Utalii wa ndani, Wakenya wafurika Pwani na kusababisha hoteli zote kujaa, hamna nafasi

Utalii wa ndani, Wakenya wafurika Pwani na kusababisha hoteli zote kujaa, hamna nafasi

Jamaa wamezubaa sana, wao huona vivutio vya utalii ni kw ajili ya watu wa mataifa mengine...

Wakenya ni watu ambao wanajituma sana katika ukanda huu, mtu akilenga mwisho wa mwaka huu anataka kuenda holiday sehemu flani jamaa hujipanga kutoka january..
Lkn pande zile jamaa wapo wapo tu, jamaa ywaishi hata bila mipango..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nna mpango wa kuja kenya naskia kuna slum mpya inaytwanga Shauri yako slum nije nijionee maajabu ya binadamu kuishi maisha ya funza [emoji23][emoji23]
 
Haiondoi ukweli kwamba sisi sio LDC, na kwamba tunatawala mataifa yote kiuchumi, kijeshi, kielimu, demokrasia na kwamba nyie wote hakuna anayekaribia wala kunusia level yetu. Yeah! Kainchi ketu zaid ya nusu ni jangwa tupu, hivyo kuna maeneo huwa kame kupitiliza na hayalimiki, lakini kwa yote hayo tutazidi kuwashinda nyie wenye nchi kubwa yenye madini na rotuba kila mahali.
Nikupe siri??? Jitume.....acha uzembe jitume....hehehehe
Ss mnashindwa nn kubadili jangwa kuwa green c nyie mna uwezo kiuchumi wtf
 
Kuchafua meza[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Arusha ukienda msimu km huu unajikuta nikm uko kenya walai...

Kw traffic kwanza, magari ni KC tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa wanapafunika Arusha...

Halafu kuna kipindi nilikaa Arusha siku kadhaa nikashangaa Wakenya wengi wamewekeza sana kwenye biashara za vilabu.
 
Haiondoi ukweli kwamba sisi sio LDC, na kwamba tunatawala mataifa yote kiuchumi, kijeshi, kielimu, demokrasia na kwamba nyie wote hakuna anayekaribia wala kunusia level yetu. Yeah! Kainchi ketu zaid ya nusu ni jangwa tupu, hivyo kuna maeneo huwa kame kupitiliza na hayalimiki, lakini kwa yote hayo tutazidi kuwashinda nyie wenye nchi kubwa yenye madini na rotuba kila mahali.
Nikupe siri??? Jitume.....acha uzembe jitume....hehehehe
Yaani ninyi si LDC ila mna tabia zote za LDC...
 
Yaani matusi kwenye uzi kisa eti wakenya wanatalii ndani ya nchi yao. 😕 Hiyo ndio defination kamili ya uchawi.
Mngejadili uzi wenu bila kuzungumzia Tanzania wala msingetuona kwenye huu uzi,
Lakini kwa sababu huwa mnawashwa washwa ilibidi tutie timu.
 
Mngejadili uzi wenu bila kuzungumzia Tanzania wala msingetuona kwenye huu uzi,
Lakini kwa sababu huwa mnawashwa washwa ilibidi tutie timu.
Kwahivyo upo kwenye jukwaa hili kwasababu kuna mkenya ameitaja Tz kwenye comment yake, hata sio kwenye mada ya uzi? Mbona nyuzi zipo nyingi, hapa Jf, ambapo watz wanaijadili Kenya ila hutaona hata mkenya mmoja kwenye majukwaa hayo? Yaani huli, hunywi na huogi, kazi ni kuwafata fata tu majirani eti ndio usikie wanasema nini kuwahusu. Hayo ni maisha ya kichawi pure, sitashangaa kusikia kwamba unafuga nyoka pia, na kobe na bundi!
 
Safi sana kwa kweli, tuendelee kwa mwendo huo huo....


Hotels, apartments and other tourist establishments in Mombasa and other Coastal areas have recorded 100 per cent bookings.

This follows an upsurge of domestic and international visitors during the December holidays.

Thousands of ecstatic local and international visitors thronged various hotels and tourist establishments in Mombasa and other coastal areas to celebrate the Christmas holiday season.


Events such as water sports, football, camel riding, family dinners, traditional dances and live bands were organised by hotels to entertain holidaymakers.
A spot check by Kenya News Agency on Thursday found that most of the hotels and apartments are fully booked with local visitors taking the lion’s share.
Apart from hotels, other tourist related business such as transport, food vendors and beach operators are enjoying good business during this festive season.
Those interviewed were delighted that Kenyans have now embraced domestic tourism since the numbers of local visitors have increased significantly.
Hundreds of local and international tourists also visited the refurbished Mama Ngina Drive Waterfront.
The seafront project adjacent to Likoni ferry entails a public square, two iconic gateways, a Swahili cultural centre, amphitheater, modern kiosks, restaurants and parking areas among other facilities.
The Sh460 million waterfront facility, a joint venture between the national government and county government of Mombasa has elicited excitement within the tourism sector and is now regarded as a game changer.

