.Hii ndo tunaita will hata kichaa anachagua kuacha jambo moja na kuamua kufanya lingine.Binadamu wote wanahuu uwezo na hawawezi kuupoteza.Lakini pia kila mwanadamu anauwezo wa kuthink logically,kutunza kumbukumbuku za matukio ya awali nk.Hii ni uthibitisho wa uwepo wa Mind.

Kwa hiyo its impossible kwa binadamu kuexist without soul.Soul and spirit always exist together. Kuna material mengi sana outthere lakini material mengi hayanaga ukweli especially material yanayodeal na Mambo ambayo ni Immaterial.Choose your materials wisely.

Tuanze na material ambayo yapo relevant kwako mfano kitabu cha biblia Marko 8:36 kinasema For what shall it profit a man, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? Hii kwanza inakufundisha mtu anaweza kuishi bila nafsi na akafanikiwa kwemye mambo ya kidunia kwa kupitia kutesa mwengine. Nafsi ni ile sauti inayoishi ndani kwako haisuhiani kabisa na uhai wako. Kuna watu hawana internal dialog sema ni ngumu sana kukubali juu ya hili na wengine kwa kiupitia hii mada wamejua wapo katka kundi gani.

Uhai wa mwanadamu upo kwenye damu tuu ndio mana unapaswa kujua kuwa roho inaishi kwenye damu. Katika maisha ya kibinadamu mambo mengi yamefichwa kwa kigezo cha kutokuamini ukweli kwani truth is stranger than finction.

Sociopaths na psychopaths are soulless being au ni aina fulani ya watu ambao hawana nafsi yani jamii yote ya Narcisist hawana sifa za kuwa na emotion zozote wala hisia au feelings za namna yoyote je hao unawazungumziaje? Ndio mqqna kuongezeka kwa watu hawa ambao hawana nafsi imekuwa chqngqmoto kwenye jamii kuongezeka kwa matukionya kikatili kuvunjika mahusiano kama ndoa kuongezeka ka laana ya zinaa na vitu kama hivyo.

Anyway inabidi utofautishe kati ya roho (spirit) na nafsi (soul) ndio utaelewa material nilizoandika hapa. Hawa watu ambao hawana nafsi wapo sana tuu na wanaitwa empty souls au soulless beings au NPC hili linaweza kuwa jambo jipya kwako chukua muda kujiridhisha. Roho ni uhai nafsi ni utashi wa kumuongoza mtu. Ambaye hana nafsi ndio anayeweza kutumika na mapepo au demons kwa urahisi.

Sio kila binadamu ana maamuzi juu ya nafsi yake. Kuna watu hawana uwezo wa kupenda wala hawana hisia zozote na bado wanaishi kwenye jamii watu hao ndio hawana nafsi.
 
Tuanze na material ambayo yapo relevant kwako mfano kitabu cha biblia Marko 8:36 kinasema For what shall it profit a man, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? Hii kwanza inakufundisha mtu anaweza kuishi bila nafsi na akafanikiwa kwemye mambo ya kidunia kwa kupitia kutesa mwengine. Nafsi ni ile sauti inayoishi ndani kwako haisuhiani kabisa na uhai wako. Kuna watu hawana internal dialog sema ni ngumu sana kukubali juu ya hili na wengine kwa kiupitia hii mada wamejua wapo katka kundi gani.

Uhai wa mwanadamu upo kwenye damu tuu ndio mana unapaswa kujua kuwa roho inaishi kwenye damu. Katika maisha ya kibinadamu mambo mengi yamefichwa kwa kigezo cha kutokuamini ukweli kwani truth is stranger than finction.

Sociopaths na psychopaths are soulless being au ni aina fulani ya watu ambao hawana nafsi yani jamii yote ya Narcisist hawana sifa za kuwa na emotion zozote wala hisia au feelings za namna yoyote je hao unawazungumziaje? Ndio mqqna kuongezeka kwa watu hawa ambao hawana nafsi imekuwa chqngqmoto kwenye jamii kuongezeka kwa matukionya kikatili kuvunjika mahusiano kama ndoa kuongezeka ka laana ya zinaa na vitu kama hivyo.

Anyway inabidi utofautishe kati ya roho (spirit) na nafsi (soul) ndio utaelewa material nilizoandika hapa. Hawa watu ambao hawana nafsi wapo sana tuu na wanaitwa empty souls au soulless beings au NPC hili linaweza kuwa jambo jipya kwako chukua muda kujiridhisha. Roho ni uhai nafsi ni utashi wa kumuongoza mtu. Ambaye hana nafsi ndio anayeweza kutumika na mapepo au demons kwa urahisi.

