Utamu wa pesa, kwako ni upi?

Kuenezea Injili plus kuendelezea vipaji vya watu hasa watoto[emoji120]
 
Raha ya pesa ni kukupa wide range of freedom of choice. Kwenye choice kila mtu anavipaumbele vyake.kuna anaependa wanawake, kusafiri, kunywa pombe lakini kuna mwingine hivo vitu hata hana muda navyo.
 
Kuwa na pesa maana yake inatakiwa ikupe uhuru kwa yale mahitaji yote ya msingi ya kiumbe hai, na ziada:-
  • Kula vizuri
  • Kuvaa vizuri
  • Kutalii dunia
  • Pisi kali
  • Pombe kiasi
  • n.k
Kuvaa vizuri kukoje, kula vizuri kukoje, pisi kali zikoje? Hayo yote uliyoorodhesha ni definition ya mtu. Pisi kali kwako kwa mwingine mbovu.
 
Kuwa na pesa ndio utamu wenyewe kuna ule uhuru binafsi unakuwa nao wa kufanya chochote ndani ya gharama zozote na ukazimudu, kwangu hii ndio utamu wa pesa. Yale mambo ya kutaka kufanya jambo fulani mpaka uombe usaidizi wa fedha yanakwamisha na kukarahisha sana.

Kuwa financially free ni furaha.
 
Hii imekaa kiimani zaidi
 
sana jaman na umaskini tuseme ukweli unasababisha mtu kutenda dhambi ambayo haikuwa kusudi lake
tuseme mfano rahisi ni kama unahis njaa halafu uone embe la mtu na huna hela, lazima ulikwapue ila kama pesa zipo unanunua tu unaepuka dhambi ya wizi
 
Know the difference between enjoying your life and destroying your future.
 
Kula nikitakacho,Kunywa nikitakacho,Kusafiri nitakako,Kupata matibabu,Kusolve Matatizo yanapotokea,na Kuwa na uwezo wa kushiriki ktk uenezaji wa Injili pale ninaoombwa mchango na kusaidia wahitaji.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Pesa unakuwa nayo, ata olduvai Gorge unakuwa hujui iko wapi; hii imekaaje?
 
Raha ya pesa ni kukupa wide range of freedom of choice. Kwenye choice kila mtu anavipaumbele vyake.kuna anaependa wanawake, kusafiri, kunywa pombe lakini kuna mwingine hivo vitu hata hana muda navyo.
Anakuwa na muda na nini; na ni vitu gani vinamzuia asiwe na muda na vitu hivyo?
 
Kuvaa vizuri kukoje, kula vizuri kukoje, pisi kali zikoje? Hayo yote uliyoorodhesha ni definition ya mtu. Pisi kali kwako kwa mwingine mbovu.
Ila kuna pisi ikipita, wote wananyoosha mikono juu
 
sana jaman na umaskini tuseme ukweli unasababisha mtu kutenda dhambi ambayo haikuwa kusudi lake
tuseme mfano rahisi ni kama unahis njaa halafu uone embe la mtu na huna hela, lazima ulikwapue ila kama pesa zipo unanunua tu unaepuka dhambi ya wizi
Mkuu umenielewa vyema kabisa, umasikini sio dhambi ila sio jambo jema. Kuna ile time unakutana na kitu at affordable price ila kwa kuwa huna balance unashindwa kukifanya kiwe chako kwa faida yako. Inakera sana.
 
Mkuu umenielewa vyema kabisa, umasikini sio dhambi ila sio jambo jema. Kuna ile time unakutana na kitu at affordable price ila kwa kuwa huna balance unashindwa kukifanya kiwe chako kwa faida yako. Inakera sana.
sijasema ni dhambi ila nimesema unasababisha dhambi

teh teh asante kwa kunielewa,,,umaskini ki kitu kibaya sana na hakuna anayependa kwa kweli
mimi nikiwa wa kwanza ,,,"I hate poverty"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…