Hahahaha so flat sie sio watamu ama unamaanisha nini?
Unapenda kubwa au dogo?
Mi mbona napenda ya wastani,makubwa sipendi na nayaona hayana raha..ila yanapendeza kwa macho
Saizi ya kati kaka sitaki kutoka vigimbi wala sugu
Hakuna mwanaume anataka flat screen...!!!
huwa zinakuja kwa emergency tu!!!
Naaam tikiti hili lafaa kuliwa ukiwa umeva msuli
Matikiti makubwa mara nyingi yanakuwa yameoza ndani kwa ndani...lakini kwa nje yanavutia sana.....

mambo ya tikiti hayomke wangu wewe...
Si hawajui kuwa vikubwa sio vitamu........Da afadhali utupe moyo sie flat screen
You ARE WRONG....BELIEVE ME.........I am guessing una 'tikiti la kutosha'