Sio kila binadamu ana maamuzi juu ya nafsi yake. Kuna watu hawana uwezo wa kupenda wala hawana hisia zozote na bado wanaishi kwenye jamii watu hao ndio hawana nafsi.
Hiyo scripture uliyoquote mwanzoni inazungumzia losing your soul in sence of going to hell after death not losing it while one is still living.

About spirit living in the blood the bible says in Leviticus 17:11 that the LIFE of the flesh(mwili) is in the blood.This means that when the blood stop flowing the body(flesh) dies but the spirit lives on. The spirit doesnt depend on the blood to exist. The spirit is eternal.

Hizo story za socialpath na hao mapsychopath hazihusiani na kutokuwa na soul. Spirit and soul can not be separated.As i have said before Soul deals with Emotions,will and mind and nobody can lose his soul or spirit.BIblically speaking when talking about losing a soul or spirit they are talking about separation from God after death.
 
Nimetoa mfano hapo roho ni uhai ambayo inaishi kwenye damu nafsi ni utashi unaoweza kukufanya kujitambua na kufanya maamuzi.
Roho inaishi!? Tena kwenye damu!? Kwenye red blood cells au white blood cells!?
Unapokuwa unaandika vitu jaribu kidogo kuwa na elimu ya biology.

Life imeanzia kwenye level ya cell. Na cells zipo mwili mzima wa mtu na sio blood peke.

In short you don't know what you wrote.
 
Its proven scientifically kuwa wau waliopandikizwa viungo au transplants kama heart transplant au figo au kuongezewa damu wanakuwa na mabadiliko katika hisia na tabia zao.
Kwahiyo mabadiliko ya kitabia ndiyo yanasababisha useme roho ipo kwenye damu!?
 
Roho inaishi!? Tena kwenye damu!? Kwenye red blood cells au white blood cells!?
Unapokuwa unaandika vitu jaribu kidogo kuwa na elimu ya biology.

Life imeanzia kwenye level ya cell. Na cells zipo mwili mzima wa mtu na sio blood peke.

In short you don't know what you wrote.

Huamini kama roho au uhai upo kwenye damu?
 
Hiyo scripture uliyoquote mwanzoni inazungumzia losing your soul in sence of going to hell after death not losing it while one is still living.

About spirit living in the blood the bible says in Leviticus 17:11 that the LIFE of the flesh(mwili) is in the blood.This means that when the blood stop flowing the body(flesh) dies but the spirit lives on. The spirit doesnt depend on the blood to exist. The spirit is eternal.

Hizo story za socialpath na hao mapsychopath hazihusiani na kutokuwa na soul. Spirit and soul can not be separated.As i have said before Soul deals with Emotions,will and mind and nobody can lose his soul or spirit.BIblically speaking when talking about losing a soul or spirit they are talking about separation from God after death.

Nafsi ni utashi wa mwanadamu kumuongoza katika kufanya chaguo. Mfano kichaa au hayawani hana nafsi ndio mana hajui mambo anayofanya na anaweza kutembea ata bila nguo bila kujali. Ni hivo hivo kwa sociopaths sio story ni reality. Kutokuwa na nafsi haimanishi utakufa au utashindwa kuishi bali inamanishq maishq yako utaishi kama portal au vessel.
 
Huamini kama roho au uhai upo kwenye damu?
Uhai wa mwili upo kwenye damu sio roho.Roho haifi hata baada ya mwili kufariki.Roho ni ya milele inaishi tu kwenye mwili na muda wa kuishi kwenye mwili unapoisha inaachana na mwili lakini yenyewe inaendelea kuishi.Awali nimekuwekea scripture kuonesha hilo Leviticus 17: 11 "For the life of the flesh is in the blood"
 
Nafsi ni utashi wa mwanadamu kumuongoza katika kufanya chaguo. Mfano kichaa au hayawani hana nafsi ndio mana hajui mambo anayofanya na anaweza kutembea ata bila nguo bila kujali. Ni hivo hivo kwa sociopaths sio story ni reality. Kutokuwa na nafsi haimanishi utakufa au utashindwa kuishi bali inamanishq maishq yako utaishi kama portal au vessel.
We unadhani kichaa hana hisia?hana huzuni,hana hasira,hana furaha? Kama ndo unavyodhani basi huwajui vichaa.Maamuzi ya vichaa yanaweza yasiwe mazuri lakini still ni maamuzi.Na sio vichaa tu wanaofanya maamuzi ambayo watu wengine wanaweza ku-question hata watu wanaojitanabaisha kuwa ni SANE nao sometimes wanafanya maamuzi tatanishi.Unazungumziaje uwezo wao wa kukumbuka mambo yaliyowatokea nyuma?uwezo wa kutambua huu ni mdomo niweke chakula humu ili nipunguze njaa?

