Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha!Saa kumi muzeya naanza kuuza bana. Vipi una genu la mchangani? Mkongomani kaisha?
we nguli wewe hakyanani mwe
the server at www.utakuwa wapi? Unakaribishwa tuserebuke!.com is taking too long to respond.
* the site could be temporarily unavailable (may be oshenik hajaenda vingunguti kumchek mbuzi mzuri wa kike )or too busy. Try again in a few moments.
* if you are unable to load any pages, may be haujachangia hela yoyote kwa ajili ya lojistix za jumamosi husika,please contact teamo for some michangooz.
* if you are not a member of i.s.c (currently mmsc),you should register/sign up for being a member with immediate effect.
mwanangu mbona umemjulisha baba yako wa kambo kabla ya mama yako mzazi?hujui mkataba na huyo baba wa kambo unaweza kukoma siku yeyote na nikakutambulisha mwingine!infwakti kama nitakuwa nimepona haka kaugonjwa kana konisumbua naweza kutokea
AISEE BADO?mwanangu mbona umemjulisha baba yako wa kambo kabla ya mama yako mzazi?hujui mkataba na huyo baba wa kambo unaweza kukoma siku yeyote na nikakutambulisha mwingine!infwakti kama nitakuwa nimepona haka kaugonjwa kana konisumbua naweza kutokea
Kanisani muhimu, kuiombea safari yetu ile. Manake bila maombi kuna baadhi ya wana JF hawachelewi kutafunwa na mafisi majike yenye mimba....Yanatafuna vibaya, usithubutu kukutwa!
Inakuwaje mwanafunzi wangu wa kitambi....usile hayo mavitu kwa sana kula mara moja tu hadi next year tuachie sisi vimbao mbao. @ Asprinnakufahamu pale ukonono ukonamanze