Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Labda kwa kukujibu tu ni kwamba huo mstari ni kwaajili ya kutengenezea watu wenye nafsi hofu. Kufa lazima kila mtu afe lakini sio mauti. Kuna tofauti kati ya kufa na kuonja mauti.

Watu wenye nafsi pindi wakifa wana option ya reincarnation kurekebisha makosa yao na watu ambao hawana nafsi hawawezi kuwa na nafasi ya reincarnation wanapokufa na story yao inaisha.. Nita ku tag
Reincarnation tena? kaka unajaza madude mengi kichwani ambayo hayana faida.Tumia muda wako wisely.
 
Mkuu tufafanunulie kwanza tofauti ya nafsi na roho.
Roho ni pumzi ya uhai uliyonayo ambayo ikiachana na mwili wako, unakufa yaani unaitwa maiti.

Nafsi ni kile kinachoumiliki mwili wako. Kwa mfano, roho ikishatengana na mwili, unakuwa maiti halafu hiyo maiti inaitwa "mwili wa fulani", huyo fulani anayeumiliki huo mwili, ndiyo nafsi. Najua unaweza kusema hapa kuwa hiyo "fulani" inawakilisha jina la mwenye mwili na hivyo kuanza kufikiria kuwa pengine nafsi ni sawa na jina la mtu; hapana.

Jina ni kiwakilishi tu cha nafsi kama LEBO ya nafsi kwa sababu zipo nyingi kusaidia watu wasichanganye nafsi moja na nyingine kutokana na ukweli kuwa kila mtu ni nafsi. Kwa hiyo ili tuweze kutofautisha nafsi moja na nyingine, tunazipa majina. Kwa hiyo majina ni viwakilishi vya nafsi, vinavyoweza kutusaidia kutoutisha nafsi moja na nyingine. LEBO hizi huwa siyo pamanent na ndiyo maana leo naweza nikaamua niitwe Makanyaga, halafu kesho tena nikaamua niitwe dumbi.

Vile vile LEBO hizi huwa hazina tabia ya kujitambulisha zenyewe kwenye mazingira mageni, ila nafsi yenyewe huwa inajitambulisha popote pale itakapokuwepo bila kujali mazingira kwamba iko uugenini au nyumbani.

Kwa mfano, wewe huko uliko Ulaya muda huu, tuseme ukiamua kusafiri kutoka huko na kurudi huku nyumbani kwenu Tanzania halafu ukafikia Moshi ambako siyo kwenu na watu wa huko Moshi hawakujui, (tuseme labda kwenu ni Mbeya), the moment umefika Moshi watakaokuona wataanza kusema kuwa yule ni MTU, thapa ayari nafsi yako inakuwa imejulikana. Baada ya hapo, itabidi sasa wakuulize JINA lako ambayo ndiyo LEBO YA NAFSI YAKO. Jina unaweza hata ukawadanganya ukawaambia unaitwa JOHN, wakati kumbe wewe ni MICHAEL.

Tofauti na ilivyo kwa nafsi, watu hawahahitaji kukuuliza kwamba wewe ni mtu, huwa inajitambulisha yenyewe na pia huwezi ukawadangaya kama ilivyo kwa jina, kwamba uwaambie kwamba wewe ni kondoo, na si mtu, haiwezekani kwa sababu nafsi ina mamlaka ya kujitambulisha yenyewe, haihitjai wewe uitambulishe. Wewe unayo mamlaka ya kutambulisha LEBO yako tu basi na hiyo ndiyo una uhuru nayo kwamba unaweza hata ukaamua kudanganya juu ya LEBO yako. Tuko wote?
Mifano zaidi:
Mkono wangu unauma-----hii inamaanisha wewe siyo mkono
Kichwa changu---------- inamaanisha wewe siyo kichwa
Mwili wangu-----------------inamaanisha wewe siyo mwili, WEWE NI NAFSI, labda iliyopewa LEBO JOHN, baada ya kuzaliwa!
Ubarikiwe
 