Haya yote ni uthibitisho wa uwepo wa nafsi kwa mwanadamu hata kichaa.Na pia nikusaidie hapa kwenye jambo moja ambalo linawachanganya wengi.Soul and Spirit ni vitu viwili tofauti lakini havitengani.Ndio mana hata Biblia mara kadhaa inazungumzia losing your soul mahala ambapo wanazungumzia losing your spirit.Popote Roho itakapokwenda ndipo soul itakapokwenda.Hivi vitu havitengani kamwe.
 
Mkuu umeandika vitu vingi sana,lakini kabla ya yote ningependa kujua huyu binadamu kama mfalme suleiman aliumbwa na nani na huyo aliyemuumba alitoka wapi!?....
 
Mkuu umeandika vitu vingi sana,lakini kabla ya yote ningependa kujua huyu binadamu kama mfalme suleiman aliumbwa na nani na huyo aliyemuumba alitoka wapi!?....
Sikubaliani na sehemu kubwa ya hoja za janja lakini naweza kukujibu Mfalme Suluimani ameumbwa na Mungu.Na aliyemuumba Sulemani hakutoka sehemu yeyote.Hakuwa na mwanzo na hatakuwa na mwisho.
 
Nafsi ni utashi wa mwanadamu kumuongoza katika kufanya chaguo. Mfano kichaa au hayawani hana nafsi ndio mana hajui mambo anayofanya na anaweza kutembea ata bila nguo bila kujali. Ni hivo hivo kwa sociopaths sio story ni reality. Kutokuwa na nafsi haimanishi utakufa au utashindwa kuishi bali inamanishq maishq yako utaishi kama portal au vessel.
Kichaa hana nafsi?

Sasa Aliyetibiwa akapona ukichaa akaacha kutembea uchi anakuwa amerudishiwa nafsi?

Vipi nafsi ya ambaye maleria imepanda kichwani akawehuka akatibiwa akapona?

Vp aliyepatwa na hasira akaanza kupiga kelele kama kichaa? Wakati ule anapofanya vitendo vya ukichaa nafsi inakuwa wapi?

Ni kweli kuwa kichaa hana maamuzi?

Kichaa ni nini? Inahusiana na hitilafu ya ubongo au nafsi?
 
Sikubaliani na sehemu kubwa ya hoja za janja lakini naweza kukujibu Mfalme Suluimani ameumbwa na Mungu.Na aliyemuumba Sulemani hakutoka sehemu yeyote.Hakuwa na mwanzo na hatakuwa na mwisho.
Mkuu ninahisi huwa unasoma Bible,ina maarifa yaliyopitiliza uwezo wa fikra wa kibinadamu,kuna upotoshaji wa kiwango cha juu sana unaweza kufanyika kwa kuquote mistari yake na kuipa tafsiri....."kuna watu walikusanya maarifa,wakayafungia na kukataza wengine wasiyapate na mbaya zaidi hata wao pia hawataki kuyasoma" (refer habari za Yesu na mafarisayo)
 
Mkuu ninahisi huwa unasoma Bible,ina maarifa yaliyopitiliza uwezo wa fikra wa kibinadamu,kuna upotoshaji wa kiwango cha juu sana unaweza kufanyika kwa kuquote mistari yake na kuipa tafsiri....."kuna watu walikusanya maarifa,wakayafungia na kukataza wengine wasiyapate na mbaya zaidi hata wao pia hawataki kuyasoma" (refer habari za Yesu na mafarisayo)
Mkuu sijapata exactly your point but i think The Bible is the most trustwothy book in the history of books,first there are more than 40 different authors who lived at different ages but their massage is the same.This cannot be possible unless there is divine intervention.This is one of the reasons we say The Bible is inspired by God.

Tafauti na hivi vitabu vingine vya waandishi wawili au mmoja,wanaandika mawazo yao hakuna popote pa kucompare na vitu kama hivyo.
 
