Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Sasa, wote wakiwa matajiri, ni nani atakayemuajiri mwenzake?sijasema ni dhambi ila nimesema unasababisha dhambi
teh teh asante kwa kunielewa,,,umaskini ki kitu kibaya sana na hakuna anayependa kwa kweli
mimi nikiwa wa kwanza ,,,"I hate poverty"
Niliweka mstari wa fid q naoupenda zaidi.sijasema ni dhambi ila nimesema unasababisha dhambi
teh teh asante kwa kunielewa,,,umaskini ki kitu kibaya sana na hakuna anayependa kwa kweli
mimi nikiwa wa kwanza ,,,"I hate poverty"
We mzee unazeeka vibaya, kwahiyo masikini wote ni waajiriwa? Na wanategemea ajira kwa matajiri?Sasa, wote wakiwa matajiri, ni nani atakayemuajiri mwenzake?
Huna akili.Siku zote pesa inatakiwa ikupe mahitaji ya msingi, ndio maana tunatumia nguvu nyingi katika kuzitafuta.
Tunaamini na imethibitika, hatuwezi kuishi miaka 150; mara nyingi tumezidi sana tena kwa wale wachache sana wanaweza kubahatisha miaka 100.
Sasa, maisha ni nini, Je ni kuishi kwa furaha katika maisha yako yote au kuishi kwa mateso ndani ya hiyo miaka 100 kama utafika?
Pesa unayo; sehemu za starehe huendi kuondoa msongo wa mawazo, pombe hunywi, kutalii nje ya nchi huendi, mbuga za wanyama hutembelei, pisi kali huna, zaidi ya kuwaona kwenye mtandao kama wale wanaopatikana Peru, Colombia, Venezuela n.k
Sasa, kwako utamu wa pesa nini?
Utamu wa pesa kwangu ni uwezo wa kumsaidia mtu anayestahili anayeihitaji zaidi yangu kufanya kitu muhimu kabisa, cha kubadilisha maisha yake na kumnyanyua vizuri, halafu mimi nikawa nina uwezo wa kumaliza hilo tatizo na nikalimaliza bila matatizo upande wangu.Siku zote pesa inatakiwa ikupe mahitaji ya msingi, ndio maana tunatumia nguvu nyingi katika kuzitafuta.
Tunaamini na imethibitika, hatuwezi kuishi miaka 150; mara nyingi tumezidi sana tena kwa wale wachache sana wanaweza kubahatisha miaka 100.
Sasa, maisha ni nini, Je ni kuishi kwa furaha katika maisha yako yote au kuishi kwa mateso ndani ya hiyo miaka 100 kama utafika?
Pesa unayo; sehemu za starehe huendi kuondoa msongo wa mawazo, pombe hunywi, kutalii nje ya nchi huendi, mbuga za wanyama hutembelei, pisi kali huna, zaidi ya kuwaona kwenye mtandao kama wale wanaopatikana Peru, Colombia, Venezuela n.k
Sasa, kwako utamu wa pesa nini?
Ulishaona wapi, tajiri akaajiriwa mjukuu wangu? refer 'Forbes'We mzee unazeeka vibaya, kwahiyo masikini wote ni waajiriwa? Na wanategemea ajira kwa matajiri?
We starehe yako ni nini?Huna akili.
Hujui kila mtu ana sitarehe yake?
Mpaka sasa hivi hapa jf umeshawasaidia wangapi, katika kupambana na hali ya kupigana vita na umasikini?Utamu wa pesa kwangu ni uwezo wa kumsaidia mtu anayestahili anayeihitaji zaidi yangu kufanya kitu muhimu kabisa, cha kubadilisha maisha yake na kumnyanyua vizuri, halafu mimi nikawa nina uwezo wa kumaliza hilo tatizo na nikalimaliza bila matatizo upande wangu.
Utamu wa pesa ni kuhakikisha familia yangu na watu wangu wote wa karibu wana mahitaji muhimu kwanza, alaf inayobaki tunasaidia wenye uhitaji.Siku zote pesa inatakiwa ikupe mahitaji ya msingi, ndio maana tunatumia nguvu nyingi katika kuzitafuta.
Tunaamini na imethibitika, hatuwezi kuishi miaka 150; mara nyingi tumezidi sana tena kwa wale wachache sana wanaweza kubahatisha miaka 100.
Sasa, maisha ni nini, Je ni kuishi kwa furaha katika maisha yako yote au kuishi kwa mateso ndani ya hiyo miaka 100 kama utafika?
Pesa unayo; sehemu za starehe huendi kuondoa msongo wa mawazo, pombe hunywi, kutalii nje ya nchi huendi, mbuga za wanyama hutembelei, pisi kali huna, zaidi ya kuwaona kwenye mtandao kama wale wanaopatikana Peru, Colombia, Venezuela n.k
Sasa, kwako utamu wa pesa nini?
Kwa nini unawasaidia wenye uhitaji, na ili iweje?Utamu wa pesa ni kuhakikisha familia yangu na watu wangu wote wa karibu wana mahitaji muhimu kwanza, alaf inayobaki tunasaidia wenye uhitaji.
Hizo starehe mara mojamoja sio mbaya.
Haya uliyoandika hapa ni matamanio ya watu wasio na pesa. Ukiwa huna pesa unatamani vitu vingi sana...lakini siyo vipaumbele vya watu wenye pesa. Ukizipata vitu vyote vinakuwa vya kawaida. Unaweza kufanya hayo mambo once and a while na tena kwa kificho. Maana si kipaumbele.