Mimi sio muumini wa theory ya creation kutoka kwenye bible au quran soma mada zangu. Wala sina cha kitu cha kunishawishi kuna kitu kinaitwa creator. Ila nachojua nipo, nilikwepo na nitaendelea kuwepo. Ukisoma
Mada zangu nilisha zungumzia chimbuko la binadamu na nikaweka wazi msimamo wangu kuwa adamu na hawa ndio creation na walikuwa wamefungiwa mahali wasichamgqnyikane na binadamu wengine wenye nafsi. Chimbuko la adamu na eva ndio hawa watu ambao hawana nafsi.
Umetaja Adam, ukataja na Hawa kama creation,swali hapa, ni kivipi uliweza kuwafahamu Adamu na Eva kama si creation theory unayesema kwako si kitu.

Au we mwenzetu Adam na Eva unao wasemea hapa umewapata sehemu gani?
 
Kichaa hana nafsi?

Sasa Aliyetibiwa akapona ukichaa akaacha kutembea uchi anakuwa amerudishiwa nafsi?

Vipi nafsi ya ambaye maleria imepanda kichwani akawehuka akatibiwa akapona?

Vp aliyepatwa na hasira akaanza kupiga kelele kama kichaa? Wakati ule anapofanya vitendo vya ukichaa nafsi inakuwa wapi?

Ni kweli kuwa kichaa hana maamuzi?

Kichaa ni nini? Inahusiana na hitilafu ya ubongo au nafsi?
Jamaa anazingua kuna vichaa ukiwazingua wanakuzingua hutaamini.
 
Roho ni pumzi ya uhai uliyonayo ambayo ikiachana na mwili wako, unakufa yaani unaitwa maiti.

Nafsi ni kile kinachoumiliki mwili wako. Kwa mfano, roho ikishatengana na mwili, unakuwa maiti halafu hiyo maiti inaitwa "mwili wa fulani", huyo fulani anayeumiliki huo mwili, ndiyo nafsi. Najua unaweza kusema hapa kuwa hiyo "fulani" inawakilisha jina la mwenye mwili na hivyo kuanza kufikiria kuwa pengine nafsi ni sawa na jina la mtu; hapana.

Jina ni kiwakilishi tu cha nafsi kama LEBO ya nafsi kwa sababu zipo nyingi kusaidia watu wasichanganye nafsi moja na nyingine kutokana na ukweli kuwa kila mtu ni nafsi. Kwa hiyo ili tuweze kutofautisha nafsi moja na nyingine, tunazipa majina. Kwa hiyo majina ni viwakilishi vya nafsi, vinavyoweza kutusaidia kutoutisha nafsi moja na nyingine. LEBO hizi huwa siyo pamanent na ndiyo maana leo naweza nikaamua niitwe Makanyaga, halafu kesho tena nikaamua niitwe dumbi.

Vile vile LEBO hizi huwa hazina tabia ya kujitambulisha zenyewe kwenye mazingira mageni, ila nafsi yenyewe huwa inajitambulisha popote pale itakapokuwepo bila kujali mazingira kwamba iko uugenini au nyumbani.

Kwa mfano, wewe huko uliko Ulaya muda huu, tuseme ukiamua kusafiri kutoka huko na kurudi huku nyumbani kwenu Tanzania halafu ukafikia Moshi ambako siyo kwenu na watu wa huko Moshi hawakujui, (tuseme labda kwenu ni Mbeya), the moment umefika Moshi watakaokuona wataanza kusema kuwa yule ni MTU, thapa ayari nafsi yako inakuwa imejulikana. Baada ya hapo, itabidi sasa wakuulize JINA lako ambayo ndiyo LEBO YA NAFSI YAKO. Jina unaweza hata ukawadanganya ukawaambia unaitwa JOHN, wakati kumbe wewe ni MICHAEL.

