Ah wapi...tusanganyane ulishawahi panda range rover weye...acha kabisaKilio ni kilio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah wapi...tusanganyane ulishawahi panda range rover weye...acha kabisaKilio ni kilio
Sitaki kusema kuna ukweli ndani yake ila kuna kama wanne hivi ambao wanajua sana kupika kwenye masuala walikuwa ni 🔥🔥🔥🔥Labda hataki kupika hakunaga mwanamke mbaya kitandani akajua kupika trust me hii ni statistics ya miaka nenda rudi
We mbwembwe unazo hapa tuNgoja nifike kujishughulisha sasa kabla hakujakucha vizuri
Na wewe hauaminiwiHivi mnavyotekana huko hata hamuaminiani.
UweeeKwangu mie yule wala hana mvuto akivua nguo kibamia hakidindi
Ndio nalotumia mwaka wa 10 sasaAh wapi...tusanganyane ulishawahi panda range rover weye...acha kabisa
Karibu sana mtejaSitaki kusema kuna ukweli ndani yake ila kuna kama wanne hivi ambao wanajua sana kupika kwenye masuala walikuwa ni 🔥🔥🔥🔥
Itabidi niifanyie kazi hii tena, iuthibitisha zaidi
We kama unakula lonya polethis post is SCAM.
Hakuna code hapo mwanaume anataka kuheshimiwa yaani muonyeshe mwanaume wewe ni mali yake peke yake tu basi hata kama hujui mapenzi sijui kupika atakuvumilia na kukupenda sana.Nyieee
Maswali yenu mnaniletea whatsapp sijapenda kabisa
Ila kuna ukweli huu wa asilimia 200 kwa wanawake
Ukitaka kujua kuwa mwanamke yuko vizuri kitandani, kumjaribu sio lazima umfunue na kumpapasa, mwambie akupikie chakula unachopenda cha kwenu au nchi yako, akipika chakula kizuri na kitamu bro, huyo kitandani ni kamanda
Kama mwanamke hajui kupika, kitandani hayuko vizuri pia vitu vingi hajui,
trust me hii ndio bro code mnatakiwa mtembee nayo wanaume
hamna haja tena ya kushika shika, acha akupikie
Wameheshimu kibao na bado wabovu kitandani we wa wapHakuna code hapo mwanaume anataka kuheshimiwa yaani muonyeshe mwanaume wewe ni mali yake peke yake tu basi hata kama hujui mapenzi sijui kupika atakuvumilia na kukupenda sana.
Maney penny unaweza kuwa mzuri kitandani ila radha ikakosekana.Wameheshimu kibao na bado wabovu kitandani we wa wap
Unataka niwe vipi tena ? Et binti?🤣We mbwembwe unazo hapa tu
Whatsapp mpole kama paka aliemwagiwa maji
Niamini tuNa wewe hauaminiwi
Mmmh sio kweliManey penny unaweza kuwa mzuri kitandani ila radha ikakosekana.
Ni very rare kumpata mtu unayeendana naye hadi msisimko kwenye tendo.
Hauna amsha amshaUnataka niwe vipi tena ? Et binti?🤣
Nunua hadithi kama wanaume wenzioNiamini tu
Mbona huwa nanunua,au unataka niweke wazi njia ninayotumia kununua?Nunua hadithi kama wanaume wenzio
Kwahiyo nilipie direct ndio uamini?Hauna amsha amsha
Hulipii hadithi
Embu weka tuoneMbona huwa nanunua,au unataka niweke wazi njia ninayotumia kununua?
🤣