Utalii wa Kenya taabani kufuatia mzozo na Tanzania, Wawejezaji wamuomba Uhuru Kenyatta kumpigia magoti Magufuli

Utalii wa Kenya taabani kufuatia mzozo na Tanzania, Wawejezaji wamuomba Uhuru Kenyatta kumpigia magoti Magufuli

Kawaida . We are living rent free in your brains.
JamiiForums1978757720.jpg
 
Uhuru hawezi kumpigia simu Magufuli kutokana na maneno ya kashfa aliyoyasema siku ile akiwahutubia wakenya, na Magufuli hatorudi nyuma, sana sana tutegemee hatua kali zaidi toka Tanzania.
Nikumbushe mkuu alisemaje Uhuru? maana alipewa gift Chato
 
Kenya wako sahihi kufanya maamuzi ya kuilinda Nchi yao kiafya.
Sisi Watanzania tuendelee na mipango yetu itakayo tufaa.
Tunawombea Wakenya wafanikiwe vita yao dhidi ya Covid 19.
Watanzania kukatazwa kwenda Kenya au kulazimishwa kuweka karantini ni kwa manufaa yao na yetu pia.
Sisi ni Nchi huru tusipangiane cha kufanya.






Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Exactly na ndo maana tumezuia ndege zao ili kuwalinda na corona yetu! Nini kelele sasa?
 
Hii ndio nafasi ya kuua utalii wao kama ndio Mimi nakua serikalini bc hata wakitaka mazungumzo nawazungusha kilacku busy mpaka mwezi wa Kwanza mwakani ili iwe fundisho Kwa siasa zao za kujaribu jaribu chuki
Inabidi JPM awambie yuko busy na kamempeni, ikitokea wanaomba kuzungumza nae.
 
Za chini ya kapeti uhuru uwa anampigia kila mara bob magu,anaanza na story zingine zingine ila akianza kuingizia story zake za ndege magu anakata simu [emoji3],hawa mungiki mpaka wanyooke
Angetimba mazima bongo kuna kuoneana aibu siku moja wanayamaliza. Issue hapo kutoa aibu
 
Ila kuna viumbe hawamjui JPM vizuri😅😅😅
Tangu amekuwa Mbunge jimboni anakuwaga na Maamuzi ya aina moja. Kama masihala kumbe anamaanisha😀

Wakenya fanyeni yote lakini sio kumpima huyu jamaa Magufuli.

Usishangae mpaka anatoka Madarakani hatokuja kuruhusu hizo NDENGE zenu.

Tena cha ajabu yeye magufuli hutomsikia akizungumzia habari za ndege. nikutoaga maagizo tu.-

Kenya tumieni akili
 
Kenya wako sahihi kufanya maamuzi ya kuilinda Nchi yao kiafya.
Sisi Watanzania tuendelee na mipango yetu itakayo tufaa.
Tunawombea Wakenya wafanikiwe vita yao dhidi ya Covid 19.
Watanzania kukatazwa kwenda Kenya au kulazimishwa kuweka karantini ni kwa manufaa yao na yetu pia.
Sisi ni Nchi huru tusipangiane cha kufanya.






Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Kenya hawako sahihi inaonyesha ni kiasi gani viongozi wao hawajui wanalolifanya. Wao kama kweli wanaamini Tanzania kuna Corona na hawataki kuruhusu ndege na watanzania kwenda kwao kwa usawa, walipaswa kuiacha nje Tanzania katika orodha za nchi ambazo wao watapeleka ndege zao.

Viongozi wa Kenya wanajua sheria na taratibu zinazotumika katika kufunguliana anga za nchi, kwamba nchi zilikzokubaliana kufunguliana anga lazima kuwe na usawa, endapo kuna tatizo litakalosababisha usawa huo usiwepo, lazima nchi hizo mbili wakubaliane kwa pamoja, haiwezikani nchi moja ijiamulie yenyewe itakavyo, ikifanya hivyo inaipa kibali nchi hiyo nayo kujiamulia itakavyo, ndicho kilichotokea.
 
Kenya hawako sahihi inaonyesha ni kiasi gani viongozi wao hawajui wanalolifanya. Wao kama kweli wanaamini Tanzania kuna Corona na hawataki kuruhusu ndege na watanzania kwenda kwao kwa usawa, walipaswa kuiacha nje Tanzania katika orodha za nchi ambazo wao watapeleka ndege zao.

Viongozi wa Kenya wanajua sheria na taratibu zinazotumika katika kufunguliana anga za nchi, kwamba nchi zilikzokubaliana kufunguliana anga lazima kuwe na usawa, endapo kuna tatizo litakalosababisha usawa huo usiwepo, lazima nchi hizo mbili wakubaliane kwa pamoja, haiwezikani nchi moja ijiamulie yenyewe itakavyo, ikifanya hivyo inaipa kibali nchi hiyo nayo kujiamulia itakavyo, ndicho kilichotokea.
Halafu ni kama wamepunguza pima pima! [emoji23][emoji23][emoji23]

 
Kaka amini usiamini, hakuna lolote Kenya wamepanga katika hili, tatizo lao hawa jamaa ni uwezo mdogo wa kufikiria, jambo linalowafanya kuingia katika matatizo makubwa hata katika kuendesha nchi yao. Uwezo wao ni mdogo na hawataki kusikiliza ushauri wanajiona wao ndio kila kitu.
Unafiki kitu kimbaya sana
 
Kenya wako sahihi kufanya maamuzi ya kuilinda Nchi yao kiafya.
Sisi Watanzania tuendelee na mipango yetu itakayo tufaa.
Tunawombea Wakenya wafanikiwe vita yao dhidi ya Covid 19.
Watanzania kukatazwa kwenda Kenya au kulazimishwa kuweka karantini ni kwa manufaa yao na yetu pia.
Sisi ni Nchi huru tusipangiane cha kufanya.






Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Sasa kipindi kile tunatumia strategy yetu unakumbuka majina waliyokuwa wanampa Magu? Ndiyo maana tunawakumbusha tu waachage unafiki mkuu.
 
Magufuli katuonesha udhaifu wa kenya ulipo, katuonesha pia jinc nchi yetu ilivyo na nguvu kubwa ya ushawishi, Magu kawaonesha WaTz kwmb wanaishi katika miongoni mwa nchi chache zilizobarikiwa hapa duniani, hii itawatesa Wakenya vizazi na vizazi mana Magu keshawavua nguo now wanaonekana si kitu mbele ya Tz, anachotaka Magu kwa ss ni kuidhalilisha Kenya mpk serikali yao itubu adhalani kwamba wamekosa na wanahitaji msamaha na huruma yetu.

Kenya inafundishwa na Magu jinsi gani inatakiwa kujitegemea na sio kutegemea mabeberu cz mabeberu hawana time na mtu bali wao wanajijali wao tu so Kenyatta na kenya yake hawatokuwa na namna zaidi ya kuja kumuomba msamaha Magu yaishe, ila kwa jinc ninavyomjua rais wng yn umchezee mara mbili mbili zen awe anakusamehe tu never, hii ngoma inaweza kwenda mpk 2025 na hata ikitokea kawasamehe but kuna vikwazo vng atawawekea cz Magu anataka aisambaratishe kenya kiuchumi na aondoke akiiacha Tz ikiwa ndo the economically leading nation of E&C of Africa, so Wakenya mjifunge mkanda kweli kweli cz hzo pipi na biscuits mnazotambia kwmb industrial products mnazouza Tz hazitakuwa na soko tena cz jamaa maviwanda yake yakianza operation hamtoingiza hata kiberiti bongo.
 
Back
Top Bottom