Tofauti na ilivyo kwa nafsi, watu hawahahitaji kukuuliza kwamba wewe ni mtu, huwa inajitambulisha yenyewe na pia huwezi ukawadangaya kama ilivyo kwa jina, kwamba uwaambie kwamba wewe ni kondoo, na si mtu, haiwezekani kwa sababu nafsi ina mamlaka ya kujitambulisha yenyewe, haihitjai wewe uitambulishe. Wewe unayo mamlaka ya kutambulisha LEBO yako tu basi na hiyo ndiyo una uhuru nayo kwamba unaweza hata ukaamua kudanganya juu ya LEBO yako. Tuko wote?
Mifano zaidi:
Mkono wangu unauma-----hii inamaanisha wewe siyo mkono
Kichwa changu---------- inamaanisha wewe siyo kichwa
Mwili wangu-----------------inamaanisha wewe siyo mwili, WEWE NI NAFSI, labda iliyopewa LEBO JOHN, baada ya kuzaliwa!
Ubarikiwe
Asante sana nimeelewa sana shukrani kwa kuopoteza muda wako kwa hili, maana hakukuwa na jibu linalleleweka hapa umesaidia wengi sana.
 
Roho ni pumzi ya uhai uliyonayo ambayo ikiachana na mwili wako, unakufa yaani unaitwa maiti.

Nafsi ni kile kinachoumiliki mwili wako. Kwa mfano, roho ikishatengana na mwili, unakuwa maiti halafu hiyo maiti inaitwa "mwili wa fulani", huyo fulani anayeumiliki huo mwili, ndiyo nafsi. Najua unaweza kusema hapa kuwa hiyo "fulani" inawakilisha jina la mwenye mwili na hivyo kuanza kufikiria kuwa pengine nafsi ni sawa na jina la mtu; hapana.

Jina ni kiwakilishi tu cha nafsi kama LEBO ya nafsi kwa sababu zipo nyingi kusaidia watu wasichanganye nafsi moja na nyingine kutokana na ukweli kuwa kila mtu ni nafsi. Kwa hiyo ili tuweze kutofautisha nafsi moja na nyingine, tunazipa majina. Kwa hiyo majina ni viwakilishi vya nafsi, vinavyoweza kutusaidia kutoutisha nafsi moja na nyingine. LEBO hizi huwa siyo pamanent na ndiyo maana leo naweza nikaamua niitwe Makanyaga, halafu kesho tena nikaamua niitwe dumbi.

Vile vile LEBO hizi huwa hazina tabia ya kujitambulisha zenyewe kwenye mazingira mageni, ila nafsi yenyewe huwa inajitambulisha popote pale itakapokuwepo bila kujali mazingira kwamba iko uugenini au nyumbani.

Kwa mfano, wewe huko uliko Ulaya muda huu, tuseme ukiamua kusafiri kutoka huko na kurudi huku nyumbani kwenu Tanzania halafu ukafikia Moshi ambako siyo kwenu na watu wa huko Moshi hawakujui, (tuseme labda kwenu ni Mbeya), the moment umefika Moshi watakaokuona wataanza kusema kuwa yule ni MTU, thapa ayari nafsi yako inakuwa imejulikana. Baada ya hapo, itabidi sasa wakuulize JINA lako ambayo ndiyo LEBO YA NAFSI YAKO. Jina unaweza hata ukawadanganya ukawaambia unaitwa JOHN, wakati kumbe wewe ni MICHAEL.

Tofauti na ilivyo kwa nafsi, watu hawahahitaji kukuuliza kwamba wewe ni mtu, huwa inajitambulisha yenyewe na pia huwezi ukawadangaya kama ilivyo kwa jina, kwamba uwaambie kwamba wewe ni kondoo, na si mtu, haiwezekani kwa sababu nafsi ina mamlaka ya kujitambulisha yenyewe, haihitjai wewe uitambulishe. Wewe unayo mamlaka ya kutambulisha LEBO yako tu basi na hiyo ndiyo una uhuru nayo kwamba unaweza hata ukaamua kudanganya juu ya LEBO yako. Tuko wote?
Mifano zaidi:
Mkono wangu unauma-----hii inamaanisha wewe siyo mkono
Kichwa changu---------- inamaanisha wewe siyo kichwa
Mwili wangu-----------------inamaanisha wewe siyo mwili, WEWE NI NAFSI, labda iliyopewa LEBO JOHN, baada ya kuzaliwa!
Ubarikiwe
Fantastic
 
