Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Umrwahi kuwauliza?Inawezekana, kwa sababu wengine zaidi ya mijengo, biashara, na magari walionayo, sijaona furaha yoyote walionayo.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umrwahi kuwauliza?Inawezekana, kwa sababu wengine zaidi ya mijengo, biashara, na magari walionayo, sijaona furaha yoyote walionayo.
Kuenezea Injili plus kuendelezea vipaji vya watu hasa watoto[emoji120]Siku zote pesa inatakiwa ikupe mahitaji ya msingi, ndio maana tunatumia nguvu nyingi katika kuzitafuta.
Tunaamini na imethibitika, hatuwezi kuishi miaka 150; mara nyingi tumezidi sana tena kwa wale wachache sana wanaweza kubahatisha miaka 100.
Sasa, maisha ni nini, Je ni kuishi kwa furaha katika maisha yako yote au kuishi kwa mateso ndani ya hiyo miaka 100 kama utafika?
Pesa unayo; sehemu za starehe huendi kuondoa msongo wa mawazo, pombe hunywi, kutalii nje ya nchi huendi, mbuga za wanyama hutembelei, pisi kali huna, zaidi ya kuwaona kwenye mtandao kama wale wanaopatikana Peru, Colombia, Venezuela n.k
Sasa, kwako utamu wa pesa nini?
Kuvaa vizuri kukoje, kula vizuri kukoje, pisi kali zikoje? Hayo yote uliyoorodhesha ni definition ya mtu. Pisi kali kwako kwa mwingine mbovu.Kuwa na pesa maana yake inatakiwa ikupe uhuru kwa yale mahitaji yote ya msingi ya kiumbe hai, na ziada:-
- Kula vizuri
- Kuvaa vizuri
- Kutalii dunia
- Pisi kali
- Pombe kiasi
- n.k
Kipato cha kati ndo kipato ganiWengi walio kwenye kipato cha kati ndio wanaofurahia maisha kuliko wale wenye vipato vikubwa zaidi.
Hii imekaa kiimani zaidiUtamu wa pesa ukutimizie mahitaji yako na familia yako, pia ukupe moyo wa kuweza kusaidia wengine wenye uhitaji
na la zaidi sana, usikupe kiburi cha kudharau wengine ambao hawana hizo pesa kwani kuna wengine wanafanya kazi kubwa na ngumu kuliko wewe lakini hawazipati hizo hela.
In general, pesa isikubadilishe kutoka mtu mwema na kuwa mtu katili ila ikufanye uongeze busara zaidi kwenye maisha yako. Pia umkumbuka muumba wako kwa kumshukuru kwa ajili ya pesa alizokupa na uzima/uhai.
sana jaman na umaskini tuseme ukweli unasababisha mtu kutenda dhambi ambayo haikuwa kusudi lakeKuwa na pesa ndio utamu wenyewe kuna ule uhuru binafsi unakuwa nao wa kufanya chochote ndani ya gharama zozote na ukazimudu, kwangu hii ndio utamu wa pesa. Yale mambo ya kutaka kufanya jambo fulani mpaka uombe usaidizi wa fedha yanakwamisha na kukarahisha sana.
Kuwa financially free ni furaha.
Pesa unakuwa nayo, ata olduvai Gorge unakuwa hujui iko wapi; hii imekaaje?Kula nikitakacho,Kunywa nikitakacho,Kusafiri nitakako,Kupata matibabu,Kusolve Matatizo yanapotokea,na Kuwa na uwezo wa kushiriki ktk uenezaji wa Injili pale ninaoombwa mchango na kusaidia wahitaji.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Nataka kupitia uzi huu, watupe majibu
Wengine pombe, k, mdudu hawagusi; utamu wao wa hela uko wapi?Kibunda nakiheshimu bhana utamu wake unaenda sambamba na k....
Hii itakupaje furaha,katika pesa zako?Kuenezea Injili plus kuendelezea vipaji vya watu hasa watoto[emoji120]
Anakuwa na muda na nini; na ni vitu gani vinamzuia asiwe na muda na vitu hivyo?Raha ya pesa ni kukupa wide range of freedom of choice. Kwenye choice kila mtu anavipaumbele vyake.kuna anaependa wanawake, kusafiri, kunywa pombe lakini kuna mwingine hivo vitu hata hana muda navyo.
Ila kuna pisi ikipita, wote wananyoosha mikono juuKuvaa vizuri kukoje, kula vizuri kukoje, pisi kali zikoje? Hayo yote uliyoorodhesha ni definition ya mtu. Pisi kali kwako kwa mwingine mbovu.
Kipato cha kutimiza mahitaji yako, bila kumiliki kiwandaKipato cha kati ndo kipato gani
Future yako ni ipi ndani ya miaka 70 ya kuishi hapa duniani?Know the difference between enjoying your life and destroying your future.
Mkuu umenielewa vyema kabisa, umasikini sio dhambi ila sio jambo jema. Kuna ile time unakutana na kitu at affordable price ila kwa kuwa huna balance unashindwa kukifanya kiwe chako kwa faida yako. Inakera sana.sana jaman na umaskini tuseme ukweli unasababisha mtu kutenda dhambi ambayo haikuwa kusudi lake
tuseme mfano rahisi ni kama unahis njaa halafu uone embe la mtu na huna hela, lazima ulikwapue ila kama pesa zipo unanunua tu unaepuka dhambi ya wizi
sijasema ni dhambi ila nimesema unasababisha dhambiMkuu umenielewa vyema kabisa, umasikini sio dhambi ila sio jambo jema. Kuna ile time unakutana na kitu at affordable price ila kwa kuwa huna balance unashindwa kukifanya kiwe chako kwa faida yako. Inakera sana.