We unadhani kichaa hana hisia?hana huzuni,hana hasira,hana furaha? Kama ndo unavyodhani basi huwajui vichaa.Maamuzi ya vichaa yanaweza yasiwe mazuri lakini still ni maamuzi.Na sio vichaa tu wanaofanya maamuzi ambayo watu wengine wanaweza ku-question hata watu wanaojitanabaisha kuwa ni SANE nao sometimes wanafanya maamuzi tatanishi.Unazungumziaje uwezo wao wa kukumbuka mambo yaliyowatokea nyuma?uwezo wa kutambua huu ni mdomo niweke chakula humu ili nipunguze njaa?

Haya yote ni uthibitisho wa uwepo wa nafsi kwa mwanadamu hata kichaa.Na pia nikusaidie hapa kwenye jambo moja ambalo linawachanganya wengi.Soul and Spirit ni vitu viwili tofauti lakini havitengani.Ndio mana hata Biblia mara kadhaa inazungumzia losing your soul mahala ambapo wanazungumzia losing your spirit.Popote Roho itakapokwenda ndipo soul itakapokwenda.Hivi vitu havitengani kamwe.

Mkuu ngoja nikueleweshe ili uelewe kichaa ni mtu ambaye ni veasel au portal hana control ya nafsi yake isipokuwa anaongozwa na viumbe wengine kama demons au mapepo wachafu zingatia mfano wa yule kichaa mwenye mapepo aliyekuwa anaishi njiani na kuogopesha watu hata wasipite ndipo jesus akayatoa mapepo na kuyahamishiq kwa ngurue ndio akili zake zikaja. Hiyo inafundisha kwamba usipokuwa na nafsi hujitambui ila utaishi.

Kuna watu wengi sana ni vessels au portal kwa haya mapepo ndio ambao hawana internal dialog na dhumuni la mada hii ni wao kujitambua na kuchukua hatua. Hizo hisia za vichaa sionza kwao ni za viumbe waishio ndani yao.
 
Kichaa hana nafsi?

Sasa Aliyetibiwa akapona ukichaa akaacha kutembea uchi anakuwa amerudishiwa nafsi?

Vipi nafsi ya ambaye maleria imepanda kichwani akawehuka akatibiwa akapona?

Vp aliyepatwa na hasira akaanza kupiga kelele kama kichaa? Wakati ule anapofanya vitendo vya ukichaa nafsi inakuwa wapi?

Ni kweli kuwa kichaa hana maamuzi?

Kichaa ni nini? Inahusiana na hitilafu ya ubongo au nafsi?

Kichaa ni 99 problems. Zingatia 99
 
Mkuu umeandika vitu vingi sana,lakini kabla ya yote ningependa kujua huyu binadamu kama mfalme suleiman aliumbwa na nani na huyo aliyemuumba alitoka wapi!?....

Mimi sio muumini wa theory ya creation kutoka kwenye bible au quran soma mada zangu. Wala sina cha kitu cha kunishawishi kuna kitu kinaitwa creator. Ila nachojua nipo, nilikwepo na nitaendelea kuwepo. Ukisoma
Mada zangu nilisha zungumzia chimbuko la binadamu na nikaweka wazi msimamo wangu kuwa adamu na hawa ndio creation na walikuwa wamefungiwa mahali wasichamgqnyikane na binadamu wengine wenye nafsi. Chimbuko la adamu na eva ndio hawa watu ambao hawana nafsi.
 
Mpaka sasa ninashindwa kuelewa hiyi Khali hutokana na ni nn kuna muda ninakuwa na uwezo wa kugundua hata mtu anae taka kufa mwezi ujao na hatua ya kwanza huwa napiga nae sana stori na kumuhaid kesho yake ningeweza kuja lakini huwa haiw hvy kila nikijaribu kutaka kukutana nae hujikuta sipat muda baada ya mwezi utasikia jamaa kafa imetokea zaid ya watu 9 had kufikia 2020 mwishon hawa wa mwisho nilikuwa nawachana kimafumbo inawezekana huu ndio ukawa mwanzo na mwisho wa kukutana

Suala lingine huwa nikiwa na hisia za kukutana na viongozi wakubwa usiku nikilala hupiga nao stori na mfano magu Kikwete nk na juz samia ila niligombana nae sana sikuelewa kwann huyu nikiota hujikuta nagombana nae

Mambo ni mengi ila haya ni kwa uchache
Mkuu hili lina uhusiano gani kwenye haya mambo
 
Back
Top Bottom