Utulivu wa nafsi ni mafanikio. Nitoe angalizo tuu kuwa Hii mada sio kwa ajili ya kila mtu ni kwaajili ya watu wachache sana ndio wataelewa.

Kwa mujibu wa tafiti za kiroho inathibitishwa kuwa asilimia 75 ya wakazi wa hapa duniani hawana nafsi. Ikumbukwe binadamu anakamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni mwili, nafsi na roho. Nikisema tafiti za kiroho namanisha wenye uwezo wa kuona vitu wanaona jinsi demons au mapepo wanavyoruka kutoka ndani ya mtu mmoja na kwenda kwa mtu mwingine.

Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikuwa nashambuliwa sana na demons au mapepo kupitia empty souls au watu wasiokuwa na nafsi ambao wanaingiliwa na mapepo bila wao kujua na kujikuta wakifanya vitu vya ajabu mbele yangu ili kunipa hofu kuwa kuna kituhakipo sawa.

Mapepo walinishambulia sana kwa kupitia watu hawa ambao hawana nafsi mfano nilikuwa nafatiliwa na watu kila niendapo, kila kazi nikifanya naharibiwa au nasambaziwa taarifa za uongo za kunichafua bila mimi kujua. Miongoni mwa vitimbi ni kukohoa ovyo kucheka ovyo na chuki za waziwazi kwa watu ninao wajua na hata nisio wajua au kufatiliwa na watu wanaovaa aina fulani za nguo lakini mwisho wa siku nilishinda mbinu za adui.

Badae nilikuja kupata Maarifa ambayo yalinifungua nikajua baadhi ya siri za ulimwengu ikiwamo baadhi ya siri za mfalme suleiman ndipo nilipojua ukweli kuhusu “Tzvarnoharno” nguvu ya Tzvarnoharno ni kubwa sana. Pale mtu anavyo pata kujifahamu yeye ni nani na asili yake ni nani huanza kushambuliwa katika ulimwengu wa roho kama wewe una roho ndogo unaweza kudhani unalogwa lakini kama ni mtu wa imani utajua ni devil yule mwovu anakujaribu.

Fanya utafiti au reseach juu ya neno “Tzvarnoharno” utajua baadhi siri za mfalme suleimani kwanini aliweza kuwamiliki majini 72 na kuyatumikisha atakavyo.

Chanzo cha binadamu/ watu kukosa nafsi ni moja ni kuzaliwa ukiwa hivyo ukiwa huna nafsi hii inaitwa glitch in the matrix na mbili ni kuuza nafsi ili uweze kutumika kama chombo (vessel/portal) na viumbe wa daraja la chini kama vijini. Mtu mwenye vijini au anayepandisha kijini huyo hana nafsi wala nguvu yoyote ya kiroho na muda wote huwa na hisia kama upepo unaingia mwilini mwake.

Kukosa nafsi kwa lugha rahisi naweza kutoa mfano wa kifaa kama Computer. Bila kuwekwa Operating system computer haiwezi kufanya kazi kwamfano huo ni kwamba ili uweze kutumia vizuri computer ni lazima uwe na Windows bila hiyo windows inakuwa computer ambaye haija kamilika.

Watoto wengi waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 (millennials) wengi wao hawana nafsi ni kama Bots tuu. Maisha yao ni vanity and greedy hawana uwezo wa kuchambua hoja au uwelewa wa kuwa na malengo katika maisha yao. Hawana malengo isipokuwa wachache sana ambao wamebahatikq kuzaliwa wakiwa kamili.

