mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Tutawapelekea nyama ya buchani(kuna bajeti yao tayari).Watakula nini?..... wanaenda kufaa njaa hao
dodge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutawapelekea nyama ya buchani(kuna bajeti yao tayari).Watakula nini?..... wanaenda kufaa njaa hao
Kuna wanyama wadogo wadogo na wakubwa Wala majani japo siyo wengi sana,na mzigo ambao Simba 17 wanapiga kwa siku,nadhani Ni miezi mitatu tu wanyama watapungua.Watakula nini?..... wanaenda kufaa njaa hao
Watanzania bwana soma hapo ili ujue simba wapo huko long time ago mnabishana tu Bure Biharamulo Game Reserve
Duh! Hii nimeipenda sana, maana wamasai pia ni sehemu ya vivutio kwa mabeberu kutokana na mila na mavazi yao.Na bado..tutahamisha mpaka wamasai
The right perspectiveNilichogundua watu wengi hamuielewi jiographia ya Burigi vizuri. Burigi sio kile kipande katikati ya Biharamulo na Muleba na Chato. Burigi imeizunguka Wilaya ya Biharamulo inaambaa mpaka kule karibu na Rusumo na inaingia hadi Kimisi.
Hoja ya misitu minene na kwamba hakuna plains ni dhaifu na inaongelewa na watu wasioijua hifadhi bali wapita njia ya Biharamulo - Muleba. Kimisi game reserve haina misitu ni savannah na ni sehemu ya Burigi National park. Ziwa Burigi lenyewe linaonekana kwa urahisi ukipita njia ya Kimisi Benaco - Karagwe. Chato yenyewe haina msitu wowote wa kutisha. Msitu pekee na ambao watu humu wanajua ndio Burigi ni poli la Kasindaga.
Kwa wasiojua mpaka wa Akagera National Park (Rwanda) na Burigi Chato ni mto Kagera. Kama Simba wanaweza kuishi Akagera tunachotakiwa ni study aina ya Simba waliopo kule ndio hao hao waletwe upande wa Burigi.
Hata zamani kabla ya wafugaji kuvamia hifadhi, Burigi ilikuwa na wanyama wengi wakiwamo Simba (Simba hawa walikuwa wembamba warefu), Swala, Twiga etc. Kikichowaondoa na ufugaji na uwindaji haramu.
Ulishaenda ngorongoro highland forest? Kwa taarifa yako kule simba wako wengi ni ni closed forest kuliko hiyo unayoongelea ya burigi chato au selous kule ilonga karibu na mbaranganduGeographical area coverage ya B'mulo Game reserve ni 1300 square kilometer, baadhi ya sehemu ya Game reserve ni thick forest na nyingine ni Savannah, actually uwanda wa savannah ndio ina-cover mpaka Burigi, Kimisi,Karagwe na Kitengule; Simba hawana jadi ya kuishi/kaa kwenye misitu minene - ndicho nilikuwa namaanisha.
Kuna mto unaotenganisha Rwanda na Tanzania maiji yake yana kasi kubwa hawawezi kuvuka mkuu.Trust me baada ya miezi sita nusu yake watahamia Rwanda
Jr[emoji769]
Kuna mto unaotenganisha Rwanda na Tanzania maiji yake yana kasi kubwa hawawezi kuvuka mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu unataki ligi ya ushandani sawa umeshinda. Lakini elewa kasi ya mtirieiko wa maji ya mto Mara kamwe huwezi ilinganisha na kasi ya mto Lubuvu. Pale hakuna mnyama ataweza kukatiza na akijaribu lazima asombwe na maji. Hato mto Mara unaousemea kuna baadhi ya kipindi nyumbu hawavuki. Hasa wakati huu wa masika hakuna nyumbu anakatiza.Wanyama hawashindwi kuvuka mto hata uwe na kasi gani, tume shuhudia mara ngapi Nyumbu wakivuka mto Mara kwenda Masai Mara Kenya.
Inaitwa animal orphanageNjia pekee ya kuweza kumhamisha mnyama kutoka katika natural habitat yake ni labda umfunge kwenye cage (zoo) na fences ambazo zitamzuia kurudia katika makazi yake ya zamani ambako ndio ali thrive.
Blind political move.
Japo njia ni moja tu.Hujafika bado wewe,,, kijijijini kuna traffic light?!
Serikali zilizopita hazikujishughulisha na hifadhi za Burigi, Gombe nk. Kama ilivyofanya kwa Ngorongoro, Mikumi nk. We need to diversify tourism products.Nadhani wanasiasa wanafikiri wataweza kuifanya Burigi Chato sawa na Serengeti au Tarangire.
Ukweli mchungu kuuza safari kanda ya kaskazini ni rahisi zaidi kwasababu mbuga zote maarufu zipo karibu na nirahisi kumshawishi mteja kwenda huko.
Ukishuka Kilimanjaro Airport unakutana na Kilimanjaro National Park 20 kilometer,ARUSHA National Park 30 kilometers,Tarangire 70 kilometers,Manyara 70 kilometer,Ngorongoro & Serengeti 130 kilometers Hii ni parkage moja katika eneo moja.
Rubondo,Kitulo,Mahale & Gombe zipo muda mrefu lakini hazimo miongoni mwa hifadhi zinazoingiza mapato.Zipo kwasababu ya ruzuku from others Park kama Kilimanjaro,Serengeti & Ngorongoro.
😭😭Chato haiwezi kuwa na mvuto hata kwa cosmetics!!
😂😂Sipati picha baada ya miaka 10 itakuwaje !
Joka Liko Ndani.