Oppomall
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,683
- 3,966
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mgeni siku ya kwanza anapajua pmAhsante.. Yeah napajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mgeni siku ya kwanza anapajua pmAhsante.. Yeah napajua
Huyu mgeni wa mwendokasi aiseeh, anajua ID, Pm, mkuu aaah!Sina ID ya zaman mkuu...hii ndiyo ID yangu
Napajua coz nimefanya research kabla sijajiunga jf...naijua jf tangu zaman sanaMgeni nimekupenda bure ..mgeni wapafahamu pm!!..mgeni umetisha
Waoh!! mgeni mtundu sana weweNapajua coz nimefanya research kabla sijajiunga jf...naijua jf tangu zaman sana
Huyu mgeni wa mwendokasi aiseeh, anajua ID, Pm, mkuu aaah!
Ahsante yna2Waoh!! mgeni mtundu sana wewe
Karibu
Ni vzr, mgeni mwelevu. Njoo pm basiVipi ulitaka nisijue mkuu??
Kwann ulijiunga Jf?Napajua coz nimefanya research kabla sijajiunga jf...naijua jf tangu zaman sana
Napajua coz nimefanya research kabla sijajiunga jf...naijua jf tangu zaman sana
Chura ipo?
Because it is a home of great thinkersKwann ulijiunga Jf?
1.Niliijua jf 20131. JF uliijua lini?
2. Uliijuaje?
3. Kwa nini muda wote hukuwahi kujiunga?
4. Ni jukwaa gani hasa ambalo umekuwa ukilitembelea kama guest user?
5. Ni member yupi anayekuvutia kutokana na michango yake?
5. Kuna huyu member anaitwa mzizi mkavu nilikuwa napenda sana mada zake za afya1. JF uliijua lini?
2. Uliijuaje?
3. Kwa nini muda wote hukuwahi kujiunga?
4. Ni jukwaa gani hasa ambalo umekuwa ukilitembelea kama guest user?
5. Ni member yupi anayekuvutia kutokana na michango yake?
Embarrassing questionChura ipo?
Wewe ni nani?Embarrassing question
Then if it is there what next? And if it is not there what next?
Jukwaa la Dino uliingiaje wakati member aliyeruhusiwa ndio anaingia kule?1.Niliijua jf 2013
2.niliijua kupitia kugoogle vitu mbalimbali ambapo sometimes nilikuwa nakutana na links ambazo zinanidirect jf.
3.nilikua naendelea kujifunza zaid kuhusu jamii forums kabla sijajiunga
4.mostly jukwaa la wanasheria, jukwaa LA dini... Biashara...chitchat etc
Mimi ni nani kivipi?Wewe ni nani?
Kwa mujibu unavyojitambua..Mimi ni nani kivipi?
5. Kuna huyu member anaitwa mzizi mkavu nilikuwa napenda sana mada zake za afya
Other members mshana Jr...demiss
Napenda uchangiaji wao
Avatar mbona n pic yangu mkuu?Okay karibu sana, nadhani umejibu maswali yangu.
Hapo kwa Demiss naona umechagua hadi avatar kama aliyowahi kuitumia, swali dogo, kwa nini umechagua hiyo?
Thanks.