Msomeshe mwanao mpka akishajuwa kusoma na kuandika inatosha sana, kama una vijibiashara bas akifika form4 sio mbaya na akimaliza mpeleke short course za biashara ama chuo chochote cha ufundi ama chuo cha kumkazia na language muhimu za kimataifa maana siku hizi lugha ni muhim ktk biashara hivyo ndivyo vya muhimu.
mwaka mmoja unamtosha sana kuelewa mambo ya msingi, baada ya hapo anza kukaa nae ktk biashara yako ukimfunza A- Z kuanzia faida&Hasara na tricks za kuwin ktk biashra hiyo, hakikisha unammpa jukumu kubwa na ajitambue kuwa siku yoyote hayo majukumu yatabaki kuwa yake bila kukutegemea, mfanye mwanao aweze kuishi bila uwepo wako.
Mfanye mwanao aone mambo ya starehe+bata ktk maisha ni kitu cha kawaida, namaanisha mfunze matumiz sahihi ya pesa, atakapolelewa kuwa pesa ya mtaji&saving huwa haiguswi wala haichezewi no matter what, atumie faida atakavyo lkn si kuchezea source ya shughuri yenu inayowapa kipato,
Kwa namna hiyo mwanao hata akiwa wa hovyo kiasi gan, hata awe na matumiz mabovu ya pesa na tamaa za hovyo, ataogopa kuharibu shughuri yenu, pia hata mambo ya anasa atayafanya lkn kwa displine, na hiki ndicho wenzenu huko dunian hufanya, unaweza muona mtoto wa mtu anaspend more than 2mil per day ktk ulevi na kuhonga ukamuona muharibifu wa pesa, kumbe mwenzako hesabu zake zinamruhusu kukitumia kile kipande cha faida aipatayo ktk shughuri yake, i mean mfanye mwanao aone pesa na matumiz ya pesa ni jambo la kawaida sana, sio pesa zimuogopeshe.
Kwa hakika kama nchi tulishachelewa sana kujuwa dunia inakwenda vip, kizaz cha sasa sio cha kuhangaika tena na elimu ya kuchapana viboko, kukalilishana past papers, na kufanyishana ma assignments ya kipumbavu,
hili la kukalili na kusoma kwa bidii tuwaachie baadhi ya fani ambazo ni muhimu kwa jamii mfano, udactari napo wasomeshwe wananchi wachache wakwenda kujazia jazia nafasi wazi zinazohitajika kila mwakaπ.
Mim mtoto wangu atakuwa mwanafunz wa kwanza kula bata akiwa mwanafunzi, i mean sitotaka akimbizane na hizo syllabus zinazowachosha wanafunzi kwa mizigo ya masomo, hata akichelewa kujuwa kusoma, isn't a case kwangu, hata akifeli sana mi sijari, chamuhimu amalize la7 na uwezo wa kusoma&kuandika, pia kuzungumza lugha ngeni, hiki ndicho cha muhimu maana kitamsaidia ktk sensitive&productive issues.