Utakuwa wapi? Unakaribishwa tuserebuke!

Gotcha you! ila tatizo la misez babu hachelewili kuomba na kesho aje!

Zoezi na kuungamisha linafanyika mara moja na linakuwa la kueleweka....

Usitie shaka... ataungama dhambi zake zote leo...
 
wapwazzz na binamuzzz....mipangoz yotez ya njez na ndaniz....mizimaz na mibovuz...mnasemaje? kuna mbuzi mee na mbege ya kopo?
 
Huyu atakuwa naye kalewa mbege




Hii Timu yote itakuwa Moshi-Kasoro mathematician wetu RIP



Ishaoshwa tayari

 
MMSC ndioo baba, MMSC ndioo mama X2 King na Mwenyekiti tuongozee.
 
Nami ntakua waiter ili kuhakikisha kila member anapata mbege ya kopo na huduma zingine za hapa na pale
MERRY X MASS n HAPPY NEW YEAR!!
 
Ikiwa buchani



Inaandaliwa



Mezani kwa kuliwa



Je ni mdudu gani huyu kwa ajili xsmas?



Nguli nakutunukia NISHANI ya LISHE BORA.

Kwaheri mkoloni, sina jinsi nalazimika kwenda kwa ASENGA anipimie japo Nusu kilo.
 
hivi sheria ameishaingia mjini????

Sharia?sheria? kama ni SHARIA tena hao ndio walaji wa mdudu ile mbaya

Nguli nakutunukia NISHANI ya LISHE BORA.

Kwaheri mkoloni, sina jinsi nalazimika kwenda kwa ASENGA anipimie japo Nusu kilo.

Mkuu nashukuru kwa nishani umemwona mzee anapiga na ngera uliochanganywa na msesewe? Landrover iko service pale victoria tayari kwa safari ya usiku kuelekea mkoa wa AHADI-KAANANI
 
Hahahaha.... mkuu hiyo landrova itamtosha mama WiseLoad sore Ai miin Wiselady? Ameniahidi atajumuika nasi kwenye kuria kidoko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…