Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala siyo kuwa mfumo WA Elimu ni mbaya kiivyo Ila kiuhalisia sekta nyingi za kiuchumi zilipigwa kabali hasa sekta binafsi taasisi nyingi binafsi hazikuajiri Kama inavyotakiwa na nyingine Hadi kufikia kupunguza wafanyakazi serikalini Napo walipunguza wafanyakazi Kwa kisingizio cha vyeti feki na kibaya zaidi hata hawakuajiri kufidia magepu yaliyoachwa Sera za kiuchumi ndyo zilitufikisha apa wala tusilaumu mfumo waelimuIkiwa mfumo wa elimu unamuandaa mtoto aajiriwe ndio utamfanya mwanafunzi afikirie kujiajiri, basi tunatwanga maji kwenye kinu.
Nimecheka mbavu cna hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka Mtu unajiuliza hakuna wanaostaafu? Wanaokufa?
Gap yao inafidiwa na nani?
Miaka inavyozidi kwenda vijana wanaanza kujitahidi kubadili elimu kuwa pesa. Ni kubadirisha tu mtazamo wa maisha, ni faraja kuona kijana anafungua genge au mgahawa au anauza matunda kwa namna ya kisomi kitaalam zaidi. Kwa wakat tuliopo sitegemei kuona kijana anafungua biashara kilimo au ufugaji then anaendesha mradi huo kama zaman wazee wetu walivyofanya...Kazi ipo kubadili elimu kuwa pesa..😁
Mkuu hizo zama zilishapita sikuhiz watumish wa umma wanatimiza majukum yao na ukizingatia changamoto ya ajira ni kubwa mtu anafanya bidii kazin ili asipigwe chini...Kuenda kazini kwa kujisikia...
Kuripoti kituo cha kaz na kurudi baada ya miezi 3....
Kazi bila interview.....
Ttz la ajira lipo ila kama mawazo ndio kama hayo apo juu bas taifa lina safar ndef na ndio maana magufuli alichukiwa sana
Watu ni kama hawataki kufanya kazi wanataka kupokea mishahara tu 😳😳😳
Nimekuelewa sanaaa hapoNchi hii haina tatizo la Ajira.
Dunia haijawahi kuwa na Tatizo la Ajira.
Isipokuwa wapo watu wanaotengeneza tatizo lionekane lipo Kwa maslahi Yao ili wapate Watumwa.
Ni Sawa na Wachungaji wa michongo wanaolazimisha kuwaambia watu wamelogwa ilhali hawajalogwa isipokuwa wao ndio wanawaloga Kwa maneno Yao ili wajipatie Pesa
Exactly.Kuenda kazini kwa kujisikia...
Kuripoti kituo cha kaz na kurudi baada ya miezi 3....
Kazi bila interview.....
Ttz la ajira lipo ila kama mawazo ndio kama hayo apo juu bas taifa lina safar ndef na ndio maana magufuli alichukiwa sana
Watu ni kama hawataki kufanya kazi wanataka kupokea mishahara tu 😳😳😳
Nashukuru mkuu...Mr Director popote ulipo ndugu big up kwako , nimekusoma nimekuelewa sana , bado kuna haja jamii ya kitanzania kufunzwa kuwa elimu si kupata pesa ila kuwa na maarifa ya kupata hiyo kheri , shida ni kuwa bado wazazi na walezi hiyo hali hawajaikubali na kuilewa hivyo kutwa kucha kuwasumbua vijana vipi utaajiliwa lini ?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app