Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipi sasa!! Mie sina dhambi.We mwanamke acha zambi jamani [emoji23]
Mungu anakuona yaniZipi sasa!! Mie sina dhambi.
Hili jambo limenikuta mtu alikua na sifa zote hizo lakini alikua ananisema vibaya kwanduguzeWengine wanaigiza ili ufuate taratibu zote umuweke ndani kisha yajayo.........
Tahadhari na umakini ni muhimu sana
umeshaliwa kichwa😂😂😂Wengine wanaigiza ili ufuate taratibu zote umuweke ndani kisha yajayo.........
Tahadhari na umakini ni muhimu sana