Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

Mwambie atumie Marangu route zingine taabu tupu
 
swali zuri sana hili Mkuu, ila nikuibie siri mkuu huyo jamaa mwenyewe ni mimi, Ipo hivi demu amejiaribu na madold Boarding school mpaka papuchi imeota Sugu sasa hapo kwa hii zakari yangu ataelewa somo kweli?
hahahah hapo kwenye "ni mimi" nimecheka sana!!!!
 
Asante kwa neno mtumishi Faiza.
 
 
 
Kwanini ufikishwe kileleni, siuende mwenyw 😂.
Yaan wanawake kila kitu wawezeshwe.
 
...mwambie akamchimbie migomba... Amchanganyie kwa chai... Alafu hata hvo...ndo kashamtangaza... Na wewe umemwaga mtama kwetu... Na sis ngoja tukamwage...
Maji yashamwagika hakuna cha kumwaga tena
 
Ni upuuzi kushindwa kumshirkisha jambo la ndani mtu unayedili nae harafu unakuja humu jf kuomba ushauri,wewe mwelekeze akufanyie Hilo linalokufurahisha. Vijana wa Leo mnashida sana yote ni Kwa sababu ya stori za mitandaoni.
Sawa mzee Ngonyani
 
Mkuu mwambie hakuna mwanaume wa kukufikisha kileleni ila wewe mwenyewe mwanamke pambana ufike kileleni,yaani pesa nitoe mimi,kuingiza na kuhangaika kupump mimi tena nihangaike kukukojoza wewe,aaah thubutu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…