Katika mada zangu nimekuwa nikizungunzia kuhusu negative and positive energies. Negative energy mfano wake ni fears, worrying, hate, green, overindulge in sex, addictions drugs and cigarettes to mention the few.

Kwa upande wa positive energy mfano wake ni definite purpose in life, thinks of love, success, abundance,prosperity,courage and faithfulness to mention the few.

Katika mada zangu nimeweza kuelezea wasomaji wangu wachache kuhusiana na watu ambao ni narcissist au sociopaths ambao ni watu wenye negative energy na vilevile katika mada zangu nimweza kuzungumzia watu wema au wenye positive energy ambao ni empathetic au empaths.

Watoto wengi wanaozaliwa kipindi hichi hawana nafsi kama ukifanya uchunguzi kwa watoto tena ni rahisi sana kwa mtu anayekaa nyumba ya kupanga au uswahilini unaweza ukaona kuna watoto wa aina mbili wachoyo wenye wivu na watundu na vile vile ukaona watoto watoaji na watulivu. “ ondoa mtazamo kuwa hao ni watoto tuu” hakuna kitu kama hicho. Tabia ya mtu ni ile ya utotoni usidanganye hata kama mtoto wako anatabia hizo jua ndio hivo tena. Ndio mana wazee wwa zamani walikuwa wanauwa watoto wachanga kwani waliweza kujua kuwa huyu mtoto hana nafsi nilioewa maarifa kuhusu utamaduni wa kabila la wapare wa milimani kuna utamaduni wao unaitwa Nkumba Vana. Kwa mpare anajua hii ni nini.

Binadamu wanaozaliwa kipindi hiki hawana nafsi kwa sababu dunia kuanzia mwaka 2000 kulianza reincarnation of Souls za wafu wa miaka ya 1800-1900- mpaka mwanzoni mwa 1950 kumbuka kuwa nafsi ambazo zipo katika reincarnation cycle ni zile ambazo zilifeli mtihani wa maisha wakashindwa kufaulu mitihani yao ya maisha hivo inawabidi warudie mitihani yao ili waweze kuendelea mbele 5d au mbinguni.

Ninapo sema kila nafsi ina mtihani wa maisha mfano wake ni kama hivi unaweza kuta matatizo yako ni familia, kusalitiwa, roho mbaya, chuki, kukosa mke mume, kukosa true love au mahusiano, addiction ya madawa ya kulevya au ngono au urahibu wowote ule kwa kifupi mtihani wako wa maisha ili uwende mbinguni ni kile kitu kinachokutesa na kile kitu unachotamani kukiacha kakini huwezi. Kama Ukifabila kukamilisha hicho jua umefeli lazima urudi tena hapa duniani tena mpaka ufaulu.

Take notice kwamba hakuna dini wala maombi yatakayo kufanya uende mbinguni huo ni upigaji wa wanao mwabudu sun god au Black cube ( Saturn worship) huyu Saturn ndio Zohal mungu wa dunia hii au God of time yeye ndio mungu wa dini zote kubwa hapa duniani yeye ndio mkuu wa Matrix. God of many names. Yeye ndiye A kwa waislam na J kwa wakristo.

Kutokana na madhara makubwa ya biashara ya utumwa pamoja na vita vikuu vta dunia na machafuko roho nyingi za wanadamu ziliweza kuona ukatili mkubwa sana katika kipindi hicho na roho nyingi ilizo fia vitani au utumwani hazitaki kurudi tena duniani, ikapelekea hao watu waliofeli mitihani yao kuogopa kurudi duniani ili kurekebisha makosa yao hivyo wameamua kubaki 4d kama mizuka au nafsi za wafu na kutelekeza miili yao ambayo inazaliwa hapa duniani bila nafsi.

Baada ya kutelekeza miili yao watu wanazaliwa bila kujua wema au roho nzuri au kujali wengine.

