Utamu wa vyombo vya Dola kuonjeshwa ladha ya madaraka matamu ya kisiasa

Mada hapa sio vyombo vya dola ,bali ni shujaa wa Taifa ,hayati Magufuli,hatatoka vinywani mwetu daima ,na alisema mtamkubuka,ndio kumkumbuka kwenyewe huku,hutaki acha
 
Majeshi yote ya Tanzania yanaongozwa na watu Tena watanzania ambao wajomba, shangazi,kaka,dada ndugu na marafiki zao wanapigwa na kuumizwa kila siku na Askari wachache waovu na wanaotumiwa hovyo na wanasiasa wenye uchu wa madaraka hali hii inatugusa na kutuumiza Sana
 
Mam
Mada hapa sio vyombo vya dola ,bali ni shujaa wa Taifa ,hayati Magufuli,hatatoka vinywani mwetu daima ,na alisema mtamkubuka,ndio kumkumbuka kwenyewe huku,hutaki acha
Mama amesema ameweka mkato na si nukta endelea na magufuli legancy utapata unachokitafuta huyo marehemu jiwe tutamkumbuka kwa uovu aliotufanyia watanzania.
 
Munghandi na ighanuda au sijakuelewa
Vipi bandiko langu hapo Lina hoja yenye nguvu au Ni zero maana mm si mwandishi wala mchambuzi Ni mwananchi mkulima ninayejaribu kutumia tu akili ya kusaliwa kufikiri tu,.
 
Mam

Mama amesema ameweka mkato na si nukta endelea na magufuli legancy utapata unachokitafuta huyo marehemu jiwe tutamkumbuka kwa uovu aliotufanyia watanzania.

Jana ulijifunza kitu jinsi pale kwenye ule ukumbi wa kuapishia wale mawaziri na mwanasheria mkuu kulivyo kuwa kumepooza. Kama vile watu wako msibani.
 
Jana ulijifunza kitu jinsi pale kwenye ule ukumbi wa kuapishia wake nawaziri na mwanasheria mkuu kulivyo kuwa kumepooza. Kama vile watu wako msibani.
Ni kweli kwamba Taifa na watu wake tumepoteza furaha chochote kinachofanywa na serikali ya ccm kinaongeza chuki sana
 
Umeusema ukwelo wote.
 
Ninashuku leo mawazo yangu yameelezewa vyema na wasomi yaani ASKOFU BANGOZA NA GENERALI ULIMWENGU
 
Umetumia maelezo mangi lakini umebaki incoherent na maana kupungua kama ilikuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Absolutely spot on. Umeongea ukweli mtupu na kwa jicho la mbali sana. Well done. I'm surprised kwa nini huu uzi hauna comments na likes nyingi.
 
Wewe unahangaika bure! Je! China chama cha cccp kinakubalika kwa wananchi? Jibu ni hapana, lakini kitaendelea kutawala. Tanzania vilevile. For your information - Tanzania hakujawa na vyama vingi! Tuna matawi ya CCM tu!
 
Ninashuku leo mawazo yangu yameelezewa vyema na wasomi yaani ASKOFU BANGOZA NA GENERALI ULIMWENGU
Bagonza nadhni aliongea tofauti.alisema jeshi likigundua kuwa CCM haina nguvu wala ushawishi kwa wananchi bali wao ndio wanaoibeba, ipo siku litaamua kuiweka CCM pembeni na kutwaa madaraka
 
Imetimia leo ccm na ndugu zao police eti wanalumbana. Ccm inataka kujisafisha kinafiki kwa watz kwamba yenyewe ndio chanzo cha ubovu wa police
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…