Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Bwana wee!! usituchoshe saabu hulekweki kubali tu huna nafsi!! una dalili zooote!! mara nyingi msiokuwa na nafsi hamuelewi kirahisi!
 
Usitubabaishe na Biology yako hiyo ya level zaa chini kabisa!! kwani cell activities zina kuwa -carried out kivipi?? bila Damu hakuna kitu zitakufa faster?? ni oncotic pressure, na osmotic pressure, vina exert kwenye damu!!.

damu ndo inachukua/beba, proteins, vitamins,fat all nutritious foods to de human cells. hence unapata tissue, tissue unapta organ, jumla ya organs zote ndo unakuwa wewe!! nao zote hizo ili ziishi zinahitaji mlo ulioko kwa damu!!

Mechanisms ya kubeba vyakula (siyo chakula), kwenye mirija ya damu, hakuna aliye wahi kulijua hili wataalamu wanabaki kusema tu ni nature! baaasi!! tena na hicho chakula kimechujwa vyema kutoka kwenye tonge ulilomeza!

Biladamu au mnyama yeyote hata mimea hizo cells zitakufa faster km zikikosa chakula km sukari maji nk! kwa nini?? ukisema RBC, ina carry nutritious materials, na WBC kazi yake ni phagocytosis, pamoja na Macrophages

sasa jiulize kwa nini wawe km askari mwilini?? nini kina waongoza? kinawatuma kufanya kazi km watu?-----Purkinje fibres. SA (sinu atrial nodes) nani anavituma kufanya kazi vile?? vikisimama tu huna uhai!

kwa nini ifanye kazi vile km mtu anaituma?? mpka kesho hutakuwa na majibu! hata ukifa si utabaki na damu lako hilo! jiulize uhai unakwenda wapi?? sayansi yako hiyo ni nusu sana rudi drsani na hutapata jibu....

bado wanasayansi wako hao uchwara wanafika sehemu wanakwama!! wanabaki na jibi rahisi tu ni nature..... hata hao human croning wa siku hizi hawana roho pia !!

na Kweli ukiwa na infection kama ukimwi au gonjwa lolote sugu, au la mara moja km mzio!! utakuta kuna aina moja au mbili kulingana na ugonjwa wenyewe!! WBC =T& D ndo inatoa majibu haya!
 
Nakazia hapohapo Hizo oncotic pressure na osmotic pressure, prkinje fibres, SInu atria Nodes ndo roho mwenyewe huyo!! kwa sababu, why pressure?? who is pressure???!
 
Unamwaga biology la kufa mtu!😂😅 hatari sana ulilipata kwenye ile BS au wapi? Look like you go with thread author. You even accuse uyo kuwa hana nafsi! The reason i followed you closely is because maybe you know something. Pote alipo describe xstics za waso na nafsi sifiti hapo ila aliposema wenye M kiganjani hawana nafsi ni kama amejicontradict cause ninayo ila sifit xstics za wasio na nafsi alizoweka hapa author. Hadi meditation sitaki kabisa kuisikia and iam sure is a nut job... so who am I? Year of birth 199*

Two you are beautiful! I crush you!🤩
 
Noma
 
Noma
 
A kirefu chake na J kirefu chake nini?

mimi nishajijua nina nafsi
Hata mimi ninayo nafsi na ninafit kabisa kwenye hizo descriptions za wenye nafsi alizoweka hapa... but then nina "M" kiganjani hapo sasa!!!

Meditation naisikiaga na kuisoma sana ila there is no reason enough to make me even try this nut job(meditation)... kitabu cha The Secret by Rhonda Byrne ninacho na nimekisoma ila i find it to be not my tasteits all cofee and magic
 
Naomba tuwasiliane mkuu nijiw namna gani na mm maweza jinasua..
 
Wachawi hawana nafsi ! Kumbe ndo maana wachawi hawana utu . Huwa nayachukia machawi . Ningekuwa na uwezo ningewateketeza na kuwaangamiza wachawi wote .
Usijaribu jaribu tu yale mambo ni ya kichawi unaweza ukafa ukiwa hai kwa kujigeuza msukule! Wachawi hawana nafsi ndio maana kwao ni simple
 
Kama una M kwenye kiganja chako usiogope , tafuta tu kujua destiny yako uliyopangiwa na Mungu toka wakati unazaliwa ni ipi , uifuate na utafanikiwa kweli kweli .
 
Toa mfano ndg.
"The Soul ( Roho ) enters the body of a child at around 13th week when in the womb of a biological mother". Mungu ana m-control binadamu kwa njia ya kufanya kila kitu ndani ya roho yake huyo binadamu. Binadamu anachotakiwa ni kumtii Mungu tu ila matendo yote na kila kitu huwa anafanya Mungu . Mfano halisi ni kutambua kuwa umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu na Mungu ndiye huwa anafanya kila kitu kupitia ndani ya roho yako .


Lakini pia ukijua "north node" yako ni ipi utapata mwanga wa kujua destiny yako au mission ya roho yako ni ipi . Haya mambo kuhusu namna ya kujua "north node" yako ni ipi , utaalamu huu wanao Astrologers. Ulaya astrology inasomwa kabisa kwenye vyuo vikuu tofauti na huku kwetu Afrika .
 
Kwa wale wakristo ,Tusomeni biblia tuielewwe na tumuelewe Mungu wa kwenye biblia. usipoilewa biblia mada kama hizi zitakutoa kwenye reli, na dini utaiacha
 
Mambo ambayo yalikusudiwa tujue yamefunuliwa kwenye biblia, yaani -chanzo cha dhambi,madhara yake na jinsi ya kutoka kwenye dhambi yaani ukombozi. kwa kifupi hatupo gizani

Kum 29:29​

Mambo ya siri ni ya BWANA, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele, ili tuyafanye maneno yote ya sheria hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…