Pesa unayo; sehemu za starehe huendi kuondoa msongo wa mawazo, pombe hunywi, kutalii nje ya nchi huendi, mbuga za wanyama hutembelei, pisi kali huna, zaidi ya kuwaona kwenye mtandao kama wale wanaopatikana Peru, Colombia, Venezuela n.k
Sasa, kwako utamu wa pesa nini?
Watu kadhaa, wengine kwa level ya kuwafungulia biashara. Several times.Mpaka sasa hivi hapa jf umeshawasaidia wangapi, katika kupambana na hali ya kupigana vita na umasikini?
Haya uliyoandika hapa ni matamanio ya watu wasio na pesa. Ukiwa huna pesa unatamani vitu vingi sana...lakini ukizipata vitu vyote vinakuwa vya kawaida.
Kuna makundi ya watu kama matatu hivi linapokuja swala la pesa.
1. Kundi la kwanza ni wale ambao hawajui kesho yao. Tunasema wana maisha magumu. Hawa hulala sehemu mbaya ambazo hazistaili binadamu kulala. Nyumba za nyasi au mabanda kama mazense. Kula yao ni ya shida na hawawezi kutimiza mahitaji yao ya msingi. Hawa ndo watu waliokata tamaa na wako tayari kufanya lolote wapate riziki ya siku. Pia wengine ni wavivu wasiopenda kujishughulisha kutokana na kukata tamaa. Yaani kwao wameshafika kibao cha Hakuna Maendeleo. Wanasogeza siku.
2. Ni kundi la watu wasio na hela lakini wenye malengo na matumaini ya kupata hela. Hawa wana amini msemo wa "One day yes". Hawa hujitahidi kutafuta hela kwa njia halali ili kutimiza malengo yao. Sasa hapa malengo yanatofautina....
2.1 Kuna wale ambao malengo na furaha yao ni kufanya hayo uliyoyataja...kuwa na wanawake warembo, kula raha kwenye ma club etc. Mapedeshee wengi ni wale wenye malengo kama yako. Hawajengi, hawasaidii wazazi, hawaangalii future yao wao pesa ni za ku enjoy.
2.2 Kuna wale ambao malengo yao ni kutengeneza business empire, kuwa na biashara kubwa kubwa, kuwekeza na kujitengenezea himaya ya utajiri. Nadhani hawa ndo unao walenga unauliza wanapata faida gani na pesa zao? Hawa furaha zao mara nyingi ni.
1. Kutatua changa moto za maisha za watu wengine. Hawa wao wana wito na wanaumia kuona watu wanapata changamoto nyingi za maisha. Hivyo wanafanya juhudi kutatua changamoto mbalimbali..na pale wanapozitatua wanaona fahari na kufurahia maisha.
2. Kutengeneza fursa kwa watu kama kutoa ajira. Kuna mtu anaona furaha kuajiri watu na . Ni wito
3. Kupata umaarufu kwenye jamii. Kuna mtu anao furaha kuwa maarufu kwenye jamaa.
4. Financial freedom. Kwa sababu wanajua wakitumia vibaya pesa zitaisha. Hivyo wanajua principle ya fedha ni kuzizalisha.
5. Kusaidia ndugu, jamaa na marafiki.
6. Kutoa misaada kwa watu wasiojiweza.
7. Kupata pesa ambazo watazitumia kufanya ubunifu ambao unawasumbua kichwani mwao. Wanataka kujaribu vitu vipya kama Ilivyo kwa Elon Mask ndoto yake ni kupeleka watu kwenda kuishi Mars.
Na mengine mengi. In short hawa watu wamevuka kwenye hizo mambo ulizotaja hapo and it no longer their agenda.
Nadhani katika maisha yako umewahi kuona watu wakinyoshewa vidole, unaona yule mzee, unaona yule jamaa alikuwa na hela balaa. Lakini leo anatembea kwa miguu hana kitu.Kama miaka yako ya kushi hapa duniani ni miaka 60; hiyo kujibana bana na hizo pesa au kuendelea kuchuma zaidi; Je ni malengo ya kwenda na hizo hela huko ahera? Na hiyo kujibana bana inakusaidia vipi, wakati maisha ya kuishi duniani hayana 'reverse', ukifa umekufa, hakuna 'replacement'?
Chochote mtu anachokipa kipaumbele ndo kinashughulisha mwili na akili yake na hakuna kinachomzuia but it is a matter of choice. Vipaumbele sio universal. Mwingine anaweza kuamua akawa mtu wa dini sana,mwingine kusaidia tu wasiojiweza n.k.Anakuwa na muda na nini; na ni vitu gani vinamzuia asiwe na muda na vitu hivyo?
Hayo niliyoyataja ndio FURAHA yanguHii itakupaje furaha,katika pesa zako?
Nadhani katika maisha yako umewahi kuona watu wakinyoshewa vidole, unaona yule mzee, unaona yule jamaa alikuwa na hela balaa. Lakini leo anatembea kwa miguu hana kitu.
Hili ndo watu wana epuka. Wanataka waishi vizuri hadi watakapo twaliwa. Zinazobaki wanawaachia wapendwa wao. Wanatumia pesa kwa mahitaji muhimu siku hadi siku hadi pale wanapofika mwisho.
Lakini pia wenye hela si kwamba hawafanyi starehe. Ila starehe zao ni siri, siyo za kuanika mitandaoni au kwa jamii kama walivyo washamba.