Mtu ambaye hana nafsi atajijuaje mwenyewe au atajigundiaje? Hii ndio msingi wa mada yangu maelezo ya hapo juu ni kwa ajili ya kujenga hoja ili watu wangu waelewe nini chanzo.

Binadamu yoyote anakuwa na mwili na roho kwa kuwa na vitu hivo viwili anaweza kuonekana mkamilifu kwa kuwa anakula anakunywa na kuzungumza na anaweza hata kuzaa watoto lakini bado ndani ndani yake hajakamilika. Kwani kuna kitu kakosa ambacho ndio nakiweka bayana hapa.

Binadamu ambaye hana nafsi inamana kwenye akili au ufahamu wake hana ile internal dialog. Nikisema internal dialogue namaniaha kuwa kuna kile kisauti kipo kichwani kwako mfano ukiwa unatembea unafikiria uende wapi au ufanye nini au ukitaka kufanya kitu kibaya sauti hiyo inakupa onyo kwamba usifanye kitu hicho. Mfano ukiwa umelala au unataka kulala unaweza kuwa unawaza mawazo yako hata kama umewasha feni au redio unawaza japo kuwa kuna kelele mawazo yapo.

Mtu ambaye hana nafsi hawazi chochote isipokiwa kilichopo mbele yake wala hana utashi wa kutofautisha kati zuri na baya kwakuwa akili yake na mawazo yake yametulia muda wote huwa anakuwa na utashi wa kuwaza kitu kimoja tuu. Mfano kama anasoma hii mada atasoma tuu maandishi lakini hata waza kuwa ndani ya maandishi kuna nini au ujumbe gani. Mfano akiangalia sinema huwaza starehe ya kutazama bila kujua funzo la sinema hiyo ni nini.

Nafsi ndio operating system ya mwanadamu mtu ambaye hana nafsi anakuwa kama binadamu wa kawaida tofauti ni moja tuu hana hisia au sauti ya kumwonyesha kitu kizuri na kibaya. Anachoangalia ni jambo la kumfurahisha mwili wake na mahitaji ya kimwili tuu au kumridhisha yeye mwenyewe hawazi kuhusu wengine. Hana mahitaji ya kiroho kabisa.

Binadamu mwenye nafsi ni ngumu sana kufanya vitu kama meditation kwani mawazo yake hayapo tayari kusimamishwa ili kichwani kwake kubaki empty ili ufahamu wake uvamiwe na kiumbe kingine asicho kifahamu. Nilisha zungumzia mambo ya meditation kwenye mada ya New Age Religion.

Kwa wale wanaofanya meditation wanajua kuwa inabidi uweze kusimamisha mawazo yako yote usiweze kuwaza kitu chochote kitu ambacho ni kigumu sana kwa mtu mwenye nafsi hawezi kabisa kufanya meditation hata akijaribu ataishia kuwaza mambo yake au kupitiwa na usingizi. Mtu ambaye hana nafsi ni rahisi kufanya mesitation.

Vitu kama meditation ni hatari sana kwa mtu mwenye nafsi inaweza kusababusha ukawa kichaa kwakuruhusu ufahamu wako kuvamiwa na kiumbe usichokijua baada ya wewe ku shut down mawazo yako kichwani ukawa empty head. Ni sawa na kuingiza Virus katika mfumo wako.

Anyway kwa mtu ambaye amezaliwa hana nafsi ataishia kuwa mfuasi wa dark lord na mtu mwenye nafsi ataishia kuwa mfuasi wa Light. Mtu ambaye alikuwa na nafsi kisha akauza nafsi anaweza kuirudisha nafsi yake ila sio kwa maombi bali kwa nia yake ya dhati. Kiumbe aliyeuza nafsi anatawaliwa na asili ya hofu inabidi apambane nae as he walked in the valley of shadow of death and darkness he shall fear no evil.

Ni vigumu kuandika kila kitu hapa.