Mama Ngina Drive Waterfront, a modern public recreational facility, has transformed the Park to international standard and repositioned Mombasa as a top tourist destination in the region.
The project is an added product to the tourism sector as the country already offers a multifaceted holiday destination combining exotic beaches, national parks and historical sites.
Hoteliers have expressed their satisfaction with the significant increase of domestic visitors, which they attributed to aggressive marketing, friendly packages and the introduction of the Standard Gauge Railway (SGR).
Mombasa, Malindi and Watamu in Kilifi County together with Diani in Kwale County are the preferred holiday destinations for many Kenyans and foreign visitors arriving to savour its beautiful sandy beaches stretched out from the South to the North coast and tropical ambience.
The Marketing Manager of Travelers Beach Hotel and Club Wafula Waswa said the players in the hospitality industry were encouraged to see Kenyans embracing domestic tourism, adding that his hotel registered 100 percent bed occupancy during this festive season.
“We have introduced special packages for Kenyans to encourage them to enjoy affordable holiday retreats,” said a visibly delighted Waswa.
He added that players in the hospitality industry should put more effort towards the promotion of domestic tourism, which he said has kept most hotels afloat following the declining of international visitors.
“Domestic visitors have proved crucial and have the potential to sustain this fragile but lucrative industry,” said Waswa.
In Kilifi County, hotels in Malindi and Watamu are enjoying brisk business with most of the establishments recording 100 percent bed occupancy.
The Plan Hotels International General Manager Alexander Zissimatos said the industry was enjoying good business and that most of the hotels are fully booked during the festive season.
“We are extremely busy and encouraged by the impressive numbers of local and international visitors,” said Zissimatos.
He commended Kenyans for taking advantage of the special packages offered by hotels saying Malindi has always been a preferred holiday destination for local visitors.
The sector that recently witnessed a serious decline due to political tension and security related issues is now showing signs of steady improvement with more players investing in hotels and apartments.

Wamejazana kwenye mahoteli kungonoka.
 
Kwahivyo upo kwenye jukwaa hili kwasababu kuna mkenya ameitaja Tz kwenye comment yake, hata sio kwenye mada ya uzi? Mbona nyuzi zipo nyingi, hapa Jf, ambapo watz wanaijadili Kenya ila hutaona hata mkenya mmoja kwenye majukwaa hayo? Yaani huli, hunywi na huogi, kazi ni kuwafata fata tu majirani eti ndio usikie wanasema nini kuwahusu. Hayo ni maisha ya kichawi pure, sitashangaa kusikia kwamba unafuga nyoka pia, na kobe na bundi!

Yaani mkilala mkiamka ni kuitaja taja Tanzania,
Popote utakapo itaja Tanzania sehemu isiyohusika nitakula sahani moja na wewe,
Mlitengenezewa hili jukwaa maalum kwa mambo ya kenya ila kwa sababu nyie huwa mnawashwa washwa mkaanza kushoboka na mambo ya Tanzania na ndio maana tupo humu.
 
Yaani mkilala mkiamka ni kuitaja taja Tanzania,
Popote utakapo itaja Tanzania sehemu isiyohusika nitakula sahani moja na wewe.
Haya basi, kwa raha zako. Ila jua kwamba baada ya muda dish lazima litayumba, kama la mwenzako Geza Ulole. Alafu upande wa pili maisha yataendelea tu kama kawa, wakenya wataendelea kufanya yao, bila kuzingatia feelings zako. Kenya itaendelea kusonga mbele na vidonda vyako vya tumbo vitaendelea kuongezeka. All the best man.
 
Haya basi, kwa raha zako. Ila jua kwamba baada ya muda dish lazima litayumba, kama la mwenzako Geza Ulole. Alafu upande wa pili maisha yataendelea tu kama kawa, wakenya wataendelea kufanya yao, bila kuzingatia feelings zako. Kenya itaendelea kusonga mbele na vidonda vyako vya tumbo vitaendelea kuongezeka. All the best man.
Ulikuwa uzi mzuri tu ila kwa sababu mnakuwaga na uwezo mdogo wa kufikiri mkasababisha uzi uwe mbaya,
Mngejadili uzi wenu bila kuitaja Tanzania hata msingeniona niki comment maana usinge nihusu.
 
Haya basi, kwa raha zako. Ila jua kwamba baada ya muda dish lazima litayumba, kama la mwenzako Geza Ulole. Alafu upande wa pili maisha yataendelea tu kama kawa, wakenya wataendelea kufanya yao, bila kuzingatia feelings zako. Kenya itaendelea kusonga mbele na vidonda vyako vya tumbo vitaendelea kuongezeka. All the best man.
Nani dish limeyumba?
 
Back
Top Bottom