Nimeitisha video ya Najib Balala, sio tweet isiyohusikana na mada.Hahahaha, still on denial?
Bado tuko mbele yenu kiuchumi.Vp we boya, mbona mnakubali kuchezewa akili na covid 19 millionaires, wajinga sana nyinyi joh
Wooi, tatizo ujinga wenyu umezidi uchumi wenyu.Bado tuko mbele yenu kiuchumi.
Ndo huo uchumi tunao doubt humu, hv inakuwaje uchumi wako mkubwa af unababaishwa na mtu uliyemzd? Maana ya uchumi kuwa mkubwa dhidi ya fulani iko wapi ss, yn nyie mna uchumi mkubwa kuliko Tz lkn hatima ya uchumi wenu kaishikiria Tz huoni kwamba Tz ndio inapaswa kujisifu kuwa na uchumi mkubwa zaidi yenu? Au tafsiri ya uchumi ipoje kichwani mwako ww mbugila [emoji3][emoji3]Bado tuko mbele yenu kiuchumi.
Sawa wapimeni tu huku kwetu covid19 hakuna ilishakwisha.Kama kuna hela zimeliwa watashughulkiwa, ila kwa sasa lazima kila anayetokea Tanzania tumpime.
Hakuna mtu atapimwa, Kenya haina ubavu wa kuwalazimisha watanzania kufanya lolote, sasa hivi viongozi wa Kenya wanatafuta njia ya kuwaruhusu watanzania kuingia Kenya bila kuonekana kwamba wamesalimu amri.Sawa wapimeni tu huku kwetu covid19 hakuna ilishakwisha.
wameinama na kupanua kabisa jamaa analipaka wese tayari ku-shoot!MK254 na Wakenya wenzio angalia jinsi mnavyotusujudia, apo wahuni wanasema mshainama bado kupigwa mashine tu[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wameinama na kupanua kabisa jamaa analipaka wese tayari ku-shoot!
Nini faida na kazi ya uchumi mkubwaNdo huo uchumi tunao doubt humu, hv inakuwaje uchumi wako mkubwa af unababaishwa na mtu uliyemzd? Maana ya uchumi kuwa mkubwa dhidi ya fulani iko wapi ss, yn nyie mna uchumi mkubwa kuliko Tz lkn hatima ya uchumi wenu kaishikiria Tz huoni kwamba Tz ndio inapaswa kujisifu kuwa na uchumi mkubwa zaidi yenu? Au tafsiri ya uchumi ipoje kichwani mwako ww mbugila [emoji3][emoji3]
Nini faida na kazi ya uchumi mkubwa sasa kama hata kumpigisha goti mtu uchumi wao hauwezi bc unatumika kwenye nini au kuombea mkopo tu?Ndo huo uchumi tunao doubt humu, hv inakuwaje uchumi wako mkubwa af unababaishwa na mtu uliyemzd? Maana ya uchumi kuwa mkubwa dhidi ya fulani iko wapi ss, yn nyie mna uchumi mkubwa kuliko Tz lkn hatima ya uchumi wenu kaishikiria Tz huoni kwamba Tz ndio inapaswa kujisifu kuwa na uchumi mkubwa zaidi yenu? Au tafsiri ya uchumi ipoje kichwani mwako ww mbugila [emoji3][emoji3]
magu acha awanyooshe hawa kunyansMagufuli katuonesha udhaifu wa kenya ulipo, katuonesha pia jinc nchi yetu ilivyo na nguvu kubwa ya ushawishi, Magu kawaonesha WaTz kwmb wanaishi katika miongoni mwa nchi chache zilizobarikiwa hapa duniani, hii itawatesa Wakenya vizazi na vizazi mana Magu keshawavua nguo now wanaonekana si kitu mbele ya Tz, anachotaka Magu kwa ss ni kuidhalilisha Kenya mpk serikali yao itubu adhalani kwamba wamekosa na wanahitaji msamaha na huruma yetu.
Kenya inafundishwa na Magu jinsi gani inatakiwa kujitegemea na sio kutegemea mabeberu cz mabeberu hawana time na mtu bali wao wanajijali wao tu so Kenyatta na kenya yake hawatokuwa na namna zaidi ya kuja kumuomba msamaha Magu yaishe, ila kwa jinc ninavyomjua rais wng yn umchezee mara mbili mbili zen awe anakusamehe tu never, hii ngoma inaweza kwenda mpk 2025 na hata ikitokea kawasamehe but kuna vikwazo vng atawawekea cz Magu anataka aisambaratishe kenya kiuchumi na aondoke akiiacha Tz ikiwa ndo the economically leading nation of E&C of Africa, so Wakenya mjifunge mkanda kweli kweli cz hzo pipi na biscuits mnazotambia kwmb industrial products mnazouza Tz hazitakuwa na soko tena cz jamaa maviwanda yake yakianza operation hamtoingiza hata kiberiti bongo.
Sawa wapimeni tu huku kwetu covid19 hakuna ilishakwisha.
Sasa hao wanaopimwa na kukutwa nacho kirusi cha korona mbona wanadunda fresh na wapo poa bila dalili yeyote na huku walikuwa wanajichanganya bila kuambukiza wowote? April-June kovid ilitutandika ila tulipiga nyungu,tulikula malimao,tangawizi,michai chai kwa wingi tukaitokomeza corona.Tatizo kila mkipimwa kwa nchi yoyote jirani mnakutwa nacho, ndio maana Uganda kaweka jeshi kabisa mpakani.
Yaani hapa tukija kuwaachia tutajuta sana balaa.
Sasa hao wanaopimwa na kukutwa nacho kirusi cha korona mbona wanadunda fresh na wapo poa bila dalili yeyote na huku walikuwa wanajichanganya bila kuambukiza wowote? April-June kovid ilitutandika ila tulipiga nyungu,tulikula malimao,tangawizi,michai chai kwa wingi tukaitokomeza corona.
Vipi #covidmillionaires wanasemaje huko ? Safari hii Jayden kawaweza anahamisha calenda tu kukazia curfew, huku anapiga hela. Hata hizo karantini zenu nasikia zinakwepeka ukiwa na kitu kidogo.Tatizo kila mkipimwa kwa nchi yoyote jirani mnakutwa nacho, ndio maana Uganda kaweka jeshi kabisa mpakani.
Yaani hapa tukija kuwaachia tutajuta sana balaa.
Hao Uganda tuliowasaidia kumwondoa idi amini huku museveni akiwa mkimbizi ndio unafikiri wana ubavu wa kutuwekea wanajeshiTatizo kila mkipimwa kwa nchi yoyote jirani mnakutwa nacho, ndio maana Uganda kaweka jeshi kabisa mpakani.
Yaani hapa tukija kuwaachia tutajuta sana balaa.