Reincrnation and past life read the book [emoji1313]View attachment 2040553
Ebu Ni fafa nulie ao MUNGU wawili kwenye dini izi za ki kristo na uislam please [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hahahahha hebu dadavua hapa maana wenyewe wanaitaga kusafiri😅 af mie nahisi wanga ni meditators wazuri sana maana wanaacha vitanda wanaenda kuingia kwenye manyumba ya watu huko!
Ni story ndefu kidogo lakini kwa kifupi tu ni kuwa nilikuwa nimejilaza kitandani mida ya 7 hivi usiku sina hata usingizi, ndio wazo la kifanya meditation likanijia.

Basi nikaanza ile process ya kuituliza akili, baada ya km dakika kumi hivi nikaanza kuhisi km nimepata huzuni kubwa ya ghafla( ile huzuni unayoipata baada yakupata taarifa kuwa ndugu yako wa karibu amefariki) na kitu km ganzi inapanda kutokea miguuni hadi kichwani na inavyopanda naisikia kabisa inavyopanda.
Nikaanza kupaona pale kitandani apalaliki tena, nikaona km nikishuka kitandani ndio nitapata unafuu, nikashuka kitandani nikawa nazunguka zunguka pale chumbani ila bado haikusaidia, nikahisi km nikitoka nje ndio nitakaa vizuri, nikatoka njee puuu puu km kichaaa lkn wapi amna unafuu ile ganzi bado naisikia na ile huzuni ya moyoni bado ipo nikaanza eti kukemea kwa jina la Yesu kwa jina la Yesu shindwa 😂😂😂 lkn bado; nikahisi labda nikitoka nje ya geti yaani nitoke barabarani kabisa labda ndio nitapoa, nikaanza safari ya kwenda getini lkn nikiwa naelekea getini likanijia wazo kuwa nikanywe maji ya baraka(catholic wanayajua), nikarudi ndani nikaenda kuyanywa, baada ya kuyanywa tu lile wenge la kukimbia kimbia likatulia ikabakia ile huzuni kubwa moyoni na ganzi mwilini ila sasa hivi ilipungua kidogo.

Usiku ule nilifanya au kuhisi vitu vizuri vizuri ili ile huzuni initoke lkn wapi, nikarudi kitandani kulala, kila nikijaribu kufunga jicho nilale naisikia ile ganzi inapanda kutoka miguuni hadi kichwa na km kuna nguvu fulani hivi zinanitoka mwilini, nikasema kwa hali hii nikilala tu nitafia usingizini nikawa najitahidi nisilale. Nikaja kupitiwa na usingizi saa 9 usiku na hata sikulala sana km nusu saa tu nikastuka yaani mwili wote umelowa jasho yaani hadi mashuka hayafai, nikaja kupata usingizi saa 12 kasoro asubuhi.

Ile hali ya huzuni na ganzi mwilini iliendelea kunitesa, yaani amna kitu chochote kilichokuwa kinanipa furaha hata nifanye nini yaani nikawa nahisi kufa kufa tu, nikisikia mtu kafariki nasema afadhali yake kafa kaenda kupumzika nakumbuka ilikuwa ni kipindi kile kingunge amefariki.
Nilikuwa najiepusha sana kukaa karibu na vitu km kisu au mapanga coz nilikuwa najua akili yangu haipo sawa na roho ya mauti ilivyokuwa inaniandama.

Ni vitu vingi vingi vilitokea ndani ya hiyo wiki moja ya huzuni na ganzi mwilini, kilichoniponya niliamua kutafuta faraja kwa kusoma Bible na niliikazia sana zaburi ya 26, niliisoma zaidi ya mara 10 kwa kuirudia rudia nikaanza kuona ile hali inaaondoka saa ile ile na niliweza kurudi kwa hali yangu ya kawaida.

Nakumbuka nilikuja kumuuliza Mshana Jr kuhusu kufanya meditation usiku mkali, akasema sio vizuri kuifanya mida hiyo coz usiku kuna maroho mengi machafu yanaranda randa hovyo.

