Hana issue huyo msaliti vipi hajaenda kwa mabwana zake Ubelgiji?Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341
Anahutubia Taifa au anahutubia Wana Chadema wenzake?
Calm down brother..hebu jiponye basi tusonge mbelekizuri kinajiuza kibaya chajitembeza, sasa mambo ya utake usitake ya nini?
Ahahahahaha! Jidanganye.Wafuatao watasikiliza hotuba ya Lissu.
1. Wanachama wa Chadema.
2.Wanachama wa vyama tofauti na Chadema.
3. Watanzania wasio na vyama.
Kwa msingi huo Lissu atahutubia TAIFA.
Ahahahahaha! Jidanganye.
Kwa zaidi ya 90% ya habari za Chadema ninazozileta hapa nazitoa kwenye Chama au vyanzo vya Chama vya kuaminika kabisa, sasa wao wakikosea basi hilo ni lao wenyeweKuepuka lawama uwe una quote usiandike kama wewe ndie mwanzisha hiyo taarifa
Utabeba zigo la gunia la misumari la lawama lisilokuhusu
Ndo inavyodaiwa. Lissu amesema ameamua kufanya mkutano. Chama cha kisiasa bila mikutano ni chama mfu. Nasikia CCM wamevunja katiba yao kuhusu uchaguzi. Nataka nimuombe Madeleka aende Mahakamani. Msajili wa Vyama vya siasa yupo kimya.Huenda akiamka tu siku hiyo kwenda ofisini atakuta FFU wamezingira ofisi za Chama!
Tumwombe Mungu.
Why Wanawake tuna visirani sana?Hata mimi linanishangaza kweli. Angelikuwa Mbowe, angeliisharuka na chopa kwenye mikoa zaidi ya mitano na kuleta hamshahamsha. Lakini Lissu chopa hawezi kukodi na michango ya kununua gari haieleweki. Eti Mwenyekiti! My foot!
WAkipata agenda mapema kama ile ya fom1 kumteua sa100 kuwa mgombea pekee siku ile dodomaMedia house wanao mfano wako waliosomea uandishi wa habari ns sheria mfano Pascal Mayala nk wanakuwa na fani mbili uandishi na fani ingine mfano degree za uchumi na uandishi wa habari,degree za fedha na uandishi nk hivyo agenda ikihusu sheria au katiba mhariri akipata agenda itakayoongelewa mapema hujua atume mbobezi eneo hilo
Kwani hujui?Why Wanawake tuna visirani sana?
Why!Kwani hujui?
Old wine.... Kapoteza mvuto tangu uchaguzi wa chama uisheMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341
Endelea kuota ndoto, Bunge linavunjwa miezi michache kutoka sasaAgenda ya Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wowote naiunga mkono.
Nimeipambania sana humu.
Kuongea na waandishi wa habari ndo kulihutubia taifa?Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341
Hata John Heche anasomeka vizuri. Anaongelea mambo na maisha halisi ya Mtanzania.Tunaingoja kwa hamu hiyo hotuba maana kwa sasa ndiye kiongozi pekee mwenye kutoa hotuba akaeleweka na ukatamani aendelee kuongea! Rais wetu ajaye asiye na mawaa wala kunyazi! Mzalendo wa kweli!
Ili uanze kujiliza na kuanzisha nyuzi mfwelele/mfululizo kuhusu Lissu.kizuri kinajiuza kibaya chajitembeza, sasa mambo ya utake usitake ya nini?
Kwa kuogopa ataongea nini?Yatakuwa ni majinga kwenye sare za walipa kodi.Huenda akiamka tu siku hiyo kwenda ofisini atakuta FFU wamezingira ofisi za Chama!
Tumwombe Mungu.
Hana issue tena huyo!Ili uanze kujiliza na kuanzisha nyuzi mfwelele/mfululizo kuhusu Lissu.