MEDITATION SIO YA KUICHUKULIA KIRAHISI RAHISI KAMA TUNAVYODHANI
Abigail Nabal
kilwakivinje
 
Ni story ndefu kidogo lakini kwa kifupi tu ni kuwa nilikuwa nimejilaza kitandani mida ya 7 hivi usiku sina hata usingizi, ndio wazo la kifanya meditation likanijia.

Basi nikaanza ile process ya kuituliza akili, baada ya km dakika kumi hivi nikaanza kuhisi km nimepata huzuni kubwa ya ghafla( ile huzuni unayoipata baada yakupata taarifa kuwa ndugu yako wa karibu amefariki) na kitu km ganzi inapanda kutokea miguuni hadi kichwani na inavyopanda naisikia kabisa inavyopanda.
Nikaanza kupaona pale kitandani apalaliki tena, nikaona km nikishuka kitandani ndio nitapata unafuu, nikashuka kitandani nikawa nazunguka zunguka pale chumbani ila bado haikusaidia, nikahisi km nikitoka nje ndio nitakaa vizuri, nikatoka njee puuu puu km kichaaa lkn wapi amna unafuu ile ganzi bado naisikia na ile huzuni ya moyoni bado ipo nikaanza eti kukemea kwa jina la Yesu kwa jina la Yesu shindwa 😂😂😂 lkn bado; nikahisi labda nikitoka nje ya geti yaani nitoke barabarani kabisa labda ndio nitapoa, nikaanza safari ya kwenda getini lkn nikiwa naelekea getini likanijia wazo kuwa nikanywe maji ya baraka(catholic wanayajua), nikarudi ndani nikaenda kuyanywa, baada ya kuyanywa tu lile wenge la kukimbia kimbia likatulia ikabakia ile huzuni kubwa moyoni na ganzi mwilini ila sasa hivi ilipungua kidogo.

Usiku ule nilifanya au kuhisi vitu vizuri vizuri ili ile huzuni initoke lkn wapi, nikarudi kitandani kulala, kila nikijaribu kufunga jicho nilale naisikia ile ganzi inapanda kutoka miguuni hadi kichwa na km kuna nguvu fulani hivi zinanitoka mwilini, nikasema kwa hali hii nikilala tu nitafia usingizini nikawa najitahidi nisilale. Nikaja kupitiwa na usingizi saa 9 usiku na hata sikulala sana km nusu saa tu nikastuka yaani mwili wote umelowa jasho yaani hadi mashuka hayafai, nikaja kupata usingizi saa 12 kasoro asubuhi.

Ile hali ya huzuni na ganzi mwilini iliendelea kunitesa, yaani amna kitu chochote kilichokuwa kinanipa furaha hata nifanye nini yaani nikawa nahisi kufa kufa tu, nikisikia mtu kafariki nasema afadhali yake kafa kaenda kupumzika nakumbuka ilikuwa ni kipindi kile kingunge amefariki.
Nilikuwa najiepusha sana kukaa karibu na vitu km kisu au mapanga coz nilikuwa najua akili yangu haipo sawa na roho ya mauti ilivyokuwa inaniandama.

Ni vitu vingi vingi vilitokea ndani ya hiyo wiki moja ya huzuni na ganzi mwilini, kilichoniponya niliamua kutafuta faraja kwa kusoma Bible na niliikazia sana zaburi ya 26, niliisoma zaidi ya mara 10 kwa kuirudia rudia nikaanza kuona ile hali inaaondoka saa ile ile na niliweza kurudi kwa hali yangu ya kawaida.
Nakumbuka nilikuja kumuuliza Mshana Jr kuhusu kufanya meditation usiku mkali, akasema sio vizuri kuifanya mida hiyo coz usiku kuna maroho mengi machafu yanaranda randa hovyo.

MEDITATION SIO YA KUICHUKULIA KIRAHISI RAHISI KAMA TUNAVYODHANI
Ungekunywa chai ya karafuu ungepona haraka sana!
 
Back
Top Bottom